Huyu MWIGULU hajawahi kuwa na usomi wa kusaidia jamii,usomi wake ni wakujipendekeza unaoumizaga wengine. Anatabia za ukiranja kiranja....ndio nature yake. Anasoma soma madigrii ya kujaza kwenye mafaili tu. BogusAlisema Kidogo Tu Mtaka View attachment 1855662
Sijawahi kuona popote duniani transaction moja iwe na tozo tatu tofauti.. Kwa umoja wetu tukiamua tunaweza
Yaaan hadi nimenyoosha mikono juu hapana kwa kweli
Uwe na akili. Leta mambo ya Kitaifa hapa. Unataka tumsaidie mama yako sisi anatuhusu nini? Mzazi wako deal naye mwenyewe
Nyie ni wajinga Sana hivi mnadhani haya yote yanafanyika bila idhini ya raisi ?
Kwanini mnashindwa kusema kuwa huyu mama ni mzigo tu mnawapa lawama watu wengine wakati yeye ndio raisi.
Huko hutasikiaHapa Mama itabidi atuelewe tu kuwa tumeamua hatimaye kumsaidia kwani hao waliomzunguka hawamsaidii.
View attachment 1855654
Kodi na tozo za dhuluma hazikubaliki. Hivyo:
1. Tunasimama kabisa kutumia miamala ya simu kutumiana pesa kwa siku 3.
2. Baada ya hapo tathmini itafuata ya nini zaidi.
Kutoka kwa Mama tutategemea kusikia:
1. Hatua anazochukua kupata kodi halali tokea kwa vigogo wote.
2. Hatua anazochukua kutokana na ripoti za CAG.
3. Hatua anazochukua kudhihibiti matumizi ya serikali zikiwamo takrima za magari na majumba wanazopeana.
4. Hatua anazochukua kuhusiana na mashirika yanayozalisha hasara kila uchao.
Wametufikisha mahali ambapo kwa hakika hatuna njia nyingine ila sasa kuwataka kuziondosha kero hizi kwa vitendo.
Kwa pamoja tunaweza.
Ninawasilisha.
unamsaidia nini wakati yeye ndio kazipendekeza.. anatafuta pesa ya kumalizia sgr na bwawa la mwalimu.. kiufupi anaupiga mwingi
Huko hutasikia
Mbuzi wa kafara huwa anakosekana?Hizo kodi zilipita baraza la mawaziri hivyo zina baraka zake zote
Ngumu kutokea mkuuKuweza kusikia kote mbona ni uamuzi wetu tu? Kama mwuuza samaki yuko radhi samaki waoze? Sembuse kufanya muamala ambao tunaweka na ya kutolea?
Siku 3 tu, ukisikia Mwigulu nje usiseme miye nabii.
Hakuna kitu mkuuMbuzi wa kafara huwa anakosekana?
Mbona hata Nyerere kumruka Rashid hakuwa ajabu?
Kwenye vita separate them!
Ngumu is not impossible!Ngumu kutokea mkuu
May beNgumu is not impossible!
Kikiumana mwigulu atakuwa Mbagusiro. Yamewakuta kina Msabaha na wengi tu.Hakuna kitu mkuu
Surely!May be
Usiwe na matumaini na hawa watu, manake aliyeondoka ni JPM waliobaki ni wale wale na usitegemee maajabu yeyote, ilani ni ile ile.