#COVID19 Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

#COVID19 Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

Hivi Mkuu kwa Nini tuogope wakati Baba Askofu Gwajima ana uwezo wa kutufufua tukifa kwa Corona??!!!!!! Mkuu Mimi siwaelewi watu uoga wa Nini? Nakuunga mkono Mkuu Chanjo hazina maana, tukifa kwa Corona Baba Askofu apewe tu taarifa aje kutufufua.
Kashindwa kumfufua mteuzi wake itakuwa wewe jirani yake?
 
Mimi Naona hujajibu hoja,ame-quote data halali kabisa,hivi unavocheza na DNA Unajua madhara yake...Unajua kitu kinaitwa 'autism',hii kitu watoto wengi uzunguni miaka ya karibuni wanazaliwa nayo,na there is a strong link na vaccinations walizopitia wazazi wao,hata babu na bibi zao..Hebu tuache siasa ktk kila kitu..Iq zetu zenyewe ndogo,Hivi tukichezea dna si tutakuja kuzaa wadumavu kbsa..


FDA na CDC wanasema chanjo hizi zipo kwenye trial mpka 2023,kwanini tusisubiri wamalize majaribio yao...
Kutokana na huyu virus anavyobadilika kila wakati lazima trial itaendelea mpaka kupata ile inayo weza cover mutation zote,so hakuna sababu ya kusubili why tusijikinge kuzuia mutation maana ubishi wa kutojikinga ndo utasababisha mamutation ya huyu virus kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine so trial itaendelea ila Sio kwamba chanjo iliyopo kwa Sasa Sio effective

Pili dunia hii ikiwemo tanzania hakuna kipya ,unaposema AUTISM SPECTRUM DISORDER(ASD) ni moja ya mental illness( psychiatric) ni matatizo ambayo Sio kwamba yanapatikana nje tunayo pia ,na je nayo yameletwa na chanjo ya corona, nenda psychiatric unit , kubwa utaambiwa ,tusipende challenge vitu ambavyo vipo juu ya fikra zetu tunafanya upotoshaji katika jamii
Mimi Naona hujajibu hoja,ame-quote data halali kabisa,hivi unavocheza na DNA Unajua madhara yake...Unajua kitu kinaitwa 'autism',hii kitu watoto wengi uzunguni miaka ya karibuni wanazaliwa nayo,na there is a strong link na vaccinations walizopitia wazazi wao,hata babu na bibi zao..Hebu tuache siasa ktk kila kitu..Iq zetu zenyewe ndogo,Hivi tukichezea dna si tutakuja kuzaa wadumavu kbsa..


FDA na CDC wanasema chanjo hizi zipo kwenye trial mpka 2023,kwanini tusisubiri wamalize majaribio yao...
 
Uaskofu aliupata toka kwa nani? These stupid burgers self-proclaimed Bishops must be ignored in their entirety
Hao watu wamejaa sana hapa nchini na duniani kiasi kwamba kuna baadhi ya wananchi wanawaamini kabisa na wanajitolea kuwachangia sadaka kila siku wakati ni matapeli tu.
 
Ukichaguliwa kupitia wizi wa kura huna haja ya kumia akili kazi ni moja kuropoka tu.
 
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona.Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua.Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni.India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil,Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja.wameshusha hadi grade 1.Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo?Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia,wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi,na utaifishaji wa mali.analijua hilo?Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #Kazi iendelee.
Israel nchi ambayo anaihusudu hawana lockdowns baada ya raia wake wote kuchanjwa
 
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona.Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua.Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni.India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil,Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja.wameshusha hadi grade 1.Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo?Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia,wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi,na utaifishaji wa mali.analijua hilo?Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #Kazi iendelee.
Shida kubwa sana ikiwa mtu anakuwa anaongea kwwnye chombo kikubwa kama bunge na kufanya matumizi mabaya ya nafasi na muda ktk kuyajadili mambo ambayo tayari yanafanyiwa kazi na na timu ya wataalamu ambayo tayari mheshimiwa rais alishaunda

ingekuwa vema zaidi kwa Gwajima kutumia nafasi na muda aliopewa bungeni kuchangia kama angeishauri serikali kupitia wizara ya afya ni nini kifanyike kuboresha huduma hasa ya vifaa na wataalamu kwenye hospital ambazo zimejengwa ili ziweze kuwapa wananchi hudumu stahiki

kimsingi yapo mambo ambayo yanahitajika ktk kuboresha huduma ya matibabu ktk hospitali zetu na hasa ktk hiki kipindindi cha janga la Covid 19

kwa mfano ingeshauriwa serikali itizame ni kwa namna gani ingeweza kuboresha japo kwa kuanzia kwenye hospital za rufaa kuhakikisha kwamba zote zinapata ventilator za kuwahudumia wagonjwa wa Covid waliozidiwa wapate huduma inayohitajika na mambo kama hayo na pengine hata Kuongeza ktk kuwaajiri wataalamu wenye ujuzi zaidi kutoka nje ili watusaidie katika swala la tiba na hata kutoa elimu ya juu zaidi kwa wataalamu wetu

Na pengine ni kwa namna gani maabara zetu ziboreshwe ili kuweza kufanya uchunguzi wa kina zaidi kwenye chanjo ambazo tutazipata kutoka nje ili pia tupate kuwa na hakika nazo zaidi

lakini siyo kujadili na kuongelea swala ambalo Rais ameshali-adres kwa taifa na tayari ameshaunda tume tena ya wataalamu wa afya ili wampelekee mapendekezo na ushauri wa kitaalamu kwamba ni nini kifanyike ikiwa ni pamoja na habari hiyo chanjo pia ikiwemo ndani yake na kabla hata taarifa ya tume haijatoka na pengine haijamaliza hata kazi yake wewe mtu ambaye huna utaalamu kwa habari ya afya ya binadamu na wala hauko kwenye tume unaingia hapo katikati na kuanza kuponda kile kinachofanyika duniani kote hii sawa hata kidogo ni bora angesubiri ikatoka taarifa ya tume na kutokea hapo ndipo akatoa ushauri wake akizingatia hiyo taarifa

kwenye swala la kupambana na Covid hatupaswi kuwa na mihemko wala hatupaswi kutumia zaidi hisia na mitizamo binafsi katika mapambano haya ila inatakiwa zaidi tuungane na wenzetu na hasa ambao wameshaendelea zaidi yetu kisayansi ili na sisi tuweze hata kupambana ktk matibabu lakini zaidi ktk kinga

na tunapokataa hata kama ni chanjo basi tukatae kwa hoja za kitaaluma kusema kama maabara zetu zimechungaza hizo chanjo na zikapata madhara yapi ambayo hayajaelezwa kwenye chanjo

lakini sidhani kama tutakuwa tunafanya vema ikiwa tunakataa chanjo za ulaya na huku hatosemi mbadala wake nini huu ushauri si sawa sana

wabunge tumieni vizuri muda na nafasi mnazopewa kuchangia bungeni na na wala siyo uchangia kwa mihemko na kupoteza muda

maswala kama ya afya hayahitaji kuendeshwa kiimani kama Inavyofanyika kwenye nyumba za ibada ambako ndiko yalipo mambo ya kiimani na maswala ya kiroho

maswala ya afya yanahitaji sayansi zaidi ndiyo maana waawepo watu wamekaa madarasani muda mwingi sana miaka wakifanya masomo na tafiti nyingi tuu kwa ajili hiyo.
 
Kabla ya k
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona.Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua.Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni.India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil,Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja.wameshusha hadi grade 1.Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo?Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia,wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi,na utaifishaji wa mali.analijua hilo?Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #Kazi iendelee.


Attention;

Kabla ya kumpuuza nataka atupeleke kwanza sisi vijana wa Kawe Marekani na pia ile treni tuione relini.

Hayo ya chanjo ya corona tuiachie wizara kwanza.
 
Hofu na mashaka kwa waumuni wa Gwajima,wanachezewa akili kweli kweli.
 
Hofu na mashaka kwa waumuni wa Gwajima,wanachezewa akili kweli kweli.
Kitendo cha kuingia kanisani kwake tayari unakuwa ushakuwa mtumwa wake wa kudumu.

Ndiyo maana hao kina Gwajima hawaishi kwenda kupeleka zaka Nigeria
 
Wenzenu huko wanapewa OFA ZA BIA.
ili wakubali KUPEWA CHANJO.
Wewe na jiwe na huyo Gwajima akili zenu sawa na subirini lwang'oe mmoja mmoja
Screenshot_20210512-040919.jpg
 
Hivi hizo vaccination Watanzania mbona tumezitumia sana tu bila ya madhara yoyote? Chanjo ya ndui, polio, kifua kikuu, yellow fever n.k. na tunaendelea kutumia hizo chanjo hadi kesho kutwa. Angalia mafanikio makubwa yaliyopatikana katika baadhi ya nchi za Ulaya na USA baada ya kutumia chanjo za Pfizer na Moderna ili kupambana na COVID-19 sasa idadi ya maambukizi na vifo imepungua mno hadi baadhi ya nchi kuanza kuondoa vizuizi mbali mbali vilivyowekwa vya COVID-19.
Sijakataa mkuu,lakini hii imeharakishwa, kuna mtandao inaitwa VAERS Marekani ,unaripoti matatizo yoyote yanatokana baada ya kupata chanjo ya pili ya Covid,kwakweli cases za mle zinasikitisha, kuanzia watu kuparalyze kbsa, mpka wajawazito kupoteza mimba zao,mpka wanawake kupata hedhi zisizoeleweka, na watu wenye miaka 25 kupata heart attacks..Data kamili na efficiency za hizo chanjo zitatoka 2023,kwanini tusisubiri,lkni wanaotaka kuchukua wakachomwe ,ila ku-mandate hizo chanjo kwa kila mTanzania bado kwa kweli... Also Pfizer Wana historia mbaya, walishawahi kupigwa faini ya dola million mia tatu kwa kuidanganya serikali kuhusu moja ya dawa zao in the early 90s
 
Mimi Naona hujajibu hoja,ame-quote data halali kabisa,hivi unavocheza na DNA Unajua madhara yake...Unajua kitu kinaitwa 'autism',hii kitu watoto wengi uzunguni miaka ya karibuni wanazaliwa nayo,na there is a strong link na vaccinations walizopitia wazazi wao,hata babu na bibi zao..Hebu tuache siasa ktk kila kitu..Iq zetu zenyewe ndogo,Hivi tukichezea dna si tutakuja kuzaa wadumavu kbsa..


FDA na CDC wanasema chanjo hizi zipo kwenye trial mpka 2023,kwanini tusisubiri wamalize majaribio yao...
Kuna chanjo ya malaria inakuja, Tanzania ni moja ya nchi zilizochaguliwa kuanza kuchanjwa watoto.
Zuwieni na hiyo kwakuwa hii nayo inatoka hukohuko.
Au mmeigundua ninyi?

Ngwajima anaelezea chanjo zingine ambazo tayari Tanzania ilizipata toka huko na magonjwa yamekoma, kwanini Corona tu?

Mimi ingeniingia akili angesema kuwa tunaletewa chanjo ambayo wenyewe wanatumia chanjo ingine tofauti na hii.

Anasema eti kuna taasisi za dharula ndizo zinaoruhusu chanjo hii kutumika, mpuuzi kabisa gwajima.

Kati ya vitu anavyoheshimu mzungu ni usalama na afya za watu wake,haiwezikuwa rahisi kuruhusu kataasisi ka hovyo kachezea afya za watu.
 
Back
Top Bottom