#COVID19 Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

#COVID19 Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

Wewe ni mshenzi kwa sababu unatetea mawazo ya kishetani na unaonekana unashiriki mambo ya free mason .

Huna tofauti na lucifa yaani unaombea watanzania wengi wafe kwa corona kwa kukataa chanjo ili upate kafara.
Mkuu nadhani umekosea,wanaotetea C-19 shot ndio wanaotetea hoja za kishetani au ki-Freemason,mbona mimi niko against the C-19 shot?
 
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.

Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona. Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.

Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua.

Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni. India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil, Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja. Wameshusha hadi grade 1.

Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo? Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi na utaifishaji wa mali.analijua hilo? Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.

Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.

#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

#Kazi iendelee.

Soma: Askofu Gwajima: Ni ujinga kuruhusu Taifa zima kuwa 'experiment' kwa sababu tuna haraka ya Corona
Pole sana kwa kupoteza ndugu zako kwa ugonjwa wa corona
 
Huyu ndiye yule askofu wa wajinga aliyekuwa akiwahamasisha wasukuma kwa kilugha wamsapoti dikteta aliyekwenda?!! Askofu huyu anaamini katika kufufua ndondocha na misukule lakini haamini korona inaua?!!!!
Hatujakataa kuwa ni askofu wa wajinga, hilo tumekubali, ila sasa, jibu hoja zake
 
Huyu askofu ana akili kweli? Hajui kama 'wakomunist'na 'wajamaa' rafiki zetu vipenzi China na Urusi wana chanjo? Kama tatizo ni Ulaya kwa nini hajashauri tukazifate huko. Kama anakataa au tunakataa tukatae kwa sababu ya nyingine sio tu kwa sababu zinatoka Ulaya.

WHO iko chini ya influence ya China, ndio maana Trump alijitoa.

Twendeni kwa fact tuache mentality za kishamba, mbona boss wake wachina walikuja kumchanja kule kijijini
Afu walivyomchanja kikatokea nini?? na ukajifunza nini??
 
Kama hamuwezi kujibu hoja zake, kwanini msikae kimya hoja ipite? Regardless ni za Lucifer au za malaika
Mimi nimewaambia watuambie kwa nini hoja zake ni za Lucifer wameshindwa.Unajua,hawa watu ni wajinga sana,kwa kuwa Magufuli aliwaendesha puta kwa sababu ya ujinga wao,kila kitu cha Magufuli ni kibaya.Very stupid indeed.

Infact kutetea the C-19 shot ndio ushetani,kwa kuwa the idea of the shot comes from Lucifer.The short is infact Microsoft Windows 666 mRNA Operating System.

Kwa wale wanaojua maana ya namba 666, watakubaliana nami kwamba the technology comes from Lucifer himself.
 
Ila Gwajima si wa mchezo mchezo,cheki jinsi alivyomfuta Bashite kwenye siasa
 
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.

Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona. Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.

Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua.

Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni. India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil, Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja. Wameshusha hadi grade 1.

Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo? Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi na utaifishaji wa mali.analijua hilo? Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.

Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.

#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

#Kazi iendelee.

Soma: Askofu Gwajima: Ni ujinga kuruhusu Taifa zima kuwa 'experiment' kwa sababu tuna haraka ya Corona
Let him continue digging his own grave. He looks confused.
 
Mkuu kwa bahati mbaya hoja hii umeileta wewe mwenyewe ukiwa huna ufahamu wowote wa kitaaluma kuhusu C-19.Mbaya zaidi,wachangiaji wako wengi nao ufahamu wao kuhusu C-19 ni mdogo sana au hawana kabisa,so wanamshambulia Gwajima bila hoja zozote mbadala,kwa hiyo ni vigumu sana kuendelea na mjadala kama huo.

Nahisi kuna chuki binafsi kwa marehemu,ila a sound mind haiwezi kuwa na msimamo kama huo.Watu huwa tunaangalia hoja sio mtu.

Mwisho,nakushauri kwa mara nyingine tena wewe mwenyewe na wachangiaji wako,kama kweli mna nia ya dhati ya kujifunza kuhusu C-19 mfuate link ifuatayo.Link hiyo imesheheni taarifa nyingi sana authentic za kitaalamu kuhusu C-19,from independent and uncompromized scientists.Sio huu udaku tunao usikia from the mainstream news channels kama CNN,BBC.Aljazeera,SkyNews,NBC,CGTN nk. na watoto wao kama ITV,Azam,Clouds nk.

Kumbuka kwamba, "no research,no right to speak."




Labda ni vizuri ukasoma hii pia,it will show you the dangers we are facing.

IMG-20210512-WA0008.jpg
 
Mimi nimewaambia watuambie kwa nini hoja zake ni za Lucifer wameshindwa.Unajua,hawa watu ni wajinga sana,kwa kuwa Magufuli aliwaendesha puta kwa sababu ya ujinga wao,kila kitu cha Magufuli ni kibaya.Very stupid indeed.

Infact kutetea the C-19 shot ndio ushetani,kwa kuwa the idea of the shot comes from Lucifer.The short is infact Microsoft Windows 666 mRNA Operating System.

Kwa wale wanaojua maana ya namba 666, watakubaliana nami kwamba the technology comes from Lucifer himself.
Hawajiulizi ni kwanini baada ya C19 ghafla kumeibuka shortage ya computer chips duniani
 
Kumpuuza Gwajima et hana utaalamu na mambo ya chanjo hata sio jambo la kushangaaza kwa sababu hata huko kwa mabeberu wataalamu wanapuuzwa na siasa ndio inachukua nafasi kwenye kushughulikia covid-19, mitandao ya kijamii huko wakiandika yaliyo kijume na WHO inachukuliwa ni taarifa za kupotosha na kufutwa.
 
Kwani watu hawafi,hawagandi damu,hujasikia nchi zilizositisha chanjo sababu ya madhara yaliyotokea?
Au una mchukia tu.
tueleze basi wewe ukweli tukuamini,tutajie nchi ambayo sasa hivyi wako salama baada ya kuchanjwa? Labda Amerika hawafi baada ya kuvumbua hizo chanjo na kuwachanja? Au India hawafi maana nao wanatengeza hizo chanjo?
Ungejibu kwanza kuhusu treni hapo ningejua huna mhemko!
 
Back
Top Bottom