Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Anamtegemea mkwewe atampa sapoti.!
Lijualikali asisahau hapo alipo sasa hv yupo juu kwa kupitia chadema asiitukane sn awe na maneno ya akiba kidogo. Asisahau anakotoka kugumu lkn asisahau anakoelekea pia kunaweza kukawa kugumu kuliko anavyofikiria