#COVID19 Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

#COVID19 Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

Nak
Kutokana na huyu virus anavyobadilika kila wakati lazima trial itaendelea mpaka kupata ile inayo weza cover mutation zote,so hakuna sababu ya kusubili why tusijikinge kuzuia mutation maana ubishi wa kutojikinga ndo utasababisha mamutation ya huyu virus kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine so trial itaendelea ila Sio kwamba chanjo iliyopo kwa Sasa Sio effective

Pili dunia hii ikiwemo tanzania hakuna kipya ,unaposema AUTISM SPECTRUM DISORDER(ASD) ni moja ya mental illness( psychiatric) ni matatizo ambayo Sio kwamba yanapatikana nje tunayo pia ,na je nayo yameletwa na chanjo ya corona, nenda psychiatric unit , kubwa utaambiwa ,tusipende challenge vitu ambavyo vipo juu ya fikra zetu tunafanya upotoshaji katika jamii
Ninachokiongea ninakifahamu wala sipotoshi...ninavosema kuna studies zimelink matatizo ya ASD na chanjo tofauti tofauti, siongei kwa kuotea.. one of the biggest advocates against haya mambo ni Robert Kennedy Jr,aliwahi kukusanya wamama zaidi ya 20 wenye watoto wenye ASD kwenda kwa then president-elect Trump walitaka kuishtaki kampuni moja iliyowafanyia trial za chanjo wakisema imewaletea watoto wao matatizo..ilipoishia sijui...Studies zipo sema wanasayansi wengi hawapendi kusikia na wanasema zimekua debunked with the help of the media,they suppress them as myths...Ni kama kipindi kuhusu mambo ya Hydroxychloroquine kwenye kutibu corona, kwa ikitumika mapema kwenye wagonjwa wa covid inaweza ikasaidia,,ilipigwa vita sana lakini baada ya kupata chanjo ndo wakaanza kusema studies zilikua na Ukweli..so haya mambo kwa sababu either ya siasa au biashara hua yanasababisha taharuki ya kutokueleweka....
 
mtoa mada
IMG-20210511-WA0058.jpg
 
Ilibidi iharakishwe Mkuu kwa sababu ya maambukizi makubwa na vifo idadi kubwa vya kutisha ambavyo havijawahi kutokea duniani kwa zaidi ya miaka mia. Ndani ya miezi 16 zaidi wa watu milioni 3 wamekufa katika nchi nyingi duniani. Ni kweli ile chanjo ya AstraZeneca ina matatizo kwani inasababisha blood clot na katika baadhi ya nchi kuna watu wamepoteza maisha na wote ni wanawake baada ya kupata chanjo hiyo na hivyo kusababisha baadhi ya nchi kuipiga marufuku chanjo hiyo au kutolewa kwa watu wa kuanzia miaka 60, lakini Pfizer na Moderna ziko bomba na zimesaidia sana katika kuleta matumaini makubwa sana katika kukishinda hiki kirus hatari sana kupata kutokea duniani.
Kweli lakini ninachoomba kuwe na open dialogue bungeni,tue skeptical kidogo,kuna watu humu walikuja spidi na kumuita mcheza porno, baada ya kumjibu hoja yake.hofu yangu ni hizo side effect zikitulipukia sisi hapa ,hakuna mtu atakayetusaidia..mi binafsi nina watu wengi nawajua wako fine baada ya kupokea covid shots, kuna wagonjwa wangepona hii chanjo ingekuja mapema, na pengine kuna watu watakufa baada ya kupokea hii kitu..Hizi serikali zetu ziko ki-statistics zaidi, watu 20 kati ya milioni wakifa baada ya kupokea mzigo ,watasema hyo ni success rate kubwa, mimi hofu yangu ipo kwa sisi/hao 20..ninachopendelea ni kila mtu apewe hasi na chanya ya kitu,sio kupinga tu kwasababu za kisiasa
 
Percentage waliopata complication ni insignificant. Kwa baadhi yetu hata panadoli inasababisha side effects. Msipotoshe Watanzania.
Ukisema insignificant , una maana gani, kwahiyo maisha ya mtu ni insignificant!! Kwani ku-exercise caution kwenye hii kitu ni kitu kibaya...
 
Kawadanganye wanao na mkeo na shemeji yako.

Sisi watanzania tutaipata hiyo chanjo wewe kama hutaki utakwenda na mwera tu maana hauna faida kwa taifa.
Watanzania au watu wa mitandaoni? nyie hata kwenye maandamano mnasemaga hivyo hivyo ila siku ya tukio mnasikilizia raia huko mitaani ambao hata hawakuwa wanashabikia siasa matokeo yake ndio tunaona raia wanaendelea na shughuli zao, sasa pia mtasema chanjo zije halafu zikija msitokee kudungwa.
 
Percentage waliopata complication ni insignificant. Kwa baadhi yetu hata panadoli inasababisha side effects. Msipotoshe Watanzania.
Kwani side effects za hizo chanjo wameeleza ni zipi au ndio tutajua wakati zinaendelea kutumika? Maana hili la kuganda hatukulijua ila baada ya kuanza kutumika.
 
Nak

Ninachokiongea ninakifahamu wala sipotoshi...ninavosema kuna studies zimelink matatizo ya ASD na chanjo tofauti tofauti, siongei kwa kuotea.. one of the biggest advocates against haya mambo ni Robert Kennedy Jr,aliwahi kukusanya wamama zaidi ya 20 wenye watoto wenye ASD kwenda kwa then president-elect Trump walitaka kuishtaki kampuni moja iliyowafanyia trial za chanjo wakisema imewaletea watoto wao matatizo..ilipoishia sijui...Studies zipo sema wanasayansi wengi hawapendi kusikia na wanasema zimekua debunked with the help of the media,they suppress them as myths...Ni kama kipindi kuhusu mambo ya Hydroxychloroquine kwenye kutibu corona, kwa ikitumika mapema kwenye wagonjwa wa covid inaweza ikasaidia,,ilipigwa vita sana lakini baada ya kupata chanjo ndo wakaanza kusema studies zilikua na Ukweli..so haya mambo kwa sababu either ya siasa au biashara hua yanasababisha taharuki ya kutokueleweka....
Mkuu binafsi nimeuliza ASD TZ ipo au haipo na Kama ipo ni kwa sababu ya chanjo ya corona , elewa Covid vaccine inaweza kua risk factor ,Kama tuonavyo kuvuta sigara ni risk factor ya kupata cancer ila sio wote wenye cancer ni wavutaji wa sigara, zipo sababu zingine, Hivyo that's mpaka Sasa tz au dunia haijapiga marufuku uvutaji wa sigara Kama ilivyo madawa dawa ya kulevya, kwa iyo kinachopimwa kwenye matibabu yoyote ni faida kubwa kuliko madhala madogo maana hakuna dawa,au chanjo usiokua na madhara, ila kiwango Cha madhala ndo kinaangaliwa kikiwa kikubwa inakua haifai maana ni sum na mamlaka haziwezi ipitisha so mpaka mda huu Kama covid vaccine imepitishwa vigezo vimezingatiwa ,serikali tuletee tujidunge tulinde na wapendwa wetu
 
Mimi Naona hujajibu hoja,ame-quote data halali kabisa,hivi unavocheza na DNA Unajua madhara yake...Unajua kitu kinaitwa 'autism',hii kitu watoto wengi uzunguni miaka ya karibuni wanazaliwa nayo,na there is a strong link na vaccinations walizopitia wazazi wao,hata babu na bibi zao..Hebu tuache siasa ktk kila kitu..Iq zetu zenyewe ndogo,Hivi tukichezea dna si tutakuja kuzaa wadumavu kbsa..


FDA na CDC wanasema chanjo hizi zipo kwenye trial mpka 2023,kwanini tusisubiri wamalize majaribio yao...
100%TRUE SAID MKUU!

Wengine humu kazi ni kuendekeza siasa za Makundi bila kufikiria maisha ya vizazi vyao siku zijazo. [emoji1241]
 
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.

Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona. Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.

Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua.

Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni.India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil, Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja. Wameshusha hadi grade 1.

Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo? Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi na utaifishaji wa mali.analijua hilo? Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.

Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.

#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

#Kazi iendelee.

Soma: Askofu Gwajima: Ni ujinga kuruhusu Taifa zima kuwa 'experiment' kwa sababu tuna haraka ya Corona
Huyo mbona siyo wa kuhangaika naye mkuu ikiwa anajfanya mfufuaji na akashindwa kumfufua mtu anayejfanya kumpenda mpka kawa mwenda zake sasa kuna kazi hapo
 
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.

Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona. Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.

Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua.

Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni.India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil, Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja. Wameshusha hadi grade 1.

Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo? Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi na utaifishaji wa mali.analijua hilo? Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.

Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.

#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

#Kazi iendelee.

Soma: Askofu Gwajima: Ni ujinga kuruhusu Taifa zima kuwa 'experiment' kwa sababu tuna haraka ya Corona
Naomba with all due respect nikuambie kweupe kwamba wewe ndiye hujui kinachoendelea duniani,na siajabu umetumwa hapa na mabwana zako,the NWO cabal,kupotosha wana JF,Watanzania na dunia kwa ujumla.Alicho ongea Gwajima ni 100% correct.

Ili tujue kama wewe kweli unajua the science behind C-19,tuwekee CV yako hapa tuione,ili tujiridhishe kwamba kweli una utaalamu unaotakiwa kuongelea kuhusu C-19,otherwise wewe ni conman tu kama akina Bill Gates,Anthony Fauci na Director General of the WHO,
Tedros Adhanom
and you should shut your beak.After all Tedros Adhanom alipaswa kupelekwa the Hague for genocide of his fellow Ethiopians through hunger.It is funny that you are identifying your self with such genocidal beings and psychopaths.

Mkuu usijidanganye kwamba Watanzania wote ni mbumbumbu,some of us are scientists indeed,independent and uncompromized,na tunajua that fake science has been used to bring about the lockdowns,social distancing,face masks,sanitizers ectc.,which are all genocidal tools.Wewe I believe ni parot tu,you are singing a song which you are completely ignorant about,a song which you do not know the words of.

Mkuu inaelekea hujui what the so called C-19 is,you are so ignorant.C-19 is a Microsoft Windows 666 mRNA Operating System intended to make humans Zombies.Kama unajua maana ya 666 utaelewa kwa nini Dr.Gwajima is against it.

Soma hii👇,labda akili itakuja na utajua why most uncompromized scientists are against the C-19 shot.





Nakushauri pia strongly ufuate master link ifuatayo,if you are an independent thinker and uncompromized,I believe you will change your stance with regards to C-19.Please take time to read it.


 
Sasa Maalim seifu masikini wa Mungu imempiga kwa lipi hebu tueleze? au ndio kwa sababu alikubali kile cheo cha Makamu wa kwanza wa rais?
Huyo unamjua wewe MATAGA wa lumumba na mwana sukuma gang
 
Mbwa nyie mnadhan mkipigwa hizo chanjo nini kitabadilika? Hamna akili mnashindwa hata kufikiria vzur, wawatengenezee chanjo nyie mna umuhimu gan kwao?
 
Back
Top Bottom