#COVID19 Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

#COVID19 Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

Moja ya hoja za hovyo kabisa. Wewe kama unaogopa kufa kwa Corona ni wewe nenda kachanjwe. Hoja alizotoa Bishop Gwajima zinamashiko, taifa haliwezi kufanyiwa majaribio aisee tumekuwa manyani sisi. Thubutu
Kama kuna mtu hapaswi kuwa kwenye vyeo vya kisiasa basi ni Askofu Gwajima. Huyu mtu ni toxic. Amewapumbaza waumini wake vibaya sana, huwa wanakaa na maiti hadi siku 3 wakiamini Gwajima atawafufua. Halafu anafanya biashara ya madawa ya kulevya.

Mwendazake ametuletea disaster kwa kuwaweka hawa bungeni
 
Tumpuuzeni Gwajima Ila hoja yake tuibebe...!

Kama wengi wenu mlivyo mpuuza Hayati JPM Kwenye maamzi mengi kuhusu Corona, Ila hoja ya kutokuilock nchi tuliibeba wote ndivyo tunapaswa kufanya Kwa Askofu Gwajima

Gwajima, ameshauri Jambo la maana mno hatuwezi kuipuuza hoja yake kisa alimtoa jimboni kipenzi chenu
 
Uko sawa na chanjo pia ni biashara ya mabilioni hivyo iwe inafaa au haifai watengenezaji wanao uwezo kufanya kampeni kwa kulipa watu wa kariba mbalimbali wenye kuaminiwa na jamii kufanya ushawishi kufanikisha jambo lao hizi ni rasha rasha mvua inakuja usije shangaa vifo vya ajabu vikaanza kutokea Kuitia hofu jamii ili kusukuma ajenda yao
Gwajima hana data ambazo ni authentic zaidi ya consipiracy theories tu zilizopo miaka yote.

USA wamechanja about 40% population na ni less than 60 people tu ndiyo walipata complications ambazo, kwanza ni kawaida kwa dawa yeyote kwa baadhi ya watu. Pili siyo permanent impairment.

Gwajima ni FALSE PROPHET, msimpe nafasi sana kwa kuwa anaweza kuwa brain wash kama alivyowafa waumini wake
 
Hivi hizo vaccination Watanzania mbona tumezitumia sana tu bila ya madhara yoyote? Chanjo ya ndui, polio, kifua kikuu, yellow fever n.k. na tunaendelea kutumia hizo chanjo hadi kesho kutwa. Angalia mafanikio makubwa yaliyopatikana katika baadhi ya nchi za Ulaya na USA baada ya kutumia chanjo za Pfizer na Moderna ili kupambana na COVID-19 sasa idadi ya maambukizi na vifo imepungua mno hadi baadhi ya nchi kuanza kuondoa vizuizi mbali mbali vilivyowekwa vya COVID-19.
Mimi Naona hujajibu hoja,ame-quote data halali kabisa,hivi unavocheza na DNA Unajua madhara yake...Unajua kitu kinaitwa 'autism',hii kitu watoto wengi uzunguni miaka ya karibuni wanazaliwa nayo,na there is a strong link na vaccinations walizopitia wazazi wao,hata babu na bibi zao..Hebu tuache siasa ktk kila kitu..Iq zetu zenyewe ndogo,Hivi tukichezea dna si tutakuja kuzaa wadumavu kbsa..


FDA na CDC wanasema chanjo hizi zipo kwenye trial mpka 2023,kwanini tusisubiri wamalize majaribio yao...
 
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona.Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua.Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni.India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil,Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja.wameshusha hadi grade 1.Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo?Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia,wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi,na utaifishaji wa mali.analijua hilo?Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #Kazi iendelee.
Askofu Gwajima amesema hapingi chanjo bali anatoa tahadhari kuhusu aina ya chanjo, teknolojia iliyotumika na muda uliotumika kutengeneza chanjo za covid ukilingsnisha na chanjo za magonjwa mengine ambazo zinachukua hadi miaka 8 kukamilika.

Pia aliongelea madhara ambayo tayari yameanza kujitokeza kwa baadhi ya chanjo Kama kuganda damu na kupunguza uwezo wa kupumua.

Pia ukumbuke chanjo hizi ziko kwenye majaribio na hazijathibitishwa na CDC na FDA kama chanjo rasmi, bali zimeruhusiwa kutumika kwa ajili ya dharura, kwa hiyo madhara yeyote yatayotokana na matumizi ya hizi chanjo kampuni zilizotengeneza hazitawajibika kwa lolote.

Kwa hiyo ndugu unapojibu hoja za Askofu Gwajima jaribu kujibu kisayansi Kama yeye alivyodadavua, siyo hizo ngojera zako ulizoandika.
 
Mawazo ya kijima.
Ndiyo maana watu kama nyinyi korona ndiyo inaanza na nyinyi hadi mtakwisha
Wewe akili hauna Corona imemuondoa Maalim seifu ila sioni humu kulisema hilo au nae alikuwa na mawazo ya kijima?
 
Kama kuna mtu hapaswi kuwa kwenye vyeo vya kisiasa basi ni Askofu Gwajima. Huyu mtu ni toxic. Amewapumbaza waumini wake vibaya sana, huwa wanakaa na maiti hadi siku 3 wakiamini Gwajima atawafufua. Halafu anafanya biashara ya madawa ya kulevya.

Mwendazake ametuletea disaster kwa kuwaweka hawa bungeni
Una mdomo mrefuu..!
 
Nyinyi ndio wale mnaosema hata shoga akiwa kiongozi sawa tu
Lissu akitetea haki za mashoga kwamba ni jambo la faragha anaonekana ni msomi ila sasa ajabu Gwajima anashambuliwa na kuitwa mcheza porn, Mbowe anajulikana ambaye ni mlevi na malaya ila ukisema hayo unaambiwa ni mambo yake binafsi.

Sasa nashindwa hata kuelewa.
 
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona.Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua.Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni.India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil,Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja.wameshusha hadi grade 1.Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo?Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia,wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi,na utaifishaji wa mali.analijua hilo?Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #Kazi iendelee.

Mkuu uaskofu sio uhuni wa kunyonga mauno hapa naona hujautendea haki na ingefaa utumbe samahani, Corona ni ugonjwa unaofahamika kwa watu wote walioenda shule na wasio na elimu kama huyo kanjanja wako wanajua nini kifanyike lakini wachache wanajifanya wanajua kuliko hata shirika la Afya la Ulimwengu kumbe wamejaza takataka kichwani mwao wakiamini kuwa watanzania ni wajinga kiasi hicho wanachoamini
 
Unless sijamsikia vizuri ila alichosema ni kwamba HAPINGI chanjo maana kama ni kuchanjwa karibia wote humu tulishachanjwa kabla kuzuia homa ya manjano, surua, uti wa mgongo, tetekuwanga , pepopunda etc etc.

Alichosema ni kwamba tusiwe part ya majaribio na wataalamu wetu wazifanyie tafiti hizo chanjo 3-4 kuona ipi inayotufaa na yenye potentially minimal side effects. Kwani NIMR au wale maprof wa pale Muhimbili wapo pale kwa kazi ipi?

Gwajima hatumpendi ndio lakini chuki isitufanye vipofu na kupinga kila kitu anachosema. Kwenye hili yupo sahihi. Hatuwezi kuiga kizembe na kukimbilia kila kitu eti kwa kuwa Nchi nyingine zinafanya hivyo. Context zetu ni tofauti sana
 
Uko sawa na chanjo pia ni biashara ya mabilioni hivyo iwe inafaa au haifai watengenezaji wanao uwezo kufanya kampeni kwa kulipa watu wa kariba mbalimbali wenye kuaminiwa na jamii kufanya ushawishi kufanikisha jambo lao hizi ni rasha rasha mvua inakuja usije shangaa vifo vya ajabu vikaanza kutokea Kuitia hofu jamii ili kusukuma ajenda yao
Watu wanapaswa kujua kuwa pharmaceutical cartels wananguvu sana hapa duniani. Magonjwa mengi yanayoisumbua dunia ni genetically engineered na hawahawa jamaa. Haingii akilini Covid-19 ilijitokeza mwisho wa 2019 ndani ya mwaka mmoja chanjo imeshagunduliwa na mataifa yanashinikizwa kuitumia. Kuna nchi mbalimbali zikiwepo za Ulaya wamesitisha matumizi ya baadhi ya chanjo baada ya either Kugundua kuwa zinamadhara au hazifanyi kazi iliyokusudiwa.
 
Ndugu zangu tumtegemee Mungu!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Lissu akitetea haki za mashoga kwamba ni jambo la faragha anaonekana ni msomi ila sasa ajabu Gwajima anashambuliwa na kuitwa mcheza porn, Mbowe anajulikana ambaye ni mlevi na malaya ila ukisema hayo unaambiwa ni mambo yake binafsi.

Sasa nashindwa hata kuelewa.
Kwani anajadiliwa Mbowe au Lisu hapa?

Lazima ushindwe kuelewa kama umeshindwa kujikita kwenye mada.

Lisu ni mwanasiasa
Mbowe ni mwanasiasa

Gwajima ni mtumishi wa Mungu ambaye ameamua kuwa Malaya Malaya kingono na kisiasa kwanini tusiseme?
Mtumishi wa Mungu unaacha mke ndani unaenda kununua Malaya tena unajirecord kabisa huo si uwendawazimu?
 
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona.Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua.Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni.India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil,Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja.wameshusha hadi grade 1.Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo?Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia,wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi,na utaifishaji wa mali.analijua hilo?Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #Kazi iendelee.
Mbona umeandika bandiko kubwa ,la kumshutumu Gwajima.Lakin ndani hakuna hoja za msingi zaidi ya uchafu tupu.Gwajima amejenga hoja za msingi,ulitakiwa kuzijibu na kutuambia kama ni za uongo.Napata mashaka kwamba una ka NGO kako umekaandaa ili upige dili kupitia hizo chanjo.Jaribu kusoma majarida ,Journal mbalimbali ili ukishitumu MTU ,unatumia evidence. Sio uchafu tu wa kusikia.
 
Kwani anajadiliwa Mbowe au Lisu hapa?

Lazima ushindwe kuelewa kama umeshindwa kujikita kwenye mada.

Lisu ni mwanasiasa
Mbowe ni mwanasiasa

Gwajima ni mtumishi wa Mungu ambaye ameamua kuwa Malaya Malaya kingono na kisiasa kwanini tusiseme?
Mtumishi wa Mungu unaacha mke ndani unaenda kununua Malaya tena unajirecord kabisa huo si uwendawazimu?
Mbowe ni mfanyabiashara na Lissu ni mwanasheria, mkileta masuala binafsi ya mtu basi pia huwezi kukataa kuzungumzia masuala binafsi ya ulevi na umalaya wa Mbowe. Mgejikita kwa yale aliyoyaongea Gwajima ila badala yake mnazungumzia mambo yake ya faragha kitu ambacho hata wakili msomi Lissu huwa anakipinga.
 
CHANJO itakusaidia nini?
hivi nyie mngekuwa mnakufa kama wenzenu mngesemaje?
Huko wenzenu Wana chanjo na bado wanakufa.
Mchina akikaa chini akatengeneza kirusi uje ukidhibiti na chanjo zako mshenzi?
Watu wanajua wanachofanya.
MSIKURUPUKEView attachment 1781498
Wewe na jiwe na huyo Gwajima akili zenu sawa na subirini lwang'oe mmoja mmoja
 
Nadhani askofu alitoa angalizo la kuwa nchi ijiridhishe na hizi chango kabla ya kuruhusu kutumika nchini. We cant be Guinea pigs. Baadhi ya hizi chanjo zimeshaonekana kuleta madhara na hata vifo. Kitaalamu chanjo hufanyiwa tafiti za muda mrefu ili kubaini post effects, ni dhahiri hizi za Covid-19 hazijafanyiwa tafiti za kutosha. Kupata chanjo bado ni hiyari ya mtu lakini Niungane na askofu kuitaka serikali kuwa makini.
Hizo ni akili za ki lucifa yaani mnafurahia Tanzania ikitumbukia kwenye matatizo ya kama ya Kenya au India ndiyo mtafurahi maana mtakuwa mmepata damu za kafara.
 
Back
Top Bottom