Tumsaidie Rais Samia kuzifuta Tozo na Kodi za dhuluma

Sijawahi kuona popote duniani transaction moja iwe na tozo tatu tofauti.. Kwa umoja wetu tukiamua tunaweza

Kuna mengi wanafanya hayakubaliki.

Tunayo nafasi ya kuwaonyesha na kuyakataa kwa vitendo.

Hili nguvu moja siku 3 tu. Mbona wanabadili uelekeo?
 
Nyie ni wajinga Sana hivi mnadhani haya yote yanafanyika bila idhini ya raisi ?

Kwanini mnashindwa kusema kuwa huyu mama ni mzigo tu mnawapa lawama watu wengine wakati yeye ndio raisi.

Usiwahi sana kudhani wengine ni wajinga isipokuwa wewe.

Kiswahili ni kipana sana jombi. Hujawahi kuona mtu akisaidiwa kuondoka hata kama hajaaga?

Au nyie ni mpaka mtu aseme mtakavyo nyie? Rahisi zaidi si unaandika mwenyewe utakavyo?

Hiiiiii bagosha!
 
Huko hutasikia
 
Huko hutasikia

Kuweza kusikia kote mbona ni uamuzi wetu tu? Kama mwuuza samaki yuko radhi samaki waoze? Sembuse kufanya muamala ambao tunaweka na ya kutolea?

Siku 3 tu, ukisikia Mwigulu nje usiseme miye nabii.
 
Hakuna kitu mkuu
Kikiumana mwigulu atakuwa Mbagusiro. Yamewakuta kina Msabaha na wengi tu.

Tatizo letu ni kutaka matokeo bila jitihada.

Usiende kufanya muamala wewe, mimi, yule na wote kwa siku 3. Hilo huwezi utakwenda kupambana na Muroto wewe kudai katiba mpya? Au yale yale ya nyuma ya keyboard?

Nani unataka akapambane barabarani kama hata guts za kutotuma muamala tu huna?
 
Usiwe na matumaini na hawa watu, manake aliyeondoka ni JPM waliobaki ni wale wale na usitegemee maajabu yeyote, ilani ni ile ile.

Kwani mkuu ni suala la kuwa na matumaini na mtu. Hili ni suala la kupambana kupata tunachotaka.

Tunachotaka hakitakuja kama hisani.

Huo ndiyo ulio ukweli mchungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…