Tumsaidie Rais Samia kuzifuta Tozo na Kodi za dhuluma

hata wote mkipiga kura upinzani.ccm ni lazima ishinde...(utani)
 

Matumizi mabaya ya kodi za wananchi ni dhambi kubwa sana. Kuanzisha miradi kwa ajiri ya kupiga na kujineemesha kwa kutumia kodi za wanachi ni dhambi.
Kuuza hata kipande kidogo cha mali au utu wetu kama watanzania ni dhambi .
Pengine kilio hiki kitawakumbusha ukubwa wa dhamana waliyopewa kuongoza nchi.
 

Pa kuanzia, hakuna miamala hapa!

Hii hata kama tunaingia hasara.

Wavuvi wa samaki Mwanza wameonyesha njia.
 
Pa kuanzia, hakuna miamala hapa!

Hii hata kama tunaingia hasara.

Wavuvi wa samaki Mwanza wameonyesha njia.
Haitawezekana....wale wataacha kuvua samaki. Wewe mbona unachat? Ni kuendelea kuchangia kodi.
Mimi sitakaa kupanga foleni bank
 
Haitawezekana....wale wataacha kuvua samaki. Wewe mbona unachat? Ni kuendelea kuchangia kodi.
Mimi sitakaa kupanga foleni bank

Tozo ya uzalendo kwa muamala hiyo mimi, jamaa na ndugu zangu tumeikataa. Hata kama kwa kufanya hivyo tutakula hasara.

Kama wewe unaendelea, endelea. Ila hiyo si kwa wasioitaka. Tunao uwezo wa kuikataa na hata kumkataa Madelu kibinafsi na akatoka pale.

Hakuna miamala hapa!

Habari ndiyo hiyo.
 
Haitawezekana....wale wataacha kuvua samaki. Wewe mbona unachat? Ni kuendelea kuchangia kodi.
Mimi sitakaa kupanga foleni bank

Kumekucha:


Na bado tutamsaidia mama kutuondoa uozo wote.
 
Uwe na akili. Leta mambo ya Kitaifa hapa. Unataka tumsaidie mama yako sisi anatuhusu nini? Mzazi wako deal naye mwenyewe

Hahahaa haa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!

Komeo Lachuma unaitwa huku tayari kimeumana!


Hiiiiii bagosha!

Cc: Jumbe Brown
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…