Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 17,251
- 22,929
Francis vichwa vya watu wetu ni vibovu sana.Diagnostic ability zero.Hawajiulizi ni kwanini baada ya C19 ghafla kumeibuka shortage ya computer chips duniani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Francis vichwa vya watu wetu ni vibovu sana.Diagnostic ability zero.Hawajiulizi ni kwanini baada ya C19 ghafla kumeibuka shortage ya computer chips duniani
Hoja za kufufua watu na kununua treni ama?Naona wachangiaji wengi wanamshambulia Gwajima badala ya kushambulia hoja zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli mimi naiogopa chanjo kutokana na side effects ninazo zisikia. Ila watuletee tu ili wanaohitaji wapate. Sina pingamiziWenzenu wanapukutika kwa hiyo mnayoita wrongly chanjo,ninyi mnaishabikia,are you robots?
Address hoja iliyo mezani mkuu.Comment za namna hii zina kushusha sana.Hoja za kufufua watu na kununua treni ama?
You are misinformedMimi Naona hujajibu hoja,ame-quote data halali kabisa,hivi unavocheza na DNA Unajua madhara yake...Unajua kitu kinaitwa 'autism',hii kitu watoto wengi uzunguni miaka ya karibuni wanazaliwa nayo,na there is a strong link na vaccinations walizopitia wazazi wao,hata babu na bibi zao..Hebu tuache siasa ktk kila kitu..Iq zetu zenyewe ndogo,Hivi tukichezea dna si tutakuja kuzaa wadumavu kbsa..
FDA na CDC wanasema chanjo hizi zipo kwenye trial mpka 2023,kwanini tusisubiri wamalize majaribio yao...
Wewe unaogopa, wenzio wachanjwe kwa sababu ya ujinga walio nao?No we must protect them,pamoja na ujinga wao.Kiukweli mimi naiogopa chanjo kutokana na side effects ninazo zisikia. Ila watuletee tu ili wanaohitaji wapate. Sina pingamizi
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Kucheza pono ndio kuondoa fikra chanya , mbona kacheza pono na kawa mbunge unaweza weka chuki na usielewe anachosema kwa chuki binafsi na bado ukawa haumzidi maisha.
Wewe ndiye uko confused,Gwajima is 100% correct.Let him continue digging his own grave. He looks confused.
Ulicho andika hapa ni upuuzi.Gwajima kaongea,sasa if you think he is wrong,give us alternative facts.It is stupid kumshambulia halafu ukaachia hapo.Kwanza ni makosa kumwita mweshimiwa,
Hivi aliwezaje kupata waumini kwenye kabisa lake?
Uko sahihi kabisa mkuu.Bill Gates hana utaalamu wowote wa chanjo duniani,lakini kwa sasa ndiye vaccine Tzar.Anyway,I am not surprized by the comment,it comes from a very uninformed person.Kumpuuza Gwajima et hana utaalamu na mambo ya chanjo hata sio jambo la kushangaaza kwa sababu hata huko kwa mabeberu wataalamu wanapuuzwa na siasa ndio inachukua nafasi kwenye kushughulikia covid-19, mitandao ya kijamii huko wakiandika yaliyo kijume na WHO inachukuliwa ni taarifa za kupotosha na kufutwa.
Gwaji boy Ana utalaam upi? Labda wa kudanganya misukule yake na kula kondoo. Eti linajiita askofu my foot! Askofu unashiriki Haram? Hili tapeli na lile Lusekelo yaanamwaabisha tu KristoNafikiri wewe ndio mpuuzi wa kupuuzwa Gwajima kachambua kkitaalamu zaidi kuhusu chanjo hiyo na wewe umekuja na gazeti refu limejaa shutuma tu , pathetic
Umeanza vizuri ukamaliza kipumbavuSikiliza hoja zake, uchambue kwa evidences wapi kaongea pumba na wewe utoe facts zako. Kujibu kwa misingi ya kisasa na ushabiki ni tatizo kuliko corona. Na wote mnaopingana na Gwajima katikahoja hii ninyi nyote ni mapubavu tu.
Kama side effect ni kuganda damu na kufa so tutegemee nchi zilizochanja raia wake kubaki mashamba matupu na mahame?Amekuja na data za kutosha sasa mjibu kisomi
Kwanza tuambie ile alichosema kadanganya?
Kwenye website official amesema wameandika side effect za chanjo ambapo Karibu zote zinaonesha kuganda damu na kufa
Lakini pia ametaja taasisi ambayo zinahusika na mambo ya chanjo dunian na zinaratibu taratibu pia je tuambir ameongoka na taratibu zimefatwa? Kwa watengeneza chanjo za covid 19?
Mjibu kisomi acha chuki ukipenda sana chanjo kacjome Kenya wqnazo
Taratibu muumini wa uzima na ufufuko. Chanjo ni mhimu endapo itaonekana balaa limezidi. WHO ndo chombo pekee kitakachothibitisha ama chanjo itumike au isitumike. Binafsi nitachanjwa bira shuruti, kabla ya kuchanjwa nitaacha maelekezo kwa ndugu zangu juu ya uwezo wa bishop Gwajima wa kufufua wafu. So endapo damu ikiganda nikifa muujiza wa ufufuo na uzima utanihusu.Moja ya hoja za hovyo kabisa. Wewe kama unaogopa kufa kwa Corona ni wewe nenda kachanjwe. Hoja alizotoa Bishop Gwajima zinamashiko, taifa haliwezi kufanyiwa majaribio aisee tumekuwa manyani sisi. Thubutu
Birmingham labda ya kanda ziwaKawe bado mnasubilia kwenda brigham marekani?
Swissme
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.
Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona. Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.
Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua
Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni. India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil, Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja. Wameshusha hadi grade 1.
Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo? Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi na utaifishaji wa mali.analijua hilo? Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.
Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.
#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
#Kazi iendelee.
Soma: Askofu Gwajima: Ni ujinga kuruhusu Taifa zima kuwa 'experiment' kwa sababu tuna haraka ya Corona
Mkuu mpaka sasa watu wengi wanakataa kuchanjwa,ila taarifa hii hazitolewi,wanaficha ili wasi-encourage watu kukubali hiyo chanjo.Kama side effect ni kuganda damu na kufa so tutegemee nchi zilizochanja raia wake kubaki mashamba matupu na mahame?
Sasa kama wanakataa na taarifa hazitolewi. Wewe umepata wapi taarifa kiongozi wangu?Mkuu mpaka sasa watu wengi wanakataa kuchanjwa,ila taarifa hii hazitolewi,wanaficha ili wasi-encourage watu kukubali hiyo chanjo.
Halafu wengi waliochanjwa wanakufa,usijidanganye.Deaths and other side effects start from day one,ila maximum life expectancy ya mtu aliyechanjwa ni 3 yrs only according,to a former Pfizer scientist Mike Yeadon.