Tumsaidie Rais Samia kuzifuta Tozo na Kodi za dhuluma

Tumsaidie Rais Samia kuzifuta Tozo na Kodi za dhuluma

Shida ya kuwa na bunge la kuteuliwa na mwendazake ndio hivi, kila kitu NDIOOOOOOO, wanatimiza walichokiwa wameagizwa maee zao
 
Hapa Mama itabidi atuelewe tu kuwa tumeamua hatimaye kumsaidia kwani hao waliomzunguka hawamsaidii.

View attachment 1855654

Kodi na tozo za dhuluma hazikubaliki. Hivyo:

1. Tunasimama kabisa kutumia miamala ya simu kutumiana pesa kwa siku 3.
2. Baada ya hapo tathmini itafuata ya nini zaidi.

Kutoka kwa Mama tutategemea kusikia:

1. Hatua anazochukua kupata kodi halali tokea kwa vigogo wote.
2. Hatua anazochukua kutokana na ripoti za CAG.
3. Hatua anazochukua kudhihibiti matumizi ya serikali zikiwamo takrima za magari na majumba wanazopeana.
4. Hatua anazochukua kuhusiana na mashirika yanayozalisha hasara kila uchao.

Wametufikisha mahali ambapo kwa hakika hatuna njia nyingine ila sasa kuwataka kuziondosha kero hizi kwa vitendo.

Kwa pamoja tunaweza.

Ninawasilisha.

Nani amedhulumiwa na kodi na tozo hizi?
 
Kama tulimsaidia mapema Sana awaondoe sumu zote zilizoathirika na awamu pendwa watamhujumu na asuke safu yake mpya akusikia akawakumbatia sisi tumsaidije sasa zaidi ya kumsubiria kwenye sanduku la kura.

Ngoja wamuharibie,kina madilu wapo kisiasa zaidi udereva wanautaka.
Sanduku la kura kwa tume ipi
 
Nani amedhulumiwa na kodi na tozo hizi?

Dhuluma zinakuwa hivi:

IMG_20210716_182538_628.jpg


Hao wasio lipa kodi ndiyo hao wanaoendelea huku na matanuzi huku tukiwagharimia kwa kila kitu:

IMG_20210716_183804_119.jpg


Sampuli za wanaoongezewa kodi na tozo ni hawa hapa:

IMG_20210716_183826_638.jpg


Hao ndiyo kina sisi.

Bado humwoni anayedhulumu wala anayedhulumiwa?
 
Hata wabanwe vipi hawawezi kupunguza matumizi yao, kama wale wabunge kule bungeni ndio wahujumu uchumi kabisa, na chanzo cha umasikini wa hili taifa.
Inashindikana vip kuwa shoot kama walimvyomshoot TL ?
 
Ila katika hili mama ameingizwa kwenye chuki na mgogoro na Watanzania na wakina mwigulu.Isitishwe hii tozo wasingoje mpaka ya Africa kusini yatokee
 
Umesahau za REA na EWURA
Titalipa kodi hadi ti....
  • Tozo la kuuza samaki
  • Tozo la kutuma muamala
  • Tozo la kupokea muamala
  • Tozo la wakala wa simu kukupa muamala wako
  • Tozo la kununua mafuta ya gari Tanroads warekebishe barabara
  • Tozo kwenye mafuta kujenga barabara vijijini
  • Tozo la kununua vocha ya simu
  • Tozo la mwenye nyumba kupitia luku
  • Tozo la SGR ukiingiza gari
Ngoja nasikia ku... nitarudi kumalizia maana siku hizi tinalipa kodi hadi tinaku... kila wakati
 
Sijawahi kuona popote duniani transaction moja iwe na tozo tatu tofauti.. Kwa umoja wetu tukiamua tunaweza
Yaani mtoa huduma ana ada yake..serikali anachukua kodi plus tozo yake ambayo hatujui inaenda wapi...huu ni wizi wa mchana...
Yaani mwajiriwa unamlima kodi kwenye mshahara..akitoa hela kwenye ATM unamlima kodi tena..akimtumia mzazi unamlima kodi plus tozo juu .ndio maana wafanyabiashara wengi wanakwepa kodi .serikali wamekuwa kama vibaka
 
Yaani mtoa huduma ana ada yake..serikali anachukua kodi plus tozo yake ambayo hatujui inaenda wapi...huu ni wizi wa mchana...
Yaani mwajiriwa unamlima kodi kwenye mshahara..akitoa hela kwenye ATM unamlima kodi tena..akimtumia mzazi unamlima kodi plus tozo juu .ndio maana wafanyabiashara wengi wanakwepa kodi .serikali wamekuwa kama vibaka

Rahisi - ya nini kulipia miamala?
 
Hakuna jinsi hizi kodi ni lazima zifutwe na huyo mhuni Mwigulu Nchemba ni lazima aondolewe kama Waziri mara moja. Wakatafute pesa kwingine wasitubebeshe mizigo isiyotuhusu. Yule dhalimu mwendazake kakomba pesa zote kufanya mambo yasiyo na maslahi kwa Watanzania kujenga chato na kununua ndege zinazoingiza mabilioni ya hasara kila mwaka.

Hapa Mama itabidi atuelewe tu kuwa tumeamua hatimaye kumsaidia kwani hao waliomzunguka hawamsaidii.

View attachment 1855654

Kodi na tozo za dhuluma hazikubaliki. Hivyo:

1. Tunasimama kabisa kutumia miamala ya simu kutumiana pesa kwa siku 3.
2. Baada ya hapo tathmini itafuata ya nini zaidi.

Kutoka kwa Mama tutategemea kusikia:

1. Hatua anazochukua kupata kodi halali tokea kwa vigogo wote.
2. Hatua anazochukua kutokana na ripoti za CAG.
3. Hatua anazochukua kudhihibiti matumizi ya serikali zikiwamo takrima za magari na majumba wanazopeana.
4. Hatua anazochukua kuhusiana na mashirika yanayozalisha hasara kila uchao.

Wametufikisha mahali ambapo kwa hakika hatuna njia nyingine ila sasa kuwataka kuziondosha kero hizi kwa vitendo.

Kwa pamoja tunaweza.

Ninawasilisha.
 
Hapa Mama itabidi atuelewe tu kuwa tumeamua hatimaye kumsaidia kwani hao waliomzunguka hawamsaidii.

View attachment 1855654

Kodi na tozo za dhuluma hazikubaliki. Hivyo:

1. Tunasimama kabisa kutumia miamala ya simu kutumiana pesa kwa siku 3.
2. Baada ya hapo tathmini itafuata ya nini zaidi.

Kutoka kwa Mama tutategemea kusikia:

1. Hatua anazochukua kupata kodi halali tokea kwa vigogo wote.
2. Hatua anazochukua kutokana na ripoti za CAG.
3. Hatua anazochukua kudhihibiti matumizi ya serikali zikiwamo takrima za magari na majumba wanazopeana.
4. Hatua anazochukua kuhusiana na mashirika yanayozalisha hasara kila uchao.

Wametufikisha mahali ambapo kwa hakika hatuna njia nyingine ila sasa kuwataka kuziondosha kero hizi kwa vitendo.

Kwa pamoja tunaweza.

Ninawasilisha.
Bila kusahau kale ka ripoti ka BOT.......alikowasilisha CAG.
 
Hakuna jinsi hizi kodi ni lazima zifutwe na huyo mhuni Mwigulu Nchemba ni lazima aondolewe kama Waziri mara moja. Wakatafute pesa kwingine wasitubebeshe mizigo isiyotuhusu. Yule dhalimu mwendazake kakomba pesa zote kufanya mambo yasiyo na maslahi kwa Watanzania kujenga chato na kununua ndege zinazoingiza mabilioni ya hasara kila mwaka.

Hakuliki hakulaliki.
 
Hapa Mama itabidi atuelewe tu kuwa tumeamua hatimaye kumsaidia kwani hao waliomzunguka hawamsaidii.

View attachment 1855654

Kodi na tozo za dhuluma hazikubaliki. Hivyo:

1. Tunasimama kabisa kutumia miamala ya simu kutumiana pesa kwa siku 3.
2. Baada ya hapo tathmini itafuata ya nini zaidi.

Kutoka kwa Mama tutategemea kusikia:

1. Hatua anazochukua kupata kodi halali tokea kwa vigogo wote.
2. Hatua anazochukua kutokana na ripoti za CAG.
3. Hatua anazochukua kudhihibiti matumizi ya serikali zikiwamo takrima za magari na majumba wanazopeana.
4. Hatua anazochukua kuhusiana na mashirika yanayozalisha hasara kila uchao.

Wametufikisha mahali ambapo kwa hakika hatuna njia nyingine ila sasa kuwataka kuziondosha kero hizi kwa vitendo.

Kwa pamoja tunaweza.

Ninawasilisha.
Asizifute kodi hizi ila azipunguze kiwango by 30 % ili tuendelee kuchangia uchumi
 
Kama tulimsaidia mapema Sana awaondoe sumu zote zilizoathirika na awamu pendwa watamhujumu na asuke safu yake mpya akusikia akawakumbatia sisi tumsaidije sasa zaidi ya kumsubiria kwenye sanduku la kura.

Ngoja wamuharibie,kina madilu wapo kisiasa zaidi udereva wanautaka.
Mama aliteua mpaka washauri wake binafsi wa masuala ya uchumi, mambo ya jamii, diplomasia na takataka kibao hicho ndicho walichomshauri hapo wakulaumiwa sio Mwigulu wala nini ni yeye mwenyewe na sasa anakinukisha then anasepa nje ya nchi.
 
Bunjumbula ameenda na watu kibao hizo kule wamelala bure na kula bure lakini wanalipwa hela ya chakula, hela gesti ,
 
Back
Top Bottom