Tumshauri kijana huyu cha kufanya, muda bado upo

Mtu mmoja kashauri vizuri hapo juu kwamba ww acha vyeti ndani elimu iache kichwani na pia GPA iache km ilivyoandikwa kwenye cheti, we nenda vijijin huko mbarali wasikokufaham kapge kazi za kutumia nguvu, kwa mwez hukos 300k... No Way out ni kujitutumua tu. Huyu jamaa nimemwelewa sana
 
Hongera na asante kwa ushauri murua kabisa.
 
W

Wangapi wana GPA nzuri ila bado wapo kitaa na msoto tu,na wangapi wana GPA fyongo ila wana ajira,mimi aliyekuwa best student katika kozi yangu pale MUHAS , mpaka leo hana ajira ,,
Bado Wewe ni kijana au ujajitambua! Hujui chochote katika maisha! Kwahiyo failures vilaza ndo wanaajiliwa best student wanasota mtaani? Kwahiyo watoto wetu tusiwapeleke shule? Si ndio kijana?
 
Alaf wakati tuliopo sio kujadili ugumu wa maisha na ajira akuna,, mbona amjadili wepesi wa kujiajili kwa vikundi na mitaji midogo ili tuikuze,, amna kitu kikubwa mwenye shahada anawaza tuu kulipwa 1M wakati huku kwenye jamii kunawatu wameanzisha biashara wanapata laki moja kwa mwezi Leo wanazaidi ya million tatu
 
Dah 🥴
Mkuu nimejitela hapa kununa eneo kigamboni milioni 2.5 mwez uliopita mwez huu kazin nimetimuliwa 😂
Najiuliza hapa nifanyeje Bora ile hela ningekuja nayo huko kulimisha mkuu
 
Kwa uzoefu wako kazi ya rangi imekaaje mana mm naiweza ile mchawi vyeti tu. Nataka nifanye mpango mwakani nizamiepo huko
 
Chakuwashauli vijana,, kwanza wakubali kujifunza wafundishike,, wavumilie maneno makali,, wapunguze mizigo ya kujiona wakubwa na mabishoo wa tafute muda wakuutumia kufanya kufanya kazi muda ni mwingi Sana ukiwanao kazi na ndio maana wanaofanya kazi wanaupata mpka wakupumzika,, sasa kijana asubui yupo vijiweni usiku club..
 
ok sawa, sory mkuu,
Mshauri basi jamaa afanyeje,
hana mishe tangu amalize chuo miaka ya nyuma huko na alikua anatumaini kuajiriwa lakina mpaka sasa bila bila, umri unaenda na muda unasonga pia
Mkuu mbona umekadhania sana swala la ushauri? Nitashauri nini ikiwa maswali niliyouliza kwenye comment yangu ya kwanza hujayajibu? Au umehisi hayana mantiki?
 
Tatizo la wasomi wengi huwa wanaenda shule Hadi vyuo kusoma ili wasjiliwe Sasa linapotokea suala la ajila kukosekana Basi hawana la kumfanya wanabski kujuta kwa Nini walisomaea gani hizo ebu kwa mtazamo wa Sasa niwashauli wasomi wanapoenda vyuoni wawe Kama JKT hata Kama hamna ajira wajiajili wenyewe pia ishu sio mtaji ishu Ni akili ya mtu na kujiona kwamba wa Levo furani hawazi fanya kazi furani kaxi nzuri zipo Kama vile bodaboda bajaji vibarua nk unajuwa na uhakika wa kutunza pesa Kila siku 10000 hujapata mtaji ndani ya miezi mitatu ukafsnya mambo yako yanaenda leo hii Kuna watu wsnzfanys hixo kazi hawatamani hata kuajiliwa wasalaam
 
Ajaribu kazi za vibarua viwandani na Katika miradi ya ujenzi, huko ndiko mimi kulikonilea. Ingawa asione aibu kupokea 2500 mpk 7000 kwa siku na akikuta anatumwa na watu wa standard 7 na pia wanakula mshahara mnono kuliko yeye. Mi nilichekwa sana ati msomi unafanya kazi moja na asiyesoma, nilivumilia ila mwishowe nilizoea na wakaanza niita professor
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…