#COVID19 Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

#COVID19 Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

Sifungamani na upande wowote kisiasa,nimetoa mawazo yangu kuhusu Hayo. mambo ya awamu ya mitishamba hayanihusu..katoe frustration zako za siasa sehemu nyingine
Ndio maana nimekwambia chanjo inakuja acha wanaotaka watachanjwa, hayo mambo ya gwajima hayajaanza leo kuwa 5G, ndio imeleta covid 19!!msijifanye mna huruma sana na Watz
 
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona.Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua.Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni.India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil,Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja.wameshusha hadi grade 1.Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo?Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia,wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi,na utaifishaji wa mali.analijua hilo?Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #Kazi iendelee.
Moja ya hoja za hovyo kabisa. Wewe kama unaogopa kufa kwa Corona ni wewe nenda kachanjwe. Hoja alizotoa Bishop Gwajima zinamashiko, taifa haliwezi kufanyiwa majaribio aisee tumekuwa manyani sisi. Thubutu
 
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona.Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua.Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni.India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil,Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja.wameshusha hadi grade 1.Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo?Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia,wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi,na utaifishaji wa mali.analijua hilo?Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #Kazi iendelee.
kachanjwe wewe na familia yako kwani lazima
 
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona.Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua.Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni.India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil,Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja.wameshusha hadi grade 1.Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo?Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia,wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi,na utaifishaji wa mali.analijua hilo?Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #Kazi iendelee.
Gwajima ni muongo na mpotoshaji mkubwa ukisikiliza clip yake yote imejaa upotoshaji.

FDA Food and Drug Administration anaita Flag and Food Administration Emergency Vaccine Authorization anasema ni kaorganizaion kadogo wakati hiyo na FDA na CDC hazijatoa authorization wakati ni uongo mkubwa FDA imetoa Emergency Vaccine Authorizstion kwa Pfizer na moderna vaccination ambayo yeye anaita kaorganuzation.

Anasema JJ na Astrazeneca vaccine zinauwa wakati watu 6 million walichanjwa na hiyo chanjo ya Astrazeneca na only 6 people had some problem na mmoja tu ndio alikufa.

Huyu huyu Gwajima alisema uongo kuwa Corona imeletwa na mpinga kristo kupitia 5G technology uongo mkubwa nchi nyingi haxina 5G technology lakini zina Corona.

Mbowe ana akili kubwa sana ndio maana alichanjwa hiyo Astrazeneca Gwajima anaingilia utaalam wa chanjo wakati sio field yake kabisa ni mpotoshaji mkubwa nchi x
Zote hizo 47 Africa nyingine duniani zote duniani ni wajinga yeye ndio mjuaji wakati utafiti lazima upingwe na utafiti sio porojo zake.


Eti utafiti umekwenda haraka sana wakati mRNA ilianza kutafitiwa tokea milipuko ya SARS na MERS virus na kufast track vaccine ni jambo la kujivunia ingechukua miaka 8 mamilioni ya watu wangekufa.

GVT imkemee analeta upotoshaji mkubwa sana kwa wananchi ambao uelewa wao bado mdogo sana kwenye Corona vaccine ujinga ni mzigo mkubwa sana amejidhalilisha sana kuongea uongo bungeni.
 
CHANJO itakusaidia nini?
hivi nyie mngekuwa mnakufa kama wenzenu mngesemaje?
Huko wenzenu Wana chanjo na bado wanakufa.
Mchina akikaa chini akatengeneza kirusi uje ukidhibiti na chanjo zako mshenzi?
Watu wanajua wanachofanya.
MSIKURUPUKE
Wewe na familia yako na mcheza porn Gwajima mnaweza kupuuza. Chnjo ije wanaotaka wachanje.
Screenshot_20210511-070625.jpg
 
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona.Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua.Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni.India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil,Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja.wameshusha hadi grade 1.Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo?Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia,wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi,na utaifishaji wa mali.analijua hilo?Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #Kazi iendelee.
Nadhani askofu alitoa angalizo la kuwa nchi ijiridhishe na hizi chango kabla ya kuruhusu kutumika nchini. We cant be Guinea pigs. Baadhi ya hizi chanjo zimeshaonekana kuleta madhara na hata vifo. Kitaalamu chanjo hufanyiwa tafiti za muda mrefu ili kubaini post effects, ni dhahiri hizi za Covid-19 hazijafanyiwa tafiti za kutosha. Kupata chanjo bado ni hiyari ya mtu lakini Niungane na askofu kuitaka serikali kuwa makini.
 
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona.Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua.Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni.India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil,Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja.wameshusha hadi grade 1.Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo?Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia,wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi,na utaifishaji wa mali.analijua hilo?Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #Kazi iendelee.
Spika ndio anampa nafasi ya kupotosha umma
 
Turudi nyuma.
Hapo issue ni katiba,- jinsi alivyopatikana gwajiboy na anayoyaongea ni sawa tu.
 
Moja ya hoja za hovyo kabisa. Wewe kama unaogopa kufa kwa Corona ni wewe nenda kachanjwe. Hoja alizotoa Bishop Gwajima zinamashiko, taifa haliwezi kufanyiwa majaribio aisee tumekuwa manyani sisi. Thubutu
Hivi Mkuu kwa Nini tuogope wakati Baba Askofu Gwajima ana uwezo wa kutufufua tukifa kwa Corona??!!!!!! Mkuu Mimi siwaelewi watu uoga wa Nini? Nakuunga mkono Mkuu Chanjo hazina maana, tukifa kwa Corona Baba Askofu apewe tu taarifa aje kutufufua.
 
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona.Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua.Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni.India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil,Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja.wameshusha hadi grade 1.Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo?Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia,wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi,na utaifishaji wa mali.analijua hilo?Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #Kazi iendelee.
Uaskofu aliupata toka kwa nani? These stupid burgers self-proclaimed Bishops must be ignored in their entirety
 
Hivi Mkuu kwa Nini tuogope wakati Baba Askofu Gwajima ana uwezo wa kutufufua tukifa kwa Corona??!!!!!! Mkuu Mimi siwaelewi watu uoga wa Nini? Nakuunga mkono Mkuu Chanjo hazina maana, tukifa kwa Corona Baba Askofu apewe tu taarifa aje kutufufua.
Ameshindwa kumfufua kakake Magu aje atufufue sisi?
 
Moja ya hoja za hovyo kabisa. Wewe kama unaogopa kufa kwa Corona ni wewe nenda kachanjwe. Hoja alizotoa Bishop Gwajima zinamashiko, taifa haliwezi kufanyiwa majaribio aisee tumekuwa manyani sisi. Thubutu
Askofu mfufua wafu Hana credibility ya kuzungumzia Mambo ya afya ya binadamu, aache kuvamia fields za watu, akafufue watu huko kanisani kwake, sisi tutawasilikza madaktari na wataaLam wa afya siyo huyo jambaz la kura.....hovyoooo
 
Gwajima ni muongo na mpotoshaji mkubwa ukisikiliza clip yake yote imejaa upotoshaji.

FDA Food and Drug Administration anaita Flag and Food Administration Emergency Vaccine Authorization anasema ni kaorganizaion kadogo wakati hiyo na FDA na CDC hazijatoa authorization wakati ni uongo mkubwa FDA imetoa Emergency Vaccine Authorizstion kwa Pfizer na moderna vaccination ambayo yeye anaita kaorganuzation.

Anasema JJ na Astrazeneca vaccine zinauwa wakati watu 6 million walichanjwa na hiyo chanjo ya Astrazeneca na only 6 people had some problem na mmoja tu ndio alikufa.

Huyu huyu Gwajima alisema uongo kuwa Corona imeletwa na mpinga kristo kupitia 5G technology uongo mkubwa nchi nyingi haxina 5G technology lakini zina Corona.

Mbowe ana akili kubwa sana ndio maana alichanjwa hiyo Astrazeneca Gwajima anaingilia utaalam wa chanjo wakati sio field yake kabisa ni mpotoshaji mkubwa nchi x
Zote hizo 47 Africa nyingine duniani zote duniani ni wajinga yeye ndio mjuaji wakati utafiti lazima upingwe na utafiti sio porojo zake.


Eti utafiti umekwenda haraka sana wakati mRNA ilianza kutafitiwa tokea milipuko ya SARS na MERS virus na kufast track vaccine ni jambo la kujivunia ingechukua miaka 8 mamilioni ya watu wangekufa.

GVT imkemee analeta upotoshaji mkubwa sana kwa wananchi ambao uelewa wao bado mdogo sana kwenye Corona vaccine ujinga ni mzigo mkubwa sana amejidhalilisha sana kuongea uongo bungeni.
Kumbe mbowe alichanjwa?? Mwambie akupeleke na wewe ukachanje

Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
 
Tunajua mpo mmejipanga kupinga ukweli ili mpotoshe maamuzi ya mama maana mna ajenda yenu.
Gwajima kasema ukweli kwa data nyie mnaleta porojo.
Rais usiamni hizi porojo maana mtu mmoja anaweza kuwa na ID 10 ukafikiri ndo maoni ya watanzania kumbe genge la wahuni.
Jiulize Lissu alivyokuwa anaungwa mkono Jamii forum hata kuongoza kwa 80 asilimia yaliyomkuta hana hamu,ni genge la watu wasioitakia mema nchi yetu,wapuuze.
Kwa taarifa yako mama Ni mtu wa Dini anayemjua Mungu, hataki hayo Mambo yenu ya dhuluma. Fanyeni kazi za waNanchi ili mkubalike kwenye sanduku la Kura badala ya kutegemea wizi wa Kura na kusaidiwa na polisi/usalama
 
Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani.Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani.Dunia nzima inagombania chanjo hiyo ya ugonjwa hatari wa corona.Tayari ukiachilia nchi zilizoendelea kama Uingereza tayari asilimia 99 ya watu wanaoishi washachanjwa,Nchi za Afrika kama Ghana,Kenya,Rwanda wanaendelea na zoezi hilo.Huyu Mheshimiwa akatembelee hospitali za Dar tu akaone zilivyofurika.Wakati wa awamu ya tano tulikuwa tunaambiwa ni ugonjwa wa kushindwa kupumua.Sasa awamu ya sita kwa kufuata ushauri wa WHO sijui kama anajua kirefu chake imeamua kufuata kwa manufaa ya wananchi na wageni.India watu kwa mamia wanateketea vivyo hivyo Brazil,Afrika ya Kusini baada ya kuumizwa sana na hatua za kuuzuia ugonjwa huu sasa ni afadhali kwani tayari nao wanachanja.wameshusha hadi grade 1.Sisi tumesaidiwa sana na nchi jirani kufunga mipaka yake vingenevyo Askofu sijui angekimbilia wapi.Uchumi wetu umedondoka anajua hilo?Watalii hasa Warusi waliokuwa wanajazana Zanzibar wamekimbia,wa Serengeti hawapo kabisa kisa washaambiwa Tanzania kuna Corona na serikali inaficha ukweli.wawekezaji nao hawaonekani kutokana na uoga wa corona na ukandamizaji wa kodi,na utaifishaji wa mali.analijua hilo?Dada Mdee mpe Elimu kidogo Mh Askofu hapo Bungeni.Tanzania sio kijiji.Mwenzio akinyolewa wewe tia maji.Tukiwasikiliza akina Askofu Gwajima Hakutakalika nchini.Serikali iache kusikiliza upuuzi wa akina Askofu Gwajima.#Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #Kazi iendelee.
Mwenzio anazungumza Cell Biology, wewe unapiga siasa tupu hapa! Mpinge basi kile alichoeleza kinachohusiana na Cell biology! Amegusia maswala DNA, mRNA n.k
 
Nadhani askofu alitoa angalizo la kuwa nchi ijiridhishe na hizi chango kabla ya kuruhusu kutumika nchini. We cant be Guinea pigs. Baadhi ya hizi chanjo zimeshaonekana kuleta madhara na hata vifo. Kitaalamu chanjo hufanyiwa tafiti za muda mrefu ili kubaini post effects, ni dhahiri hizi za Covid-19 hazijafanyiwa tafiti za kutosha. Kupata chanjo bado ni hiyari ya mtu lakini Niungane na askofu kuitaka serikali kuwa makini.
Uko sawa na chanjo pia ni biashara ya mabilioni hivyo iwe inafaa au haifai watengenezaji wanao uwezo kufanya kampeni kwa kulipa watu wa kariba mbalimbali wenye kuaminiwa na jamii kufanya ushawishi kufanikisha jambo lao hizi ni rasha rasha mvua inakuja usije shangaa vifo vya ajabu vikaanza kutokea Kuitia hofu jamii ili kusukuma ajenda yao
 
Back
Top Bottom