#COVID19 Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

#COVID19 Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

Kuna mwaka ilizuka homa ya dengue.

Ikasumbua kwelikweli, kuna watu maarufu tukawapoteza na wengine wakalazwa kisha serikali ikaweka wazi kwamba ikikupata popote ulipo kbla ya hospitali ukihisi dalili tu anza kunywa maji kwa wingi na panadol.

Kisha audio klipu ya Gwajima ikasambaa kwa kasi akisema hakuna ugonjwa wa homa ya dengue, ugonjwa gani unawapata watu maarufu pekee? Ugonjwa gani unaoua dawa yake panadol? Hakuna huo ugonjwa ni danganya toto ya serikali.

Mlitarajia katika hili awe na msimamo gani? Yaani acha kwamba ameunga mkono juhudi, kwa maoni yake ya tangu enzi za dengue unadhani sasa hivi angesema nini?
Huyu kanisani kwake amekua akiwadanganya waumini wake kwamba hufufua wafu na wapo wanaomuamini, unategemea nini kimemkaa kichwani kwake "uongo"
 
Maamuzi ya Wizara ya Afya ukeyasikia?Hatutakubali kuua wananchi wetu,period.Tuko tayari hata kutengwa na jumuia ya kimataifa.Tapikeni hela za watu mlizokula kwa ahadi kwamba mtashinikiza chanjo ikubalike Tanzania.Our struggle is not in vain,matunda tunayaona.True science must be respected.
Wewe ni mmoja kati ya wale misukule wa Askofu Gwajima, wale wamepigwa brainwash na Gwajima hawasikii la mtu. Nendeni mfamfufue Mwendazake si Kanisa lenu linaitwa "Ufufuo na Uzima"
 
Weka CV yako hapa tuione kama kweli you deserve even to comment anything about the C-19.

You are a real crap,evil and psycopath.Freemasons wamekulisha damu za watu,adenochrome,
nyama na foetuses za watoto wachanga mpaka umekuwa kituko, hujali maisha ya watu kabisa.Hangaikeni tu kuua watu kwa kudanganywa na Shetani,but your time of reckoning is swiftly approaching.

Helloo....,the next kafara la watoto pale nyuma ya Kepinsk ni lini?
Hayo ndiyo mnafundishwa na Askofu Gwajima, porn star na drug dealer.

Wewe unajuwa CV ni nini?
 
Yaani bado watu wanamfatilia John Sinns wa Bongo! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Mimi Naona hujajibu hoja,ame-quote data halali kabisa,hivi unavocheza na DNA Unajua madhara yake...Unajua kitu kinaitwa 'autism',hii kitu watoto wengi uzunguni miaka ya karibuni wanazaliwa nayo,na there is a strong link na vaccinations walizopitia wazazi wao,hata babu na bibi zao..Hebu tuache siasa ktk kila kitu..Iq zetu zenyewe ndogo,Hivi tukichezea dna si tutakuja kuzaa wadumavu kbsa..


FDA na CDC wanasema chanjo hizi zipo kwenye trial mpka 2023,kwanini tusisubiri wamalize majaribio yao...
Kabisa mkuu. Hili swala la vaccination mimi ni Big NO.
 
mm nakupinga wewe, Gwajima amezungumza sayansi. Nyie ndio mnapotosha ukweli halisi.kama hukumuelewa uliza tukudadavulie mwananchi. Gwajima yupo sahihi sana, tukatae ujinga huu wa chanjo. ije iwe kwa hiari tu kuchanjwa ili wale wageni na wanaosafiri kwenda nje ndio wawe lazima kuchanjwa.
 
Kisomo chako hakijakusaidia kuweza kuchanganua pumba na ukweli. Mimi nina miaka 60 na hapa nilipo nilikwisha pata chanjo ya small pox nikiwa under 5.

Hiyo ni chanjo moja tu kati ya chanjo nyingi ambazo Africa tunachanja. Zingine ni Anti TB, Anti Hepatitis C, Anti Measles, Anti Yellow Fever, Anti diarrhea na Antib Polio.

Kama wanataka kutuua mbona bado tupo mpaka leo? Wewe mwenyewe Mathanzua kwenye bega lako una alama ya ndui na bado upo hai.

Hizi chanjo zinatoka huko huko kwenye makampuni makubwa ya chanjo kama Moderna, Astra Zeneca, Johnson & Johnson.

Na tayari USA wamechanja watu zaidi ya 100 Milion na hakuna aliyekufa.

Wacha chanjo zije, msiotaka kuchanja hatuwalazimishi na sisi tunaotaka kuchanja tuacheni tuchanje
Uko Marekani wewe,unaamini taarifa unazoletewa na wauaji wako,are you stupid?Umekuwa mjinga kiasi hicho!Soma script ifuatayo uone jinsi wanavyowaongelea watu kama ninyi.They call you stupid,idiots and they further say you are taking yourself to the slaughter house,can you imagine that,na bado mnang'ang'ania,tuwaiteji?Ushahidi uko wazi,people are dying after receiving the shots,are you zombies?Jamani tuwasaidije?

IMG-20210512-WA0008.jpg
 
Kwa mwenye akili Gwajima katoa ushauri mzuri sanaa ila kwa wanasiasa mbuzi wanaona jamaa kaongea siasa
 
Huyu mtoa mada ana ugonjwa wa siasa mkuu ila Gwajima katoa ushauri poa sana kwa wenye akili, binafsi sitachanjwa mpaka niwe na hakika na hayo machanjo yao
Mimi Naona hujajibu hoja,ame-quote data halali kabisa,hivi unavocheza na DNA Unajua madhara yake...Unajua kitu kinaitwa 'autism',hii kitu watoto wengi uzunguni miaka ya karibuni wanazaliwa nayo,na there is a strong link na vaccinations walizopitia wazazi wao,hata babu na bibi zao..Hebu tuache siasa ktk kila kitu..Iq zetu zenyewe ndogo,Hivi tukichezea dna si tutakuja kuzaa wadumavu kbsa..


FDA na CDC wanasema chanjo hizi zipo kwenye trial mpka 2023,kwanini tusisubiri wamalize majaribio yao...
 
Kama mnataka Chanjo unaweza kwenda nchi jirani ukachanjwe. Usitutishe na vimaneno2 sisi siyo watoto, beba familia yako/ukoo wako kama nao wanaakuli kama yako mkachanjwe lakini usitushawishi.
 
Kwa mwenye akili Gwajima katoa ushauri mzuri sanaa ila kwa wanasiasa mbuzi wanaona jamaa kaongea siasa
Uko sahihi kabisa mkuu.Unajua,adui zetu wamechomeka watu wao sana kwenye system yetu,na hao ndio wanao-tupotosha na tusipokuwa makini tutafanya maamuzi ya kijinga ambayo yataharibu kizazi chetu na vizazi vingi vijavyo.Tuko kwenye kipindi nyeti sana na kigumu,tukifanya makosa kidogo tu,tumekwisha..
 
Wewe ni mmoja kati ya wale misukule wa Askofu Gwajima, wale wamepigwa brainwash na Gwajima hawasikii la mtu. Nendeni mfamfufue Mwendazake si Kanisa lenu linaitwa "Ufufuo na Uzima"
Gwajima can never brainwash me, forget.Mimi niko informed zaidi yake.Kwa taarifa yako nime-specialize kwenye Virology.Yeye ametafuta tu taarifa,sio specialist.
 
Mimi Naona hujajibu hoja,ame-quote data halali kabisa,hivi unavocheza na DNA Unajua madhara yake...Unajua kitu kinaitwa 'autism',hii kitu watoto wengi uzunguni miaka ya karibuni wanazaliwa nayo,na there is a strong link na vaccinations walizopitia wazazi wao,hata babu na bibi zao..Hebu tuache siasa ktk kila kitu..Iq zetu zenyewe ndogo,Hivi tukichezea dna si tutakuja kuzaa wadumavu kbsa..


FDA na CDC wanasema chanjo hizi zipo kwenye trial mpka 2023,kwanini tusisubiri wamalize majaribio yao...

Ujinga katika post yako ni hiyo sentensi ya mwisho!! Ndio tulipokwama kama taifa - tunapenda vitu tusivoshulika navyo. Taifa hili halijawahi kuwa na uwezo wa kununa chanjo yoyote na kweli list ya kupewa zipo hata dawa za ARV.

Wasiwasi haujawahi kuipinga sayansi. Badala ya kusema mambo ya kufikirika, fanyeni tafiti mtoe matokeo ya madhara ya hizi chanjo!! Sio kusubiri wengine wafanye halafu uje kusema mwishoni ......”sisi ni nchi masikini, tusaidiwe.....” na watakaotakiwa kusaidia ni hao hao mnawaita mabeberu, hawawapendi kila siku!!!

Vita ya covid ni ya kidunia, tushiriki. Kama ilivo vita yoyote - kuna wengine wachache watakufa!! Huwezi kutaka vita ya kutopoteza hata mtu mmoja!! Kuchelewa kwetu kushirikiana na dunia maana yake sisi ndio tutakuwa wa mwisho pia kuiondoa. Na kama hata barakoa tu tulipuuza, unadhani chanjo tunazozibeza ndio watu watasungwa??
 
Hizi taka taka zako unaona umeandika pointtttt....

Kwahiyo km india wanakufa kwanini na hapa wasife hivyo mbona tunajazana viwanjani na hatufi ..

Low iq ndo shida yako huwezi kufikiria km wewe unagelezea ili upate cha kufikiria yaani wewe ili ufikirie lazima uangalie wengine wanafikiriane.


Kwahiyo km india wanaume wameanza kuolewa na wewe utaolewa ili usionekane upo tofauti na ulimwengu?Huwezi ukafikiria kwa akili zako binafsi ukaona hali iliyopo india haipo tanzania?
 
Ujinga katika post yako ni hiyo sentensi ya mwisho!! Ndio tulipokwama kama taifa - tunapenda vitu tusivoshulika navyo. Taifa hili halijawahi kuwa na uwezo wa kununa chanjo yoyote na kweli list ya kupewa zipo hata dawa za ARV.

Wasiwasi haujawahi kuipinga sayansi. Badala ya kusema mambo ya kufikirika, fanyeni tafiti mtoe matokeo ya madhara ya hizi chanjo!! Sio kusubiri wengine wafanye halafu uje kusema mwishoni ......”sisi ni nchi masikini, tusaidiwe.....” na watakaotakiwa kusaidia ni hao hao mnawaita mabeberu, hawawapendi kila siku!!!

Vita ya covid ni ya kidunia, tushiriki. Kama ilivo vita yoyote - kuna wengine wachache watakufa!! Huwezi kutaka vita ya kutopoteza hata mtu mmoja!! Kuchelewa kwetu kushirikiana na dunia maana yake sisi ndio tutakuwa wa mwisho pia kuiondoa. Na kama hata barakoa tu tulipuuza, unadhani chanjo tunazozibeza ndio watu watasungwa??
aya mjanja
 
Uko Marekani wewe,unaamini taarifa unazoletewa na wauaji wako,are you stupid?Umekuwa mjinga kiasi hicho!Soma script ifuatayo uone jinsi wanavyowaongelea watu kama ninyi.They call you stupid,idiots and they further say you are taking yourself to the slaughter house,can you imagine that,na bado mnang'ang'ania,tuwaiteji?Ushahidi uko wazi,people are dying after receiving the shots,are you zombies?Jamani tuwasaidije?

View attachment 1783443
At most unajuwa kuandika matusi tu lakini huna point. Hicho kipeperushi kinatujazia servers tu. Rubbish
 
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.

Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona. Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.

Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua

Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni. India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil, Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja. Wameshusha hadi grade 1.

Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo? Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi na utaifishaji wa mali.analijua hilo? Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.

Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.

#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

#Kazi iendelee.

Soma: Askofu Gwajima: Ni ujinga kuruhusu Taifa zima kuwa 'experiment' kwa sababu tuna haraka ya Corona
Mwanzo wa uzi tu ulivoanza ku attack mtu badala ya fact nikaacha kuusoma
 
Back
Top Bottom