Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Lijualikali asisahau hapo alipo sasa hv yupo juu kwa kupitia chadema asiitukane sn awe na maneno ya akiba kidogo. Asisahau anakotoka kugumu lkn asisahau anakoelekea pia kunaweza kukawa kugumu kuliko anavyofikiria
Ndugu makato yote yanahusu posho tu si mshahara,Ndugu Yeriko naomba uniambie katika kifungu hivho wamesema watachangia kutokana na psho za kibunge, je mshahara ni posho za kibunge?
Je posho za kibunge kuna kiwango kamili anachopata au zinatokana na majukumu ya mbunge afanyapo kazi za bunge?
Kiwango kamili kinachokatwa kwa wabunge huwa kinatokana na posho au mshahara?
Yeriko naomba urudi hapa kisha utupe majibu.
Katiba haisomwi na kutekelezwa kwa kifungu kimoja tu ndugu...Kifungu ulichokinukuu kwa kuweka mabano kinazungumzia kumsimamisha sio kumfukuza. Sasa kama nyinyi wenyewe viongozi hamuielewi katiba yenu Msajili atawasaidia kuielewa.
Yeriko huyu achana kujibizana naye. Hawa lililo kichwani mwao ni kuwa yale ya uchaguzi wa serikali za mitaa yatajirudia na hivyo wataiba kura etc kama ilivyofanyika na hivyo kuwa na uhakika wa kurudi bungeni. Achana nao work on how you will fight that hooliganism by serikali and CCM
Ndugu makato yote yanahusu posho tu si mshahara,
Posho ya mbunge kwa siku ni kama laki mbili na nusu au laki tatu tu. Sasa 10% inayokatwa ni kama elfu ishirini tu.
Viti maalumu majukumu yake kibunge ni kachache kuliko mbunge wa jimbo, ndiomaana unaona asilimia ni kubwa, makato haya ni ya posho tu, hivyo usipopokea posho hata mwaka mzima hautakatwa....Sawa sasa kwa nni mbunge wa kuchaguliwa awe na kiwango maarum na wa vit maarum pia awe na kiwango kamili, wakati kuna kipindi anaweza asipate posho kwa kuwa hakuhudhulia bunge hata kwa mweni mzima na zaidi?
Katiba haisomwi na kutekelezwa kwa kifungu kimoja tu ndugu...
Mnatumia nguvu nyingi kuhalalisha uozo wa Kaka wa Hai lakini siku zote unafiki na uongo haujifichi milele.
Pale alipo hana dola lakini anataka anyenyekewe vipi kama angekuwa na dola na mamlaka?.
Mnazidi kupoteza muelekeo kila kukicha na msipokuwa waangalifu mnakwenda kupotea mazima.
Wewe wadanganye mbumbumbu natural justice inataka mtu asikilizwe kabla ya kuhukumiwa na hii iko ndani ya katiba ya nchi na pia ndani ya katiba yenu wenyewe. Kama hamuheshimu/hamuielewi hata katiba yenu basi mna tatizo kubwa la kusolve kabla hata hamjafikiria kutwaa dola.Katiba haisomwi na kutekelezwa kwa kifungu kimoja tu ndugu...
Ni upuuzi tu . Ule utitiri wa watu kule mafichoni kwa mfalme wa wafalme unalipwa kwa pesa ya mfukoni y a mfalme au kodi ya wananchi!? Hizo gharama za ziada za mfalme kukaa nje ya makazi rasmi huo ni ufisadi.
Chama kimebomoka lakini bado kwenye chaguzi ccm anatumia tume, polisi na ujinga mwingine mwingi kuiba kura. Aisee uendawazimu hautakaa uishe Tanzania. Au ndio ile mnayosema maamuzi ya "ukichaa kichaa"?Wewe wadanganye mbumbumbu natural justice inataka mtu asikilizwe kabla ya kuhukumiwa na hii iko ndani ya katiba ya nchi na pia ndani ya katiba yenu wenyewe. Kama hamuheshimu/hamuielewi hata katiba yenu basi mna tatizo kubwa la kusolve kabla hata hamjafikiria kutwaa dola.
Chama chenu mlikijenga hadi kuwa chama kikubwa lakini mnakibomoa kwa kasi kwa kukubali kuburuzwa na mtu mmoja. Novemba 2020 kitakuwa kidogo kuliko kilivyokuwa mwaka 1995.
Katika kila kituo cha kura mnaruhusiwa kuweka mawakala na pia baada yas kura kuhesabiwa matokeo yanasainiwa na mawakala na kubandikwa ukutani. Soma hayo matokeo na linganisha na nakala ya fomu aliyonayo wakala wako kabla hujalalamika.Chama kimebomoka lakini bado kwenye chaguzi ccm anatumia tume, polisi na ujinga mwingine mwingi kuiba kura. Aisee uendawazimu hautakaa uishe Tanzania. Au ndio ile mnayosema maamuzi ya "ukichaa kichaa"?
Tume ni huru kwa ccm. Yaani refa ccm na ccm huyo huyo ndio anachezaPia ukimaliza tuwasaidie chadema na wengine waijue katiba ya Tanzania na wakubal kua tume ya uchaguz ni huru kulingana na katiba yetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungefunga tu hilo bakuli lako . Wewe ndiye unajua kufikiri critically? Mimi nakuona mwendawazimu tu kujaribu niaminisha ujinga kwenye uchaguzi ambao tume na watendaji wake ni wateule wa chama na hata wakurugenzi ambao mahakama ilishawatoa ndio wanatangaza matokeo. Tena wakurugenzi wenyewe walikuwa wagombea ndani ya ccm. Ujinga huu kawaambie wajinga wenzio. Eti mawakala? Mawakala hawa hawa mnaowazuia wasiingie vyumbani mpaka baadae wenzao wa ccm wako ndani.Katika kila kituo cha kura mnaruhusiwa kuweka mawakala na pia baada yas kura kuhesabiwa matokeo yanasainiwa na mawakala na kubandikwa ukutani. Soma hayo matokeo na linganisha na nakala ya fomu aliyonayo wakala wako kabla hujalalamika.
Jifunze kufikiri critically unapoambiwa jambo badala ya kufuata mhemuko.
Fanya analysis kuanzia chaguzi za 1995 hadi 2015 relate kura za chama chako ngazi ya udiwani na ubunge nchi nzima kabla hujakariridhwa kuwa mnaibiwa kura.
kuzidi magufuli [emoji23][emoji23]Ipo Siku tutajua ukweli kuwa Mbowe ni mstaarabu anapokuwa anaongea kwenye public tu
Ila nyuma ya pazia ni mtu wa hovyo sana
kuzidi magufuli [emoji23][emoji23]
Mkulima wa mahindi
Tuwekee katiba nzima basi, hii itazuia watu kusoma kifungu kimoja tuKatiba haisomwi na kutekelezwa kwa kifungu kimoja tu ndugu...