Tumsaidie Rais Samia kuzifuta Tozo na Kodi za dhuluma

Tumsaidie Rais Samia kuzifuta Tozo na Kodi za dhuluma

Ukiachana na issue yako ya Corona kumbe huwa unatoa point😁😁😁

Ujinga mzigo. Hadi leo hujui kuwa Corona ni kipaumbele 😂😂.

Ukishapumzishwa kwa Amani kwa Corona duniani unakuwa umebakiza nini?

Tunataka kuishi, tunaka kuishi vizuri tukiwa hai siyo tukiwa wafu.
 
Tunafungua nchi jamani

Hamuoni demokrasia inarudi

Sisi hatutaki kodi ya dhuluma

Kama hataki kodi ya dhuluma, tumsaidie kuwonyesha za dhuluma na za halali ni zipi:

Za halali: "kuna vigogo hawalali kodi, kuna wizi mkubwa CAG ripoti zipo, takrima za majumba na magari anazijua, kuna wabunge 19 kinyume cha katiba, kuna mashirika yanayozalisha hasara kila uchao, nk."

Za dhuluma: "hizi za kwenye mafuta na tozo kwenye miamala." Kibonzo kina ongea zaidi:

IMG_20210715_213635_704.jpg


Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Hapa Mama itabidi atuelewe tu kuwa tumeamua hatimaye kumsaidia kwani hao waliomzunguka hawamsaidii.

View attachment 1855654

Kodi na tozo za dhuluma hazikubaliki. Hivyo:

1. Tunasimama kabisa kutumia miamala ya simu kutumiana pesa kwa siku 3.
2. Baada ya hapo tathmini itafuata ya nini zaidi.

Kutoka kwa Mama tutategemea kusikia:

1. Hatua anazochukua kupata kodi halali tokea kwa vigogo wote.
2. Hatua anazochukua kutokana na ripoti za CAG.
3. Hatua anazochukua kudhihibiti matumizi ya serikali zikiwamo takrima za magari na majumba wanazopeana.
4. Hatua anazochukua kuhusiana na mashirika yanayozalisha hasara kila uchao.

Wametufikisha mahali ambapo kwa hakika hatuna njia nyingine ila sasa kuwataka kuziondosha kero hizi kwa vitendo.

Kwa pamoja tunaweza.

Ninawasilisha.

Anachotakiwa kufuta ni tozo za heslb yaan value retention fee na penalty maana loan board wameweka ngumu kuziondoa,atusaidie awaelekeze loan board waziondoe kabisa walichofanya hakieleweki at VRF before 1 May hii ina maana gan?
 
Hapa Mama itabidi atuelewe tu kuwa tumeamua hatimaye kumsaidia kwani hao waliomzunguka hawamsaidii.

View attachment 1855654

Kodi na tozo za dhuluma hazikubaliki. Hivyo:

1. Tunasimama kabisa kutumia miamala ya simu kutumiana pesa kwa siku 3.
2. Baada ya hapo tathmini itafuata ya nini zaidi.

Kutoka kwa Mama tutategemea kusikia:

1. Hatua anazochukua kupata kodi halali tokea kwa vigogo wote.
2. Hatua anazochukua kutokana na ripoti za CAG.
3. Hatua anazochukua kudhihibiti matumizi ya serikali zikiwamo takrima za magari na majumba wanazopeana.
4. Hatua anazochukua kuhusiana na mashirika yanayozalisha hasara kila uchao.

Wametufikisha mahali ambapo kwa hakika hatuna njia nyingine ila sasa kuwataka kuziondosha kero hizi kwa vitendo.

Kwa pamoja tunaweza.

Ninawasilisha.
Mwacheni unaupiga mwingi. Endelea kumuunga mkono anarekebisha nchi, tumpe muda. Kunywa mtori nyama zipo chini.
 
Nimeanza kusikia harufu ya kumkumbuka hayati John Joseph Pombe Magufuli, asingeruhusu upuuzi huu, nakumbuka alivyozikataa nauli za awali za mabasi ya mwendo kasi.
Nyie watu wapumbaf sana Kuna jambo litafanyika bila Rais kujua
 
Hapa Mama itabidi atuelewe tu kuwa tumeamua hatimaye kumsaidia kwani hao waliomzunguka hawamsaidii.

View attachment 1855654

Kodi na tozo za dhuluma hazikubaliki. Hivyo:

1. Tunasimama kabisa kutumia miamala ya simu kutumiana pesa kwa siku 3.
2. Baada ya hapo tathmini itafuata ya nini zaidi.

Kutoka kwa Mama tutategemea kusikia:

1. Hatua anazochukua kupata kodi halali tokea kwa vigogo wote.
2. Hatua anazochukua kutokana na ripoti za CAG.
3. Hatua anazochukua kudhihibiti matumizi ya serikali zikiwamo takrima za magari na majumba wanazopeana.
4. Hatua anazochukua kuhusiana na mashirika yanayozalisha hasara kila uchao.

Wametufikisha mahali ambapo kwa hakika hatuna njia nyingine ila sasa kuwataka kuziondosha kero hizi kwa vitendo.

Kwa pamoja tunaweza.

Ninawasilisha.
Anza kumshughulikia mganga wake aliyemwongopea kuwa amefaulu kututuliza ndio umsaidie b mkubwa huenda yupo kwenye ndani ya kibuyu katulizwa wee VP!?
 
Anza kumshughulikia mganga wake aliyemwongopea kuwa amefaulu kututuliza ndio umsaidie b mkubwa huenda yupo kwenye ndani ya kibuyu katulizwa wee VP!?

Kiswahili bahari njomba. Jifunze kusema hapana bila a hard NO.
 
Back
Top Bottom