#COVID19 Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

#COVID19 Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

Huyo unamjua wewe MATAGA wa lumumba na mwana sukuma gang

Mbwa nyie mnadhan mkipigwa hizo chanjo nini kitabadilika? Hamna akili mnashindwa hata kufikiria vzur, wawatengenezee chanjo nyie mna umuhimu gan kwao?
Wape vidonge vyao hao,wajinga kabisa.Hii mijitu au inalipwa,au imejaza makamasi vichwani mwao.Washenzi kabisa.
 
Sasa mbona hujatoa hoja yeyote ya kupingana na hoja zake? Hayo yote uliyosema ni kweli hatukatai, ila jibu hoja zake basi? Tumpuuze wakati hujapangua hoja yake hata moja, unatuonaje waTz?
 
Ni mbumbu kuhusu swala la C-19 mkuu.Hapo ndipo ujue Watanzania wengi ufahamu wao ni mdogo sana,kwa hiyo ni rahisi sana kuingizw mkenge.Tujipe pole kwa kweli,tutalishwa pumba mpaka tukome.
Mbona tayari unakula pumba kila siku kama kuku wa kizungu anakulisha mtengeneza chanjo?
 
Mimi Naona hujajibu hoja,ame-quote data halali kabisa,hivi unavocheza na DNA Unajua madhara yake...Unajua kitu kinaitwa 'autism',hii kitu watoto wengi uzunguni miaka ya karibuni wanazaliwa nayo,na there is a strong link na vaccinations walizopitia wazazi wao,hata babu na bibi zao..Hebu tuache siasa ktk kila kitu..Iq zetu zenyewe ndogo,Hivi tukichezea dna si tutakuja kuzaa wadumavu kbsa..


FDA na CDC wanasema chanjo hizi zipo kwenye trial mpka 2023,kwanini tusisubiri wamalize majaribio yao...
Na mimi ndio nimemwambia hivyo hivyo, tutampuuza vipi mtu ambae umeshindwa kupangua hoja zake hata moja?
 
Mimi ushenzi wangu ni upi,lete hoja.Wewe ushenzi wako ni kutetea ushenzi wa C-19 shot.
Wewe ni mshenzi kwa sababu unatetea mawazo ya kishetani na unaonekana unashiriki mambo ya free mason .

Huna tofauti na lucifa yaani unaombea watanzania wengi wafe kwa corona kwa kukataa chanjo ili upate kafara.
 
Mbona tayari unakula pumba kila siku kama kuku wa kizungu anakulisha mtengeneza chanjo?
Mimi sili kuku wa kizungu,nakula wa kienyeji mkuu,kwa kuwa najua mtengeneza madawa ndie huyo huyo anayetengeneza chanjo zote,hata hii shot ya C-19.
 
Huyu askofu ana akili kweli? Hajui kama 'wakomunist'na 'wajamaa' rafiki zetu vipenzi China na Urusi wana chanjo? Kama tatizo ni Ulaya kwa nini hajashauri tukazifate huko. Kama anakataa au tunakataa tukatae kwa sababu ya nyingine sio tu kwa sababu zinatoka Ulaya.

WHO iko chini ya influence ya China, ndio maana Trump alijitoa.

Twendeni kwa fact tuache mentality za kishamba, mbona boss wake wachina walikuja kumchanja kule kijijini
Hana akili, tumekubali, ila sasa, jibu hoja zake
 
Back
Top Bottom