#COVID19 Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

#COVID19 Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

Sasa kama wanakataa na taarifa hazitolewi. Wewe umepata wapi taarifa kiongozi wangu?
From the Independent Media.Kama unasikiliza BBC,CNN,Aljazeera,CBS,SkyNews,CGTN na watoto wao ITV,Azam,Clouds nk.,huwezi kupata taarifa hizi,kwa kuwa ni vyombo vyao.Huko ni udaku tu and fake news zinazotembea!
 
Sasa kama wanakataa na taarifa hazitolewi. Wewe umepata wapi taarifa kiongozi wangu?
Hebu soma hii,labda mtatuelewa.

IMG-20210512-WA0008.jpg
 
Siasa za Tanzania zinakera sana
Hebu soma hii mkuu,👇.

Gwajima yuko sahihi au sio sahihi.Tatizo letu ni knowledge,we lack proper knowledge,na katika hili swala la C-19 scientific knowledge.Tunaamini udaku wa mainstream media mno,which is fake news.Very sad.

IMG-20210512-WA0008.jpg
 
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.

Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona. Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.

Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua

Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni. India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil, Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja. Wameshusha hadi grade 1.

Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo? Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi na utaifishaji wa mali.analijua hilo? Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.

Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.

#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

#Kazi iendelee.

Soma: Askofu Gwajima: Ni ujinga kuruhusu Taifa zima kuwa 'experiment' kwa sababu tuna haraka ya Corona
Jibu hoja za Gwajima kwa data.
Ulichokifanya hapa,umemshambulia Gwajima,hujajibu hoja zake.
 
Jibu hoja za Gwajima kwa data.
Ulichokifanya hapa,umemshambulia Gwajima,hujajibu hoja zake.
Correct,knowledge mkuu,hawana!Ni ubishi wa kijinga na chuki binafsi kwa Gwajima kwa kuwa ni Msukuma kama Marehemu Magufuli.Very stupid indeed.

We are not at war with the Sukuma here,we want logic and scientific facts,which will challenge Gwajimas' perspective,and so far there are none.
 
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.

Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona. Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.

Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua

Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni. India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil, Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja. Wameshusha hadi grade 1.

Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo? Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi na utaifishaji wa mali.analijua hilo? Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.

Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.

#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

#Kazi iendelee.

Soma: Askofu Gwajima: Ni ujinga kuruhusu Taifa zima kuwa 'experiment' kwa sababu tuna haraka ya Corona



Fact-check: Ukweli kuhusu upotoshaji wa Mbunge wa Kawe juu ya chanjo ya Covid-19

Ufuatao ni ukweli kuhusu kauli za upotoshaji juu ya chanjo ya corona zilizotolewa na Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima, Bungeni Mei 11, 2021

1. MRA technology iliyotumika kutengeneza chanjo inaingia kwenye DNA na RNA ya binadamu na inatuma ujumbe miaka ijayo mtu azaliwe wa namna gani. Miaka 20 au 30 ijayo Watanzania wanaweza kuzaliwa hawawezi kufikiri vizuri

UKWELI

Teknolojia iliyotengeneza chanjo haiitwi MRA bali inaitwa "messenger RNA (mRNA)" ambayo haibadilishi chembe chembe za mwili wa binadamu wala kuingilia DNA ya binadamu. Utafiti wa wanasayansi umethibitisha kuwa mRNA hiyo huvunjikavunjika muda mfupi baada ya mtu kupigwa chanjo na haikai haikai kabisa mwilini.

2. CDC (Centre of Disease and Control and Prevention) inaruhusu dawa kupitishwa Marekani pamoja na shirika jingine linaitwa FDA (Flag and Drug Authority). Chanjo zote hizi unazoziona hazijapitishwa na mashirika haya.

UKWELI

Usahihi ni kuwa kirefu cha CDC siyo "Centre of Disease and Control and Prevention" kama alivyodai Mbunge wa Kawe bali ni Centers for Disease Control and Prevention na kazi ya CDC siyo kuruhusu matumizi ya dawa bali kutoa taarifa kuhusu magonjwa na kuyadhibiti.

Jukumu la kuruhusu matumizi ya madawa Marekani liko chini ya FDA (Food and Drug Administration) na siyo "Flag and Drug Authority" aliyosema mbunge.

Hadi hivi sasa, FDA imeruhusu aina 3 ya chanjo zitumike Marekani, ambazo ni Pfizer, Moderna na Johnson & Johnson

3. Kuna kishirika kidogo kinaitwa Emergency Use Authorization ndiyo ambacho kimeidhinisha chanjo za dharura

UKWELI

Emergency Use Authorization siyo shirika wala kishirika, bali ni utaratibu au mfumo chini ya FDA ambao unaruhusu dawa au chanjo ambazo hazijapitia mchakato wa kawaida mrefu wa tathmini, ziweze kufanyiwa tathmini ya haraka na kuruhusiwa kutumika wakati wa majanga au dharura ya kitaifa na kimataifa kama Covid-19.

4. EMA (European Medicines Agency) haijaruhusu chanjo yoyote itumike, bali chanjo hizo zimeruhusiwa na kishirika hicho kidogo cha Emergency Use Authorization

UKWELI

EMA ndiyo mamlaka pekee yenye uwezo wa kuruhusu dawa na chanjo zinazotumika Ulaya na siyo FDA au hicho kishirika hewa cha Emergency Use Authorization alichokisema mbunge.

Ukweli ni kuwa EMA hadi sasa imeruhusu aina 4 ya chanjo kutumika kwenye nchi za ulaya, ambazo ni Johnson & Johnson, Pfizer/BioNTech, Moderna na AstraZeneca/Oxford

5. Madhara ya chanjo ni pamoja na kushindwa kupumua, damu kuganda na kifo

UKWELI

Hakuna watengenezaji wa chanjo yoyote wanaosema kuwa moja ya madhara yake (side effects) ni kifo. Siyo WHO, CDC, FDA, EMA wala taasisi yoyote ile ya kisayansi na kitabibu iliyotoa tahadhari kuwa moja ya madhara ya chanjo ni kifo.

Chanjo za corona, kama ilivyo dawa au chanjo zozote nyingine duniani, zinaweza kuwa na madhara kwa baadhi ya watumiaji. Utafiti umeonesha kuwa hakuna kifo hata kimoja duniani ambacho kimehusishwa moja kwa moja na chanjo za corona. Asilimia kubwa ya madhara kwa waliopigwa chanjo ya corona ambayo imeonekana kutokea ni kwa baadhi ya watu kuumwa na kichwa kwa muda mfupi. Watafiti wamebaini kuwa faida za chanjo ni dhahiri.

Ikumbukwe kuwa hata dawa ya Aspirin nayo husababisha madhara kwa baadhi ya watu, ikiwemo kotoka damu.

Katika mataifa 54 ya Afrika, ni mataifa 5 tu ambayo bado hayajaanza kutumia chanjo ya corona, nayo ni Chad, Burkina Faso, Burundi, Tanzania na Eritrea

Madagascar, ambapo tulituma ndege ya serikali na waziri wetu mwaka jana kwenda kufuata iliyoitwa "tiba ya asili" ya corona, sasa imeachana na mitishamba baada ya kubaini kuwa haifanyi kazi na kuingia rasmi kwenye matumizi ya chanjo.

Wahenga walisema: "Uongo ukiachiwa uzungumzwe sana, huonekana ndio ukweli"

"Ukitaka kwenda haraka, nenda peke yako. Ukitaka kwenda mbali, nenda na wenzetu"

Twende na wenzetu ulimwenguni, ikiwemo mataifa mengine karibu 50 ya Afrika ambayo yanatumia chanjo ya corona na tayari baadhi ya nchi hizo zimeanza kupata mafanikio ya kupunguza kasi ya maambukizi na idadi ya vifo.
 
Kuna mwaka ilizuka homa ya dengue.

Ikasumbua kwelikweli, kuna watu maarufu tukawapoteza na wengine wakalazwa kisha serikali ikaweka wazi kwamba ikikupata popote ulipo kbla ya hospitali ukihisi dalili tu anza kunywa maji kwa wingi na panadol.

Kisha audio klipu ya Gwajima ikasambaa kwa kasi akisema hakuna ugonjwa wa homa ya dengue, ugonjwa gani unawapata watu maarufu pekee? Ugonjwa gani unaoua dawa yake panadol? Hakuna huo ugonjwa ni danganya toto ya serikali.

Mlitarajia katika hili awe na msimamo gani? Yaani acha kwamba ameunga mkono juhudi, kwa maoni yake ya tangu enzi za dengue unadhani sasa hivi angesema nini?
Mimi sielewi kabisa huyu bwana aliupatsje huo Ubunge.... Sijui alimpigia juju bwana mkubwa au vipi. Maana Siku ile ya kampeni kule Kawe mishipa ilimtoka na sauti ilikauka kwa kumuombea Rashid kura......!!
 
Hao watu waliofurika umewaona hospitali zipi mkuu ebu ifike mahala tusiongee ushabiki mimi namkatagaa bwana chidi gwajima lakini sio kwa hili aisee
 
Fact-check: Ukweli kuhusu upotoshaji wa Mbunge wa Kawe juu ya chanjo ya Covid-19

Ufuatao ni ukweli kuhusu kauli za upotoshaji jutens chanjo ya corona zilizotolewa na Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima, Bungeni Mei 11, 2021

1. MRA technology iliyotumika kutengeneza chanjo inaingia kwenye DNA na RNA ya binadamu na inatuma ujumbe miaka ijayo mtu azaliwe wa namna gani. Miaka 20 au 30 ijayo Watanzania wanaweza kuzaliwa hawawezi kufikiri vizuri

UKWELI

Teknolojia iliyotengeneza chanjo haiitwi MRA bali inaitwa "messenger RNA (mRNA)" ambayo haibadilishi chembe chembe za mwili wa binadamu wala kuingilia DNA ya binadamu. Utafiti wa wanasayansi umethibitisha kuwa mRNA hiyo huvunjikavunjika muda mfupi baada ya mtu kupigwa chanjo na haikai haikai kabisa mwilini.

2. CDC (Centre of Disease and Control and Prevention) inaruhusu dawa kupitishwa Marekani pamoja na shirika jingine linaitwa FDA (Flag and Drug Authority). Chanjo zote hizi unazoziona hazijapitishwa na mashirika haya.

UKWELI

Usahihi ni kuwa kirefu cha CDC siyo "Centre of Disease and Control and Prevention" kama alivyodai Mbunge wa Kawe bali ni Centers for Disease Control and Prevention na kazi ya CDC siyo kuruhusu matumizi ya dawa bali kutoa taarifa kuhusu magonjwa na kuyadhibiti.

Jukumu la kuruhusu matumizi ya madawa Marekani liko chini ya FDA (Food and Drug Administration) na siyo "Flag and Drug Authority" aliyosema mbunge.

Hadi hivi sasa, FDA imeruhusu aina 3 ya chanjo zitumike Marekani, ambazo ni Pfizer, Moderna na Johnson & Johnson

3. Kuna kishirika kidogo kinaitwa Emergency Use Authorization ndiyo ambacho kimeidhinisha chanjo za dharura

UKWELI

Emergency Use Authorization siyo shirika wala kishirika, bali ni utaratibu au mfumo chini ya FDA ambao unaruhusu dawa au chanjo ambazo hazijapitia mchakato wa kawaida mrefu wa tathmini, ziweze kufanyiwa tathmini ya haraka na kuruhusiwa kutumika wakati wa majanga au dharura ya kitaifa na kimataifa kama Covid-19.

4. EMA (European Medicines Agency) haijaruhusu chanjo yoyote itumike, bali chanjo hizo zimeruhusiwa na kishirika hicho kidogo cha Emergency Use Authorization

UKWELI

EMA ndiyo mamlaka pekee yenye uwezo wa kuruhusu dawa na chanjo zinazotumika Ulaya na siyo FDA au hicho kishirika hewa cha Emergency Use Authorization alichokisema mbunge.

Ukweli ni kuwa EMA hadi sasa imeruhusu aina 4 ya chanjo kutumika kwenye nchi za ulaya, ambazo ni Johnson & Johnson, Pfizer/BioNTech, Moderna na AstraZeneca/Oxford

5. Madhara ya chanjo ni pamoja na kushindwa kupumua, damu kuganda na kifo

UKWELI

Hakuna watengenezaji wa chanjo yoyote wanaosema kuwa moja ya madhara yake (side effects) ni kifo. Siyo WHO, CDC, FDA, EMA wala taasisi yoyote ile ya kisayansi na kitabibu iliyotoa tahadhari kuwa moja ya madhara ya chanjo ni kifo.

Chanjo za corona, kama ilivyo dawa au chanjo zozote nyingine duniani, zinaweza kuwa na madhara kwa baadhi ya watumiaji. Utafiti umeonesha kuwa hakuna kifo hata kimoja duniani ambacho kimehusishwa moja kwa moja na chanjo za corona. Asilimia kubwa ya madhara kwa waliopigwa chanjo ya corona ambayo imeonekana kutokea ni kwa baadhi ya watu kuumwa na kichwa kwa muda mfupi. Watafiti wamebaini kuwa faida za chanjo ni dhahiri.

Ikumbukwe kuwa hata dawa ya Aspirin nayo husababisha madhara kwa baadhi ya watu, ikiwemo kotoka damu.

Katika mataifa 54 ya Afrika, ni mataifa 5 tu ambayo bado hayajaanza kutumia chanjo ya corona, nayo ni Chad, Burkina Faso, Burundi, Tanzania na Eritrea

Madagascar, ambapo tulituma ndege ya serikali na waziri wetu mwaka jana kwenda kufuata iliyoitwa "tiba ya asili" ya corona, sasa imeachana na mitishamba baada ya kubaini kuwa haifanyi kazi na kuingia rasmi kwenye matumizi ya chanjo.

Wahenga walisema: "Uongo ukiachiwa uzungumzwe sana, huonekana ndio ukweli"

"Ukitaka kwenda haraka, nenda peke yako. Ukitaka kwenda mbali, nenda na wenzetu"

Twende na wenzetu ulimwenguni, ikiwemo mataifa mengine karibu 50 ya Afrika ambayo yanatumia chanjo ya corona na tayari baadhi ya nchi hizo zimeanza kupata mafanikio ya kupunguza kasi ya maambukizi na idadi ya vifo.
Dah!Mkuu with all due respect,maelezo yako sio factual.Uko uninformed sana kuhusu the so called chanjo ya C-19,ambayo sio chanjo,but a bioweapon and an "Operating System."


I appreciate marekebisho cosmetic uliyofanya kwenye taarifa ya Gwajima, kama the long forms of the FDA,the CDC etc., but these are very minor issues and too cosmetic.

Mkuu taarifa zako umezitoa sana sana kwenye mainstream media,ambayo ni mostly udaku or fake news.Mkuu taarifa za Mainstream Media ziko meant to cheat and therefore mislead us.Mimi sikuwa na haja ya kuweka my own understanding and what I know about C-19,ingawa najua na ni mtaalamu in Virology,kama wewe ulivyofanya, because I new people might not believe empty words.Kwa hiyo nimefanya kazi ya ku-collect information from independent and uncompromized scientists all over the World like myself,ambao we have nothing to loose by speaking science and the truth.

Nakusihi usome taarifa hizo ambazo frankly ni very scientific hapa👇.If you are not being used,uncompromized and an independent thinker,nadhani utafahamu vizuri agenda nzima ya C-19.




Kwa kukudokeza kidogo ni kwamba the C-19 shot is a Microsoft Windows 666 mRNA Operating System.Mkuu kama unaelewa maana ya 666,you will appreciate initially what I am talking about,the shot is 100% luciferian.


Mkuu kwa kukubali the C-19 shot,they say,and I quote,"you are going to the slaughter house alone." Unquote.Can you imagine that,halafu mnaishabikia,no wonder they call you idiots(see the script).
Naomba uisome hiyo script 👇 before you peruze through the information,nadhani itakufungua macho.



IMG-20210512-WA0008.jpg
 
Hebu soma hii mkuu,👇.

Gwajima yuko sahihi au sio sahihi.Tatizo letu ni knowledge,we lack proper knowledge,na katika hili swala la C-19 scientific knowledge.Tunaamini udaku wa mainstream media mno,which is fake news.Very sad.

View attachment 1782111
Sasa hicho kipeperushi unakiamini vipi? Unakuwaje kama hicho kitabu kikikuwapo miaka hiyo ya 1980?
 
Dah!Mkuu with all due respect,maelezo yako sio factual.Uko uninformed sana kuhusu the so called chanjo ya C-19,ambayo sio chanjo,but a bioweapon and an "Operating System."


I appreciate marekebisho cosmetic uliyofanya kwenye taarifa ya Gwajima, kama the long forms of the FDA,the CDC etc., but these are very minor issues and too cosmetic.

Mkuu taarifa zako umezitoa sana sana kwenye mainstream media,ambayo ni mostly udaku or fake news.Mkuu taarifa za Mainstream Media ziko meant to cheat and therefore mislead us.Mimi sikuwa na haja ya kuweka my own understanding and what I know about C-19,ingawa najua na ni mtaalamu in Virology,kama wewe ulivyofanya, because I new people might not believe empty words.Kwa hiyo nimefanya kazi ya ku-collect information from independent and uncompromized scientists all over the World like myself,ambao we have nothing to loose by speaking science and the truth.

Nakusihi usome taarifa hizo ambazo frankly ni very scientific hapa👇.If you are not being used,uncompromized and an independent thinker,nadhani utafahamu vizuri agenda nzima ya C-19.




Kwa kukudokeza kidogo ni kwamba the C-19 shot is a Microsoft Windows 666 mRNA Operating System.Mkuu kama unaelewa maana ya 666,you will appreciate initially what I am talking about,the shot is 100% luciferian.


Mkuu kwa kukubali the C-19 shot,they say,and I quote,"you are going to the slaughter house alone." Unquote.Can you imagine that,halafu mnaishabikia,no wonder they call you idiots(see the script).
Naomba pia usome script ifuatayo👇 before you peruze through the information,nadhani itakufungua macho.



View attachment 1782310
Kisomo chako hakijakusaidia kuweza kuchanganua pumba na ukweli. Mimi nina miaka 60 na hapa nilipo nilikwisha pata chanjo ya small pox nikiwa under 5.

Hiyo ni chanjo moja tu kati ya chanjo nyingi ambazo Africa tunachanja. Zingine ni Anti TB, Anti Hepatitis C, Anti Measles, Anti Yellow Fever, Anti diarrhea na Antib Polio.

Kama wanataka kutuua mbona bado tupo mpaka leo? Wewe mwenyewe Mathanzua kwenye bega lako una alama ya ndui na bado upo hai.

Hizi chanjo zinatoka huko huko kwenye makampuni makubwa ya chanjo kama Moderna, Astra Zeneca, Johnson & Johnson.

Na tayari USA wamechanja watu zaidi ya 100 Milion na hakuna aliyekufa.

Wacha chanjo zije, msiotaka kuchanja hatuwalazimishi na sisi tunaotaka kuchanja tuacheni tuchanje
 
Mimi Naona hujajibu hoja,ame-quote data halali kabisa,hivi unavocheza na DNA Unajua madhara yake...Unajua kitu kinaitwa 'autism',hii kitu watoto wengi uzunguni miaka ya karibuni wanazaliwa nayo,na there is a strong link na vaccinations walizopitia wazazi wao,hata babu na bibi zao..Hebu tuache siasa ktk kila kitu..Iq zetu zenyewe ndogo,Hivi tukichezea dna si tutakuja kuzaa wadumavu kbsa..


FDA na CDC wanasema chanjo hizi zipo kwenye trial mpka 2023,kwanini tusisubiri wamalize majaribio yao...
Kongole sidhani gwajima ni kopo tupu hapana tujadili kea kujenga hoja na si kukejeli.kama unaona Hana hoja nawe let's hoja yake ichakatwe na wajuvi humu ndani na kubeza tu hoja za wengine.
 
Hivi ameacha ile theory yake ya 5G? Yaani hii nchi mpaka unashangaa watu wanakuwaje wabunge au wachungaji!
 
Kisomo chako hakijakusaidia kuweza kuchanganua pumba na ukweli. Mimi nina miaka 60 na hapa nilipo nilikwisha pata chanjo ya small pox nikiwa under 5.

Hiyo ni chanjo moja tu kati ya chanjo nyingi ambazo Africa tunachanja. Zingine ni Anti TB, Anti Hepatitis C, Anti Measles, Anti Yellow Fever, Anti diarrhea na Antib Polio.

Kama wanataka kutuua mbona bado tupo mpaka leo? Wewe mwenyewe Mathanzua kwenye bega lako una alama ya ndui na bado upo hai.

Hizi chanjo zinatoka huko huko kwenye makampuni makubwa ya chanjo kama Moderna, Astra Zeneca, Johnson & Johnson.

Na tayari USA wamechanja watu zaidi ya 100 Milion na hakuna aliyekufa.

Wacha chanjo zije, msiotaka kuchanja hatuwalazimishi na sisi tunaotaka kuchanja tuacheni tuchanje
Miaka 60 hiyo
 
Kisomo chako hakijakusaidia kuweza kuchanganua pumba na ukweli. Mimi nina miaka 60 na hapa nilipo nilikwisha pata chanjo ya small pox nikiwa under 5.

Hiyo ni chanjo moja tu kati ya chanjo nyingi ambazo Africa tunachanja. Zingine ni Anti TB, Anti Hepatitis C, Anti Measles, Anti Yellow Fever, Anti diarrhea na Antib Polio.

Kama wanataka kutuua mbona bado tupo mpaka leo? Wewe mwenyewe Mathanzua kwenye bega lako una alama ya ndui na bado upo hai.

Hizi chanjo zinatoka huko huko kwenye makampuni makubwa ya chanjo kama Moderna, Astra Zeneca, Johnson & Johnson.

Na tayari USA wamechanja watu zaidi ya 100 Milion na hakuna aliyekufa.

Wacha chanjo zije, msiotaka kuchanja hatuwalazimishi na sisi tunaotaka kuchanja tuacheni tuchanje
Lete taarifa za kitaalamu kama nilizoleta sio udaku,we are not interested.
 
tayari mzigo wa astra ushatua bongo jiandaeni kuchanjwa muda wowote kuanzia sasa
 
Sasa hicho kipeperushi unakiamini vipi? Unakuwaje kama hicho kitabu kikikuwapo miaka hiyo ya 1980?
Hicho sio kipeperushi mkuu,ni summary ya kitabu kilichoandikwa na mtu wa ndani wa Bildeberg Group, ambao ndio wenye mpango mzima wa depopulation kupitia kwenye chanjo ya C-19,na hatimaye kuwa na mfumo mpya wa dunia(NWO).

Mkuu mimi sina source moja ya taarifa,I have many.Kama kweli una nia ya kujifunza kuhusu C-19,fuata link niliyoweka,ina taarifa za wataalamu wengi,hiyo summary nimeiweka kama kianzio tu,na nimeliweka hili wazi kwenye comment yangu.
 
Hao watu waliofurika umewaona hospitali zipi mkuu ebu ifike mahala tusiongee ushabiki mimi namkatagaa bwana chidi gwajima lakini sio kwa hili aisee
Mkuu hawa watu wanasikiliza story za vijiweni,ambazo ni very unfounded.Wanadanganyana kweli kweli.The following script portrays them extremely well.

IMG-20210512-WA0008.jpg
 
Wewe na familia yako na mcheza porn Gwajima mnaweza kupuuza. Chnjo ije wanaotaka wachanje.
Wanaotaka wachanje. Sisi wengine tutasubiri kuona kitakachotokea kwao kwa miaka kama 5 hivi halafu ndio na sisi tuamue kuchanja au la.
 
Back
Top Bottom