mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Kubalini Tu kwenye Corona magufuli amewapiga chenga
Kawaulize chato
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaulize chato
Chanjo tutachoma,Wasukuma msichanjwe kumuenzi Magu😎Watanzania mnapenda Sana kufuata upepo.hivi kama mngekuwa mnakufa kama wenzenu mngesema nini?
Sio kila kitu NI cha kujaribu.vingine viacheni vipite
Mbona ilimuondoa iyoiyo covd19 uyo mungu wenuKubalini Tu kwenye Corona magufuli amewapiga chenga
Corona inajua wapi pa kupigaKubalini Tu kwenye Corona magufuli amewapiga chenga
Kwani 40 ya mwendazake imeshapita?Wenzenu huko wanapewa OFA ZA BIA.
ili wakubali KUPEWA CHANJO.View attachment 1781634
Kawadanganye wanao na mkeo na shemeji yako.Sijakataa mkuu,lakini hii imeharakishwa, kuna mtandao inaitwa VAERS Marekani ,unaripoti matatizo yoyote yanatokana baada ya kupata chanjo ya pili ya Covid,kwakweli cases za mle zinasikitisha, kuanzia watu kuparalyze kbsa, mpka wajawazito kupoteza mimba zao,mpka wanawake kupata hedhi zisizoeleweka, na watu wenye miaka 25 kupata heart attacks..Data kamili na efficiency za hizo chanjo zitatoka 2023,kwanini tusisubiri,lkni wanaotaka kuchukua wakachomwe ,ila ku-mandate hizo chanjo kwa kila mTanzania bado kwa kweli... Also Pfizer Wana historia mbaya, walishawahi kupigwa faini ya dola million mia tatu kwa kuidanganya serikali kuhusu moja ya dawa zao in the early 90s
Percentage waliopata complication ni insignificant. Kwa baadhi yetu hata panadoli inasababisha side effects. Msipotoshe Watanzania.Sijakataa mkuu,lakini hii imeharakishwa, kuna mtandao inaitwa VAERS Marekani ,unaripoti matatizo yoyote yanatokana baada ya kupata chanjo ya pili ya Covid,kwakweli cases za mle zinasikitisha, kuanzia watu kuparalyze kbsa, mpka wajawazito kupoteza mimba zao,mpka wanawake kupata hedhi zisizoeleweka, na watu wenye miaka 25 kupata heart attacks..Data kamili na efficiency za hizo chanjo zitatoka 2023,kwanini tusisubiri,lkni wanaotaka kuchukua wakachomwe ,ila ku-mandate hizo chanjo kwa kila mTanzania bado kwa kweli... Also Pfizer Wana historia mbaya, walishawahi kupigwa faini ya dola million mia tatu kwa kuidanganya serikali kuhusu moja ya dawa zao in the early 90s
Corona inajua wapi pa kupiga
Kwani 40 ya mwendazake imeshapita?
Mbona ilimuondoa iyoiyo covd19 uyo mungu wenu
Hujajibu swaliHakuna MTU abayeweza kuzuia kifo chake
Sijakataa mkuu,lakini hii imeharakishwa, kuna mtandao inaitwa VAERS Marekani ,unaripoti matatizo yoyote yanatokana baada ya kupata chanjo ya pili ya Covid,kwakweli cases za mle zinasikitisha, kuanzia watu kuparalyze kbsa, mpka wajawazito kupoteza mimba zao,mpka wanawake kupata hedhi zisizoeleweka, na watu wenye miaka 25 kupata heart attacks..Data kamili na efficiency za hizo chanjo zitatoka 2023,kwanini tusisubiri,lkni wanaotaka kuchukua wakachomwe ,ila ku-mandate hizo chanjo kwa kila mTanzania bado kwa kweli... Also Pfizer Wana historia mbaya, walishawahi kupigwa faini ya dola million mia tatu kwa kuidanganya serikali kuhusu moja ya dawa zao in the early 90s
Mungu anakufa?Kumbuka kifo NI AHADI ALIYOWEKEANA NA MUNGU WAKE.
hata kama Corona isingekuwepo angekufa tarehe ile ile aliyokufa
Chanjo tutachoma,Wasukuma msichanjwe kumuenzi Magu[emoji41]
Hujajibu swali
Nani alimchagua Gwajima kuwa Mbunge mlisex masanduku ya kura. Mungu alichokiamu ni kikubwa sana. Uchaguzi uje leo huyo tapeli wako wa dini hata kura 5 hapati.Kucheza pono ndio kuondoa fikra chanya , mbona kacheza pono na kawa mbunge unaweza weka chuki na usielewe anachosema kwa chuki binafsi na bado ukawa haumzidi maisha.