Tumshauri kijana huyu cha kufanya, muda bado upo

Sawa Mywangu.
 
Mawazo Uchwara ya kujifariji na kukwepa uhalisia
 
Mkuu wewe mbona umeenda kuanza mwaka wa kwanza, kisha unasema huyo sister "Street is waiting for her"

Je wewe mtaa haukusubiri au?
 
Tokea 2015 mpaka sasa kwavile hajafa njaa, maana yake hela anaingiza. Je, anafanya mishe gani kwa sasa?

Anaishi wapi?
 
Tokea 2015 mpaka sasa kwavile hajafa njaa, maana yake hela anaingiza. Je, anafanya mishe gani kwa sasa?

Anaishi wapi?
mathalani 2025.
It might also be before or after that yr, kijana yupo kitaa na mambo bado haisongi hata....
 
Nikipita maeneo ya vyuo vikuu i.e UDSM,TIA,SAUT etc nikaona wanafunzi wanaenda madarasi kusoma hua nasikitika Sana.

Yajayo hayatawafurahisha.
Kweli ni hatar sana yaan matumain hamna kabisa. Sasa tufanyeje maana hili tatizo linazidi kukua na limeshafika mpaka milangoni mwetu na kwingine limeshaingia sebulen kabisa. Linawapata wadogo zetu, wajomba zetu na linakuja kwa watoto wetu...jamaaan...
 
Sasa hapa ndio umejibu nini mkuu?. Msingi wa swali langu ungeweza kujibiwa bila hata kujua mwaka husika.
ok sawa, sory mkuu,
Mshauri basi jamaa afanyeje,
hana mishe tangu amalize chuo miaka ya nyuma huko na alikua anatumaini kuajiriwa lakina mpaka sasa bila bila, umri unaenda na muda unasonga pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…