Nilitegemea uweke kifungu kinachopingana na yaliyomo kwenye katiba ya CDM badala ya kutaharuki tuuuuu
CCM akikosa hayo majimbo nani atakayefaa?Juakali ...amepoteza mwelekeo, naiona CCM ikikosa majimbo kwa upuuzi wakuwaweka wapinzani kugombea ubunge nakuwatema wafia chama wa CCM
Cheap politicians can be bought and soldHii ni katiba ya CHADEMA kila anayejiunga na chama hiki nikuwa amesoma ameikubali, na unapochukua fomu ya kugombea uongozi ni lazima unakuwa uneikubali kwanza Katiba ya Chama.
Sasa kelele za Lijualikali hazina maana zaidi ni propaganda za waliomrubuni asaliti chama tu na mkumbuke Lijualikali alianza jeuri na kupingana na Chadema baada tu ya kumuoa binti wa Job Ndugai, Yaani huyu ni mkwe halisi wa Spika wa Bunge, Nimshauri tu bado ni kijana mdogo, awe na akiba ya maneno, haijui kesho! Na kama amejiunga na ccm bila kusoma katiba ya chama hicho atajikuta mikononi mwa wasiojulikana siku za usoni kwakuwa huko huruhusiwa hata kujaribu tu kufikiria juu ya kumkosoa mwenyekiti au vyovyote vile ambavyo ndani ya Chdema unauhuru navyo. Sisi tunaipenda Katiba ya Chadema kwakuwa inatujali vijana tunapotaka kugombea ubunge, udiwani ambapo chama kinatoa support, Lakini chama chetu kinaweza kujiendesha vizuri hata ikiwa hakitakuwa na ruzuku ya kutosha.
Kwakumsaidia Lijualikali na wanaccm wengine, Ripoti ya CAG 2018/19 imetoa HATI SAFI kwa Chadema, hii inamaana kwamba hakuna huo upotevu wa bilioni 8 anaousema. Chama cha upinzani kupewa hati safi ndani ya utawala huu ni jambo linalitakiwa chama hicho kisiwe na kwere hata ya punje ya mchere, Sasa muulizeni Lijualikali na CAG nani anaakili? Zingatia mwaka huu wa hesabu za CAG chama anachokwenda Lijualikali cha CCM kimepewa HATI CHAFU.
Iko hoja inajirudiarudia mara kadhaa, na hata Lijualikali leo kaizungumza, kwamba hakupewa nafasi ya kusikilizwa, ama kujitetea kabla ya kufukuzwa. Hili Lijualikali na wabunge hawa wanapotosha umma, na wengi wa wananchi hawasomi katiba ya Chadema. Yeye Lijualikali na wenzake 8 chama kimewapa nafasi ya kujitetea, Wabunge wanne Rwakatare, Silinde, Komu, na Selasini ndio wamefukuzwa direct kwakutumia kifungu cha katiba kinachotoa mamlaka kwa CC kufukuzwa bila kusubiri waangushe Chama. Atekeleze agizo la chama kujitetea asilete uongo.
Chadema inaendeshwa kwa misingi ya katiba, si Mbowe, Lissu, Mnyika wala yoyote kwamba ndie mwenye uamuzi. Uamuzi wowote katika taasisi hii ni uamuzi wa kikatiba.
Wasome Katiba ya Chadema ya 2006 Toleo la 2019, Ibara ya 6.5.1(d) kuhusu mamlaka ya Kamati Kuu kuamua jambo la dharura kwa maslahi ya chama.
Jambo la dharula linaamliwa bila kusubiri mtu anayehatarisha maslahi ya chama asikilizwe.
Niwakumbushe wabunge hawa, walipoamua kurubunika walitakiwa kujiridhisha kuwa wanakinga madhubuti. Taasisi ni kubwa kuliko mtu yoyote.
Na Yericko Nyerere
View attachment 1453580
View attachment 1453668
Njaa mbaya sana aiseeHii ni katiba ya CHADEMA kila anayejiunga na chama hiki nikuwa amesoma ameikubali, na unapochukua fomu ya kugombea uongozi ni lazima unakuwa uneikubali kwanza Katiba ya Chama.
Sasa kelele za Lijualikali hazina maana zaidi ni propaganda za waliomrubuni asaliti chama tu na mkumbuke Lijualikali alianza jeuri na kupingana na Chadema baada tu ya kumuoa binti wa Job Ndugai, Yaani huyu ni mkwe halisi wa Spika wa Bunge, Nimshauri tu bado ni kijana mdogo, awe na akiba ya maneno, haijui kesho! Na kama amejiunga na ccm bila kusoma katiba ya chama hicho atajikuta mikononi mwa wasiojulikana siku za usoni kwakuwa huko huruhusiwa hata kujaribu tu kufikiria juu ya kumkosoa mwenyekiti au vyovyote vile ambavyo ndani ya Chdema unauhuru navyo. Sisi tunaipenda Katiba ya Chadema kwakuwa inatujali vijana tunapotaka kugombea ubunge, udiwani ambapo chama kinatoa support, Lakini chama chetu kinaweza kujiendesha vizuri hata ikiwa hakitakuwa na ruzuku ya kutosha.
Kwakumsaidia Lijualikali na wanaccm wengine, Ripoti ya CAG 2018/19 imetoa HATI SAFI kwa Chadema, hii inamaana kwamba hakuna huo upotevu wa bilioni 8 anaousema. Chama cha upinzani kupewa hati safi ndani ya utawala huu ni jambo linalitakiwa chama hicho kisiwe na kwere hata ya punje ya mchere, Sasa muulizeni Lijualikali na CAG nani anaakili? Zingatia mwaka huu wa hesabu za CAG chama anachokwenda Lijualikali cha CCM kimepewa HATI CHAFU.
Iko hoja inajirudiarudia mara kadhaa, na hata Lijualikali leo kaizungumza, kwamba hakupewa nafasi ya kusikilizwa, ama kujitetea kabla ya kufukuzwa. Hili Lijualikali na wabunge hawa wanapotosha umma, na wengi wa wananchi hawasomi katiba ya Chadema. Yeye Lijualikali na wenzake 8 chama kimewapa nafasi ya kujitetea, Wabunge wanne Rwakatare, Silinde, Komu, na Selasini ndio wamefukuzwa direct kwakutumia kifungu cha katiba kinachotoa mamlaka kwa CC kufukuzwa bila kusubiri waangushe Chama. Atekeleze agizo la chama kujitetea asilete uongo.
Chadema inaendeshwa kwa misingi ya katiba, si Mbowe, Lissu, Mnyika wala yoyote kwamba ndie mwenye uamuzi. Uamuzi wowote katika taasisi hii ni uamuzi wa kikatiba.
Wasome Katiba ya Chadema ya 2006 Toleo la 2019, Ibara ya 6.5.1(d) kuhusu mamlaka ya Kamati Kuu kuamua jambo la dharura kwa maslahi ya chama.
Jambo la dharula linaamliwa bila kusubiri mtu anayehatarisha maslahi ya chama asikilizwe.
Niwakumbushe wabunge hawa, walipoamua kurubunika walitakiwa kujiridhisha kuwa wanakinga madhubuti. Taasisi ni kubwa kuliko mtu yoyote.
Na Yericko Nyerere
View attachment 1453580
View attachment 1453668
Kama wewe unavyotetea mabashite ya Lumumba.
Kwa taarifa yako chadema wanahati safi mwaka wa fedha 2018/2019 wakat ccm na watoto wao ambao ni uvccm wanahat chafu sasa yup hooligan kati ya ccm na chadema.Katika suala hili nadhani umefika wakati sana chama kwa maana ya Viongozi wake wakuu wakalitolea ufafanuzi wa kina tena bila kuacha alama yenye mashaka yoyote suala la matumizi ya RUZUKU na michango ya Wabunge namna ilivyotumika na mpaka sana au muda tuhuma hizi zilizotolewa BUNGENI chama wana akiba kiasi gani.
Ikiwa wabunge walichangia chama nafikiri si kosa lakini kama yapo matumizi ya hovyo kama alivyosema Mbunge kwa hakika anguko kubwa linakuja ingawa si kitu ambacho ningependa kukiona tena katika uhai wangu.
NCCR walituangusha sana waTanzania kipindi kileeee,baada ya kushindwa kutoa upinzani wa maana tulikuja kushuhudia viwanda na makampuni ya umma yakiuzwa kwa bei ya kutupwa kwasababu hapakuwa tena na sauti ya kuusemea umma.Ni vyema Mwenyekiti pamoja na team yake wakaachana na suala la CORONA kwakuwa tayari wananchi wengi wanaona serekali ipo sahihi.
Kama nyie mnavyotetea kaka yenu wa mkoan geita.Mnatumia nguvu nyingi kuhalalisha uozo wa Kaka wa Hai lakini siku zote unafiki na uongo haujifichi milele.
Pale alipo hana dola lakini anataka anyenyekewe vipi kama angekuwa na dola na mamlaka?.
Mnazidi kupoteza muelekeo kila kukicha na msipokuwa waangalifu mnakwenda kupotea mazima.
Ni lin walichangia weka rist inayoonyesha mchango wa huyo boya alirsaidiwa na lissu mahakaman kwenye rufaa akaponea chupchup saiv angewa lupango, kwanza nashaur chama kuwaondoe mawakili wake wanaomtetea kwenye kesi zake mbalimbali ili inzi wa kijani wamuwekee wakili au wamfutie mashitaka.Ndugu Yeriko naomba uniambie katika kifungu hivho wamesema watachangia kutokana na psho za kibunge, je mshahara ni posho za kibunge?
Je posho za kibunge kuna kiwango kamili anachopata au zinatokana na majukumu ya mbunge afanyapo kazi za bunge?
Kiwango kamili kinachokatwa kwa wabunge huwa kinatokana na posho au mshahara?
Yeriko naomba urudi hapa kisha utupe majibu.
Someni mikataba kabla ya kuiingia... mkiwarubuni muwafidie posho
Sisi tunampenda sana, subir mapokezi atakaporud, ni mbunge wetu kwa kipindi kingine,kakojoe ukalaleALIE HADI MWISHO IFAKARA TUMEMCHOKA
Una akili za kuganda sana, kwani mwaka 2015 wewe ndo uliwapigia kura wabunge wa CHADEMA? Wakeup fella. Wananvhi ndo watakaochagua na sio wewe, unless uweke mpira kwapani kama uliviofanya uchaguzi serikali za mitaa.Watu wengi hawajumuelewa Lijuakali!!!hoja yake ya msingi hizo fedha zinazokatwa kutoka kwa Wabunge wa CHADEMA ziko wapi???zimefanya kazi gani???je zimepelekwa kuliko kusudiwa???
Sasa naona Kila mtu analeta hiyo ibara ya katiba bila kujibu kiini Cha mlalamikaji!!!
Anyway Mimi sio mtabiri lakini niliwahi andika humu 2020 wabunge wa CHADEMA hawatazidi watatu bungeni!!!tunahitaji vyama vyenye adabu!!!
Bw. Yericko Nyerere wewe si mtu wa kuleta utetezi mwepesi kama huu juu ya tuhuma hizi nzito, wewe mmbobezi katika maswala ya kijasusi na kiuchumi huwezi kuleta utetezi wa HAWARA kwenye NDOA.Hii ni katiba ya CHADEMA kila anayejiunga na chama hiki nikuwa amesoma ameikubali, na unapochukua fomu ya kugombea uongozi ni lazima unakuwa uneikubali kwanza Katiba ya Chama.
Sasa kelele za Lijualikali hazina maana zaidi ni propaganda za waliomrubuni asaliti chama tu na mkumbuke Lijualikali alianza jeuri na kupingana na Chadema baada tu ya kumuoa binti wa Job Ndugai, Yaani huyu ni mkwe halisi wa Spika wa Bunge, Nimshauri tu bado ni kijana mdogo, awe na akiba ya maneno, haijui kesho! Na kama amejiunga na ccm bila kusoma katiba ya chama hicho atajikuta mikononi mwa wasiojulikana siku za usoni kwakuwa huko huruhusiwa hata kujaribu tu kufikiria juu ya kumkosoa mwenyekiti au vyovyote vile ambavyo ndani ya Chdema unauhuru navyo. Sisi tunaipenda Katiba ya Chadema kwakuwa inatujali vijana tunapotaka kugombea ubunge, udiwani ambapo chama kinatoa support, Lakini chama chetu kinaweza kujiendesha vizuri hata ikiwa hakitakuwa na ruzuku ya kutosha.
Kwakumsaidia Lijualikali na wanaccm wengine, Ripoti ya CAG 2018/19 imetoa HATI SAFI kwa Chadema, hii inamaana kwamba hakuna huo upotevu wa bilioni 8 anaousema. Chama cha upinzani kupewa hati safi ndani ya utawala huu ni jambo linalitakiwa chama hicho kisiwe na kwere hata ya punje ya mchere, Sasa muulizeni Lijualikali na CAG nani anaakili? Zingatia mwaka huu wa hesabu za CAG chama anachokwenda Lijualikali cha CCM kimepewa HATI CHAFU.
Iko hoja inajirudiarudia mara kadhaa, na hata Lijualikali leo kaizungumza, kwamba hakupewa nafasi ya kusikilizwa, ama kujitetea kabla ya kufukuzwa. Hili Lijualikali na wabunge hawa wanapotosha umma, na wengi wa wananchi hawasomi katiba ya Chadema. Yeye Lijualikali na wenzake 8 chama kimewapa nafasi ya kujitetea, Wabunge wanne Rwakatare, Silinde, Komu, na Selasini ndio wamefukuzwa direct kwakutumia kifungu cha katiba kinachotoa mamlaka kwa CC kufukuzwa bila kusubiri waangushe Chama. Atekeleze agizo la chama kujitetea asilete uongo.
Chadema inaendeshwa kwa misingi ya katiba, si Mbowe, Lissu, Mnyika wala yoyote kwamba ndie mwenye uamuzi. Uamuzi wowote katika taasisi hii ni uamuzi wa kikatiba.
Wasome Katiba ya Chadema ya 2006 Toleo la 2019, Ibara ya 6.5.1(d) kuhusu mamlaka ya Kamati Kuu kuamua jambo la dharura kwa maslahi ya chama.
Jambo la dharula linaamliwa bila kusubiri mtu anayehatarisha maslahi ya chama asikilizwe.
Niwakumbushe wabunge hawa, walipoamua kurubunika walitakiwa kujiridhisha kuwa wanakinga madhubuti. Taasisi ni kubwa kuliko mtu yoyote.
Na Yericko Nyerere
View attachment 1453580
View attachment 1453668
Wangebadili katiba unafikiri mwanachama wenu ambaye ni msajili wa vyama Vya siasa asingeifutilia mbali CDM mapema Asubuhi?Nilikuwa najiuliza, wakati huu wa mchafuko wa hali ya hewa Chadema huyu mtu yupo wapi? Anyway naona umejitokeza na unaongelea katiba ambayo MMM alisha itolea maelezo alibadilishwa kinyemela na akina Mnyika ikaondoa na ukomo wa uenyekiti bila wajumbe kujijua.
Report ya mahesabu iliyopelekwa kwa CAG haikuandikwa na wanachama, wabunge wala madiwani ni mchakato wa kiutawala, sasa wenye pesa zao wanauliza zimetumikaje?
Wapeni report mliyopeleka kwa CAG Waijadili jinsi mlivyomdanganya. Vinginevyo umetumia jukwaa hili kutangaza biashara[emoji23][emoji23]
Hivi kuna kilichikosa adabu kwa watanzania kama CCM? Kimewaleatea umaskini wa kutupwa tangu tupate Uhuru, na sasa kimeamua kuwagombanisha watanzania na mataifa jirani.Chama cha kihuni hiki.Watu wengi hawajumuelewa Lijuakali!!!hoja yake ya msingi hizo fedha zinazokatwa kutoka kwa Wabunge wa CHADEMA ziko wapi???zimefanya kazi gani???je zimepelekwa kuliko kusudiwa???
Sasa naona Kila mtu analeta hiyo ibara ya katiba bila kujibu kiini Cha mlalamikaji!!!
Anyway Mimi sio mtabiri lakini niliwahi andika humu 2020 wabunge wa CHADEMA hawatazidi watatu bungeni!!!tunahitaji vyama vyenye adabu!!!
Hata membe alipotia nia yakutakakugombea Urais na katiba inaruhusu alifukuzwa uanachama.Nafikiri ushahidi upo kwa waliojaribu kumkosoa Mbowe au kumjaribu kwenye uenyekiti nini kiliwakuta,unapozumgumzia udikteta Chadema umetamalaq,usimtishe kijana mwache atumie haki yake ya kikatiba!
Uhuru WA tume uko wapi.Pia ukimaliza tuwasaidie chadema na wengine waijue katiba ya Tanzania na wakubal kua tume ya uchaguz ni huru kulingana na katiba yetu
Sent using Jamii Forums mobile app