Tumsadie Lijualikali na wengine kuzijua Katiba za Vyama vya Siasa

Kwanza Katiba ya Chadema itakuwa Ina mapungufu baadhi ya Vifungu Kuanzia Ukomo wa nafasi ya Mwenyekiti kuwe na muda wa kuongoza kama ni miaka Mitano au Miaka 10. Nafasi hiyo haida budi Kiongozi Muda wake kukoma na Kumuachia nafasi Mtu mwengine mwenye sifa Stahiki, Na mwenyekiti wa Chama angalau awe na elimu ya Shahada.
Kwa nini awe na Ukomo wa muda? Kulingana na Mwenyekiti wa Chama Kitaifa ni mtu mkubwa sana, Hapo kusiwe na siasa, Iwe Sifa kama ya Kumchagua Raisi wa Chama chake inabidi mkae chini upya mfanyie marekebisho baadhi ya vifungu, Sababu nyingine Mnapo badirisha nafasi hiyo Kuna kuwa na Demokrasia ya kupata Njia nzuri Mpya za Kisiasa. Mfano Mzuri chama cha Mapinduzi kinafuata Demokrasia hii Nafasi ya Mwenyekiti wa chama kitaifa ina Ukomo mtu anapo maliza Muda wake.

Hii itaepusha kama kilicho tokea mwaka 2015 hadi mmefikia hivi sasa chama kimekosa mwelekeo wa kisiasa ndani ya chama, watu walio kuwa wakiaminika kwenye chama wana ondoka na kuamia vyama Vingine.

Hayo ni maoni yangu nawasilisha [emoji1545]




Sent using Jamii Forums mobile app
 


Michango yote inayopokelewa na chama lazima CAG anahusika na ukaguzi
 
CAG anakagua mapato na matumizi yote ya vyama mkuu, na pesa ikiwa kwenye fixed acc sasa utasemaje matumiz mabovu wakat haijatumika??
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umekuja kutetea upuuzi wa mbowe wa kupiga jasho la mtu mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
Wabunge na. Madiwani cdm wanakatwa Hela kwa mujibu wa katiba ya chama
Hivi ccm huko hamuwakati Wabunge wenu
Au wanakatwa kimya kimya
Huyu lijuakali ashapima upepo wa uchaguzi kaona anaweza asirudi huko kupitia cdm style tu kaja nayo
Ya kuitumia ccm
Selasini hvyo hvyo rombo walishamchoka naye anataka kuitumia ccm arudi

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Kwan Uhuru wa chadema uko wapi wasikilize viongozi na Wabunge walio toka chadema hotuba zao alafu uje na majibu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
USIKOSE PIA KUTUELEZA MTU KUFUKUZWA UANACHAMA WA CHADEMA BILA KUITWA KUJITETEA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…