#COVID19 Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

#COVID19 Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona.Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua.Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni.India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil,Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja.wameshusha hadi grade 1.Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo?Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia,wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi,na utaifishaji wa mali.analijua hilo?Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #Kazi iendelee.
Mkuu naomba usome hapa.
 
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona.Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua.Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni.India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil,Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja.wameshusha hadi grade 1.Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo?Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia,wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi,na utaifishaji wa mali.analijua hilo?Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #Kazi iendelee.
Hata yesu Kristi alimkemea shetani kwa kumuambia hupaswi kumjalibu MUNGU tusimgeuze MUNGU Kama mtumishi wetu
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona.Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua.Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni.India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil,Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja.wameshusha hadi grade 1.Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo?Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia,wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi,na utaifishaji wa mali.analijua hilo?Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #Kazi iendelee.
Kuna msemo wa kisukuma ( kulomba na kusabhula) maana yake katika kujiokoa ziwani au baharini Kama mtumbwi unajaa maji Sio mkalie kuomba(kusali) tu Bali na maji yanayo ingia muyaondoe kwa kiswahili maombi na kuondoa maji
 
Kucheza pono ndio kuondoa fikra chanya , mbona kacheza pono na kawa mbunge unaweza weka chuki na usielewe anachosema kwa chuki binafsi na bado ukawa haumzidi maisha.
Nyinyi ndio wale mnaosema hata shoga akiwa kiongozi sawa tu
 
Ahahaha nimecheka kifala, hilo Sio tusi kila mwenye akili timamu na Afya njema ni mcheza porn. Ndo maana watu wanaoa na kuolewa....just porn hub
Anaejirecord akinyanduana huyo hana utimamu.... Nje ya hapo labda awe anafanya ngono kibiashara
 
Mimi Naona hujajibu hoja,ame-quote data halali kabisa,hivi unavocheza na DNA Unajua madhara yake...Unajua kitu kinaitwa 'autism',hii kitu watoto wengi uzunguni miaka ya karibuni wanazaliwa nayo,na there is a strong link na vaccinations walizopitia wazazi wao,hata babu na bibi zao..Hebu tuache siasa ktk kila kitu..Iq zetu zenyewe ndogo,Hivi tukichezea dna si tutakuja kuzaa wadumavu kbsa..


FDA na CDC wanasema chanjo hizi zipo kwenye trial mpka 2023,kwanini tusisubiri wamalize majaribio yao...
Tuonyeshe ambapo FDA na CDCs wamesema hivyo. Chanjo zilihitimu Phase 3 mwaka jana na mwanzo wa mwaka huu. Tuko Phase 4 ya monitoring ya watu zaidi ya bilioni moja watakaopata chanjo. Huwa kuna majaribio ya watu bilioni? Umesoma wapi wewe?
 
Sisi wenye akili timamu tumemwelewa sana Gwajima. Alichokisema ni kwamba, tuwe makini na hizo chanjo.
Kingine alichokisema ni kwamba, kuna wenye akili fupi ambao hudhani kila kinachotoka nje ni kizuri kwetu. Huo ni ujinga.
Hiyo ni kwa sababu hajasoma ripoti za chanjo hizo. Na wewe usiwe kama yeye. Ziko wazi toka Phase 1 hadi ya tatu, na ziko peer-reviewed. Sasa hivi wenzio tunasoma peer review za monitoring results. Nakupa ref moja utazikuta ripoti za chanjo zote za Magharibi (sijui za mabeberu!) Soma New England Journal of Medicine za kipindi nilichotaja. Usiziogope kama akina Gwajima. Ni za kitaalamu lakini zinasomeka kwa wote wenye bidii.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Tuonyeshe ambapo FDA na CDCs wamesema hivyo. Chanjo zilihitimu Phase 3 mwaka jana na mwanzo wa mwaka huu. Tuko Phase 4 ya monitoring ya watu zaidi ya bilioni moja watakaopata chanjo. Huwa kuna majaribio ya watu bilioni? Umesoma wapi wewe?
Kwahyo umekubali bado iko kwenye trial phase ya nne?Full FDA na CDC approval zitatoka 2023...kinachotumika sasa ni sheria ya Emergency Use Authorization Act,liabilities na damages zozote katika hii sheria hawatabeba...
 
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona.Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua.Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni.India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil,Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja.wameshusha hadi grade 1.Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo?Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia,wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi,na utaifishaji wa mali.analijua hilo?Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #Kazi iendelee.
Sikiliza hoja zake, uchambue kwa evidences wapi kaongea pumba na wewe utoe facts zako. Kujibu kwa misingi ya kisasa na ushabiki ni tatizo kuliko corona. Na wote mnaopingana na Gwajima katikahoja hii ninyi nyote ni mapubavu tu.
 
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona.Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua.Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni.India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil,Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja.wameshusha hadi grade 1.Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo?Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia,wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi,na utaifishaji wa mali.analijua hilo?Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #Kazi iendelee.
Amekuja na data za kutosha sasa mjibu kisomi


Kwanza tuambie ile alichosema kadanganya?

Kwenye website official amesema wameandika side effect za chanjo ambapo Karibu zote zinaonesha kuganda damu na kufa

Lakini pia ametaja taasisi ambayo zinahusika na mambo ya chanjo dunian na zinaratibu taratibu pia je tuambir ameongoka na taratibu zimefatwa? Kwa watengeneza chanjo za covid 19?

Mjibu kisomi acha chuki ukipenda sana chanjo kacjome Kenya wqnazo
 
Tunajua mpo mmejipanga kupinga ukweli ili mpotoshe maamuzi ya mama maana mna ajenda yenu.
Gwajima kasema ukweli kwa data nyie mnaleta porojo.
Rais usiamni hizi porojo maana mtu mmoja anaweza kuwa na ID 10 ukafikiri ndo maoni ya watanzania kumbe genge la wahuni.
Jiulize Lissu alivyokuwa anaungwa mkono Jamii forum hata kuongoza kwa 80 asilimia yaliyomkuta hana hamu,ni genge la watu wasioitakia mema nchi yetu,wapuuze.
 
Mimi Naona hujajibu hoja,ame-quote data halali kabisa,hivi unavocheza na DNA Unajua madhara yake...Unajua kitu kinaitwa 'autism',hii kitu watoto wengi uzunguni miaka ya karibuni wanazaliwa nayo,na there is a strong link na vaccinations walizopitia wazazi wao,hata babu na bibi zao..Hebu tuache siasa ktk kila kitu..Iq zetu zenyewe ndogo,Hivi tukichezea dna si tutakuja kuzaa wadumavu kbsa..


FDA na CDC wanasema chanjo hizi zipo kwenye trial mpka 2023,kwanini tusisubiri wamalize majaribio yao...
Mkuu acha tunaotaka kuchanjwa tuchanjwe wewe na familia yako/ukoo acheni kwani sio lazima mkuu.Naona kama mnatumia nguvu nyingi sana!!kwani awamu hii lazima chanjo iagizwe sio ile awamu ya kuabudu mitishamba.
 
Tuonyeshe ambapo FDA na CDCs wamesema hivyo. Chanjo zilihitimu Phase 3 mwaka jana na mwanzo wa mwaka huu. Tuko Phase 4 ya monitoring ya watu zaidi ya bilioni moja watakaopata chanjo. Huwa kuna majaribio ya watu bilioni? Umesoma wapi wewe?
We kilaza mkubwa unajitia kujua hizo phase huchukua muda gani? Hebu taja hata chanjo moja iliyopitia phase zote ndani ya miezi tu?
 
Mkuu acha tunaotaka kuchanjwa tuchanjwe wewe na familia yako/ukoo acheni kwani sio lazima mkuu.Naona kama mnatumia nguvu nyingi sana!!kwani awamu hii lazima chanjo iagizwe sio ile awamu ya kuabudu mitishamba..

.mimi sifungamani na upande wowote wa kisiasa ,ila kwenye suala

Mkuu acha tunaotaka kuchanjwa tuchanjwe wewe na familia yako/ukoo acheni kwani sio lazima mkuu.Naona kama mnatumia nguvu nyingi sana!!kwani awamu hii lazima chanjo iagizwe sio ile awamu ya kuabudu mitishamba.
Sifungamani na upande wowote kisiasa,nimetoa mawazo yangu kuhusu Hayo. mambo ya awamu ya mitishamba hayanihusu..katoe frustration zako za siasa sehemu nyingine
 
Back
Top Bottom