#COVID19 Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

#COVID19 Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

Ujinga katika post yako ni hiyo sentensi ya mwisho!! Ndio tulipokwama kama taifa - tunapenda vitu tusivoshulika navyo. Taifa hili halijawahi kuwa na uwezo wa kununa chanjo yoyote na kweli list ya kupewa zipo hata dawa za ARV.

Wasiwasi haujawahi kuipinga sayansi. Badala ya kusema mambo ya kufikirika, fanyeni tafiti mtoe matokeo ya madhara ya hizi chanjo!! Sio kusubiri wengine wafanye halafu uje kusema mwishoni ......”sisi ni nchi masikini, tusaidiwe.....” na watakaotakiwa kusaidia ni hao hao mnawaita mabeberu, hawawapendi kila siku!!!

Vita ya covid ni ya kidunia, tushiriki. Kama ilivo vita yoyote - kuna wengine wachache watakufa!! Huwezi kutaka vita ya kutopoteza hata mtu mmoja!! Kuchelewa kwetu kushirikiana na dunia maana yake sisi ndio tutakuwa wa mwisho pia kuiondoa. Na kama hata barakoa tu tulipuuza, unadhani chanjo tunazozibeza ndio watu watasungwa??
Mkuu tusiwe wajinga.There are a lot of stupid things happening nyuma ya pazia la C-19.Hili ni swala la conquest,human domination and slavery,C-19 ni daraja tu.And in the mean time ujue ni ujinga mtupu,ili kufanikisha lengo lao ovu la kuhakikisha people comply,they kill people physically.Halafu katika hali ambayo inatisha na unprecedented,wanafanya biashara ya viungo vya watu wanaowaua huku wakisingizia kwamba wamekufa kwa Corona.It is so scary.The C-19 issue is multifaceted, it is not as easy as you think.You can only understand it if you have an independent and open mind.
 

Attachments

  • VID-20210427-WA0000.mp4
    27.4 MB
  • VID-20210503-WA0003.mp4
    645.3 KB
  • VID-20210503-WA0004.mp4
    1.7 MB
Ule haukuwa uchaguzi ndugu; mwendazake kwenye kuheshimu katiba, sheria na utawala bora alifeli vibaya saana!!

Wabunge wengi mule ni ma-fambastic akiwemo huyo aliyejigeuza mwanaharakati wa utetezi wa haki za wanawake CDM.
Tatizo lenu hamtaki kukubaliana na ukweli ili mjirekebishe..mnabaki mnadanganyana mpaka uchaguzi mwingine unafika no improvement..hahahah..sijui Nani kawaroga..au Mboweee na Lissss
 
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.

Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona. Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.

Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua

Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni. India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil, Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja. Wameshusha hadi grade 1.

Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo? Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi na utaifishaji wa mali.analijua hilo? Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.

Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.

#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

#Kazi iendelee.

Soma: Askofu Gwajima: Ni ujinga kuruhusu Taifa zima kuwa 'experiment' kwa sababu tuna haraka ya Corona
MI Siwezi kumpuuza Gwajima za kuambiwa changanya na zako
Gwajima aliongea Point mpuuze mwenyewe
 
Characteristic moja wapo ya a slave and a mind controlled individual ni kila wakati kukiri kwamba others are conspirators. Conspirators ni the NWO cabal,because they are conspiring evil against us or humanity.

Lakini wewe umesomea wapi,kama umesoma at all,because you are very irrational.Sasa kama unasema the reports I am bringing are conspiracies,while they are reports from University Professors and Doctors,where do you want the reports to come from.So who do you believe in.Wewe ni mpuuzi Fulani tu.

But exactly who are you,are you a Demon?Or has your Pineal Gland been destroyed?Utateaje mipango miovu kabisa ya Shetani ya kuua binadamu en masse? Unbelievable.
Jomba acha hasira lete facts wewe..
 
Tutampuuzaje Gwajima wakati hatuna alternative route...we mwehu Nini..sisi sasa tunakupuuza wewe jomba kwa upuuzi wako
 
Kwanza wewe ni Daktari..? Kama sio Daktari achana na sisi nenda zako..Gwajima hatutampuuza..tunakupuuza wewe
 
Sio debe tupu. Kuna watanzania wengi wanamsikiliza na kuamini upotoshaji wake.
Wacha wamsikilize kwa sababu Ana point..wewe toa za kwako na wewe usikilizwe jomba shida iko wapi..Kama huna na wewe kaa kimyaa
 
Ingekuwa vyema kabla ya kumshambulia ungefanya utafiti wa kina kwa kile alichosema chanzo hizi ni kweli baadhi ya watu zimewadhuru na kubadilisha Maisha yao kabisa. Shida yetu sisi watanzania ni kwamba kwa sababu kaongea mtu ambaye labda ana misala, kesi, au basi tu hatumpendi inakuwa ngumu kuukubali ushauri.
Binafsi simkubali Jamaa ila kwenye ile hoja sikuangalia ameitoa nani Bali niliangalia anaongea nini, kwa manufaa ya nani. Anyway, kama wizara itaamua kuzileta hapa Bongo wenye watazihitaji kama nyie mwende tu mkadungwe sie tutaendelea kujikinga na kutumia njia tunazotumia kila siku.
 
Jomba acha hasira lete facts wewe..
Babeli inaudhi kwa kuwa haingii akilini watu kutetea wauaji.Hivi Babali unata facts gani,so usumbufu tu.Sio siri sasa kwamba chanjo hizi ni deadly.Ni mainstream media which is owned by the NWO cabal na compromised scientists ambao ni fully paid by NWO cabal ndio wanao tetea this genocide.Ni ajabu kwamba na wewe mswahili mwenzetu unatetea mauaji hayo dhidi ya wanadamu.

The C-19 shot is a bioweapon which is intended with other tools to bring the World population to 500 million.Watch the following clip to see how they will do it.


And then Babeli, inashangaza kwamba with all the evidence around us,that depopulation is going on,and that the C-19 as a scandemic(not a pandemic),is just a tool among other tools like drugs,climate change,birth control initiatives,you are asking for facts.The American Centre for disease control is giving,but of course we know they are inflated,and their European counterparts are giving facts,but we know also that the figures are inflated,so as not to deter people from accepting the shot.

But before I give you the facts you have requested, lease go through the following script.The Bilderberger group which is infact the New World Order calls you idiots and stupid by accepting the shot.They also say by accepting the shot you are taking yourself to the slaughterhouse. Can you imagine?Yet you are defending the C-19 bioweapon,how stupid.




IMG-20210512-WA0008.jpg
 
Kuna watu wameshachukua rushwa kuipigia kampeni chanjo au na wewe ni mmoja wao
 
Jomba acha hasira lete facts wewe..
Facts hizi hapa.Sisi sio madebe shinda.
👇
Go through the facts and then come back to me.


Halafu Babeli,C-19 ni mradi pia wa kunyofoa viungo kwenye wanaodaiwa wana C-19!Infact they physically kill them and then take body parts.Watch this 👇.It is lucrative business worldwide.Siri imebumburuka India,ni ushetani mtupu.Wanaua watu kwa malengo yao maovu,halafu wanawaletea sumu in the name of chanjo!Very demonic.Halafu ninyi waswahili wenzetu you stand on their side,you deserve to be hanged!
 

Attachments

  • VID-20210503-WA0004.mp4
    1.7 MB
  • VID-20210503-WA0003.mp4
    645.3 KB
  • VID-20210427-WA0000.mp4
    27.4 MB
Sio debe tupu. Kuna watanzania wengi wanamsikiliza na kuamini upotoshaji wake.
Yoda acha ujinga,wewe ndio mpotoshaji.Nimekupa facts zote,bado you are going around cheating people.But for whose benefit.Una betray your family,relatives and countrymen kwa ajili ya tumbo!How stupid are you.Come back to your senses,ulipo sipo.

Freemasons ambao naamini unawatumikia na kukupa material things si kitu,at day X when you will have to appear before the Gods' seat of judgement,hawatakuwepo kukusaidia,na wao watakuwa wana face hasira ya Mungu.

Please, please,I plead with you, come before God and repent while there is still time.
 

Ingekuwa vyema kabla ya kumshambulia ungefanya utafiti wa kina kwa kile alichosema chanzo hizi ni kweli baadhi ya watu zimewadhuru na kubadilisha Maisha yao kabisa. Shida yetu sisi watanzania ni kwamba kwa sababu kaongea mtu ambaye labda ana misala, kesi, au basi tu hatumpendi inakuwa ngumu kuukubali ushauri.
Binafsi simkubali Jamaa ila kwenye ile hoja sikuangalia ameitoa nani Bali niliangalia anaongea nini, kwa manufaa ya nani. Anyway, kama wizara itaamua kuzileta hapa Bongo wenye watazihitaji kama nyie mwende tu mkadungwe sie tutaendelea kujikinga na kutumia njia tunazotumia kila siku.
Mkuu the truth is C-19 is a scapegoat.Tuna taarifa zote za kitaalamu zinazothibitisha kwamba huu ni utapeli kwa ajili ya agenda za kipepo.Kama utapata tatizo lolote linalohusu mfumo wa hewa,tumia Hydroxychloroquine na Ivermectin.

Watu wanakufa na underlying cases ambazo tukiri kwamba hao hao wenye utapeli huu wa C-19,ndio walio zileta.

Kaa chini utulie,do not worry.

Nakuomba sana,tena sana,usome taarifa zilizopo kwanye link ifuatayo,zitakusaidia sana kujua exactly what C-19 is and the agenda behind it.



Achana kabisa na taarifa za mainstream media,ambazo ni mali ya NWO cabal,ambao ndio walioleta utapeli wa C-19.Nia yao ni kupotosha,ili watu wakubali the C-19 shot.It is distortion of science of the highest order.Mkuu hebu angalia matukio yafuatayo,nadhani yatakupa picha halisi.
 

Attachments

  • VID-20210503-WA0004.mp4
    1.7 MB
  • VID-20210503-WA0003.mp4
    645.3 KB
Ingekuwa vyema kabla ya kumshambulia ungefanya utafiti wa kina kwa kile alichosema chanzo hizi ni kweli baadhi ya watu zimewadhuru na kubadilisha Maisha yao kabisa. Shida yetu sisi watanzania ni kwamba kwa sababu kaongea mtu ambaye labda ana misala, kesi, au basi tu hatumpendi inakuwa ngumu kuukubali ushauri.
Binafsi simkubali Jamaa ila kwenye ile hoja sikuangalia ameitoa nani Bali niliangalia anaongea nini, kwa manufaa ya nani. Anyway, kama wizara itaamua kuzileta hapa Bongo wenye watazihitaji kama nyie mwende tu mkadungwe sie tutaendelea kujikinga na kutumia njia tunazotumia kila siku.

Mkuu kuna upuuzi mwingi sana unaoendelea nyuma ya pazia la C-19. Nimeshakuletea clip zinazo onyesha kwamba wanaua watu physically halafu wanasingizia kwamba kuna Corona.So what do they do with the corpses.Inatisha mkuu:wana-harvest viungo halafu wanauza.Watch the following clip.Mambo yamebumburuka India.Kumbe ndio maana wanasema mtu akifa kwa Corona azikwe na serikali,wanaficha siri.
 

Attachments

  • VID-20210427-WA0000.mp4
    27.4 MB
Nimemsikia akisema hizo habari za DNA na RNA nikakumbuka ile clip ya daktari mtanzania wa marekani alivyodadavua nikagundua mh askofu is trying too hard kujionesha kama yeye ana akili nyingi. Lakini tatizo mwisho anaonekana mbumbumbu kwa kuongea ujinga.
 
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.

Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona. Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.

Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua

Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni. India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil, Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja. Wameshusha hadi grade 1.

Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo? Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi na utaifishaji wa mali.analijua hilo? Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.

Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.

#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

#Kazi iendelee.

Soma: Askofu Gwajima: Ni ujinga kuruhusu Taifa zima kuwa 'experiment' kwa sababu tuna haraka ya Corona
Ni hospitali zipi zilizojaa wagonjwa wa corona nataka nikazione alafu turudishe maombi
 
Nimemsikia akisema hizo habari za DNA na RNA nikakumbuka ile clip ya daktari mtanzania wa marekani alivyodadavua nikagundua mh askofu is trying too hard kujionesha kama yeye ana akili nyingi. Lakini tatizo mwisho anaonekana mbumbumbu kwa kuongea ujinga.
Kaongea ujinga gani mkuu,hebu tudadavulie.Kumbuka kwamba ni umbumbu kuongea city bila facts.
 
Tatizo lenu hamtaki kukubaliana na ukweli ili mjirekebishe..mnabaki mnadanganyana mpaka uchaguzi mwingine unafika no improvement..hahahah..sijui Nani kawaroga..au Mboweee na Lissss
Kibaka wa kura anapogeuka mshauri
 
Nimemsikia akisema hizo habari za DNA na RNA nikakumbuka ile clip ya daktari mtanzania wa marekani alivyodadavua nikagundua mh askofu is trying too hard kujionesha kama yeye ana akili nyingi. Lakini tatizo mwisho anaonekana mbumbumbu kwa kuongea ujinga.
Huna facts jomba unabwabwaja tu..Nani aaiyejua kuongea haya..Rudi tena ukakaririshwe
 
Back
Top Bottom