Pre GE2025 Tumshauri Rais Samia aachie madaraka 2025 au agombee?

Pre GE2025 Tumshauri Rais Samia aachie madaraka 2025 au agombee?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wana JF, wasalaam.

Naenda moja kwa moja kwenye mada.

Kila nikiangalia siasa zinavyokwenda, ni hakika Samia hataweza kutoboa ila kwa njia ya kumwaga damu. Atatumia nguvu sana ili kurudi ikulu.

Kuna vielementi vingi sana ninavyo viona vitakavyo mnyima kura.

1. Hana kambi ya kumpigania kufa kupona. yuko na chawa tu ambao wao wanafuata upepo tu. Kifupi hajatengeneza timu yake kwenye Siasa.

2. Kuna jamii bado kabisa haiamini kutawaliwa na mwanamke, inatawaliwa tu by the way.

3. Bandari, narudia tena, Bandari. Hii ni issue kubwa sana linapokuja swala la kampeni.

4. Wamasai, nawahakikishia hapa napo ni kazi mno. Kanda ya kazikazini hapa wanasema mzanzibari kawafukuza watanganyika kwenye ardhi yao.

5. Kujenga hoja. Samia hana haiba ya kujenga hoja na wananchi wakamsikiliza. Itakuwa ngumu sana kupangua makombola ya wapinzani. Wakati wa uchaguzi watu wanahitaji mzuka yaani, mtu akiongea iwe kwikwi.. ni kama umuone Ester Bulaya ama Mdee wanaongea, utawasikiliza tu. Ila kumsikiliza Samia ni mpaka uwe na maslahi na speech yake..kama May Mosi vile.

6. Muungano; Huu muungano wetu unafanya mgombea kutoka zanzibar aonekane kama mvamizi, Muungano unatakiwa ufanyiwe marekebisho. Bila kuurekebisha mtu kutoka zanzibar ni ngumu sana kupata kura huku bara. Kama anamchanganyiko wa ubara na Uzanzibari anaweza akapata.

Sawali; Je, CCM wamshauri aachie ngazi kimya kimya ama wamupeleke tu hivyo arudi ikulu kwa kumwaga damu?
Step down
 
Wana JF, wasalaam.

Naenda moja kwa moja kwenye mada.

Kila nikiangalia siasa zinavyokwenda, ni hakika Samia hataweza kutoboa ila kwa njia ya kumwaga damu. Atatumia nguvu sana ili kurudi ikulu.

Kuna vielementi vingi sana ninavyo viona vitakavyo mnyima kura.

1. Hana kambi ya kumpigania kufa kupona. yuko na chawa tu ambao wao wanafuata upepo tu. Kifupi hajatengeneza timu yake kwenye Siasa.

2. Kuna jamii bado kabisa haiamini kutawaliwa na mwanamke, inatawaliwa tu by the way.

3. Bandari, narudia tena, Bandari. Hii ni issue kubwa sana linapokuja swala la kampeni.

4. Wamasai, nawahakikishia hapa napo ni kazi mno. Kanda ya kazikazini hapa wanasema mzanzibari kawafukuza watanganyika kwenye ardhi yao.

5. Kujenga hoja. Samia hana haiba ya kujenga hoja na wananchi wakamsikiliza. Itakuwa ngumu sana kupangua makombola ya wapinzani. Wakati wa uchaguzi watu wanahitaji mzuka yaani, mtu akiongea iwe kwikwi.. ni kama umuone Ester Bulaya ama Mdee wanaongea, utawasikiliza tu. Ila kumsikiliza Samia ni mpaka uwe na maslahi na speech yake..kama May Mosi vile.

6. Muungano; Huu muungano wetu unafanya mgombea kutoka zanzibar aonekane kama mvamizi, Muungano unatakiwa ufanyiwe marekebisho. Bila kuurekebisha mtu kutoka zanzibar ni ngumu sana kupata kura huku bara. Kama anamchanganyiko wa ubara na Uzanzibari anaweza akapata.

Sawali; Je, CCM wamshauri aachie ngazi kimya kimya ama wamupeleke tu hivyo arudi ikulu kwa kumwaga damu?
Kwa zile tuhuma za mange ni Bora aondoke.
 
Wana JF, wasalaam.

Naenda moja kwa moja kwenye mada.

Kila nikiangalia siasa zinavyokwenda, ni hakika Samia hataweza kutoboa ila kwa njia ya kumwaga damu. Atatumia nguvu sana ili kurudi ikulu.

Kuna vielementi vingi sana ninavyo viona vitakavyo mnyima kura.

1. Hana kambi ya kumpigania kufa kupona. yuko na chawa tu ambao wao wanafuata upepo tu. Kifupi hajatengeneza timu yake kwenye Siasa.

2. Kuna jamii bado kabisa haiamini kutawaliwa na mwanamke, inatawaliwa tu by the way.

3. Bandari, narudia tena, Bandari. Hii ni issue kubwa sana linapokuja swala la kampeni.

4. Wamasai, nawahakikishia hapa napo ni kazi mno. Kanda ya kazikazini hapa wanasema mzanzibari kawafukuza watanganyika kwenye ardhi yao.

5. Kujenga hoja. Samia hana haiba ya kujenga hoja na wananchi wakamsikiliza. Itakuwa ngumu sana kupangua makombola ya wapinzani. Wakati wa uchaguzi watu wanahitaji mzuka yaani, mtu akiongea iwe kwikwi.. ni kama umuone Ester Bulaya ama Mdee wanaongea, utawasikiliza tu. Ila kumsikiliza Samia ni mpaka uwe na maslahi na speech yake..kama May Mosi vile.

6. Muungano; Huu muungano wetu unafanya mgombea kutoka zanzibar aonekane kama mvamizi, Muungano unatakiwa ufanyiwe marekebisho. Bila kuurekebisha mtu kutoka zanzibar ni ngumu sana kupata kura huku bara. Kama anamchanganyiko wa ubara na Uzanzibari anaweza akapata.

Sawali; Je, CCM wamshauri aachie ngazi kimya kimya ama wamupeleke tu hivyo arudi ikulu kwa kumwaga damu?
Acha kuhangaika ,Samia ni Rais Hadi 2030 kazi zinaongea wala hahitaji kupanda jukwaani 👇👇

View: https://twitter.com/eastafricatv/status/1785971896682422492?t=MtT1_aHVJeukGl8CET8jnw&s=19
 
Awamu hii ni tofauti sana na awamu ya 5. Utawala wa Samia uko light kiasi kwamba, wapinzani wakiamuka tu hadi December 2024 samia ataanza kuzomewa.
ila pesa inatembea kotekote safari hii,ndiyo tegemeo.
 
Burknafaso,Niger, Mali, Angola, Senegal.... Hizi ni mfano... Na wao Wameletewa tu ??.
Duniani hakuna mwananchi anayechagua kiongozi..., wale wanao-nominate ndio wanachagua wewe unaletewa tu baadhi ya choices zao... Thus yoyote CCM itakayeamua atapita unless wasikubaliane (ndicho kilichotokea Kenya hadi KANU ikafa na ndio vikaibuka vyama vingine kwa characters zilezile)
 
Burknafaso,Niger, Mali, Angola, Senegal.... Hizi ni mfano... Na wao Wameletewa tu ??.
Walipigia Kura watu wangapi ? Au Kura zilipigwa baina ya choices fulani (nomination) Ni sawasawa unaambiwa uchague baina ya 1, 2 na 3 sasa aliyechagua ni wewe mwenye hizo choices tatu au aliyekuletea hizo Tatu kutoka kwenye 10 ?

Food for thought....
 
Wana JF, wasalaam.

Naenda moja kwa moja kwenye mada.

Kila nikiangalia siasa zinavyokwenda, ni hakika Samia hataweza kutoboa ila kwa njia ya kumwaga damu. Atatumia nguvu sana ili kurudi ikulu.

Kuna vielementi vingi sana ninavyo viona vitakavyo mnyima kura.

1. Hana kambi ya kumpigania kufa kupona. yuko na chawa tu ambao wao wanafuata upepo tu. Kifupi hajatengeneza timu yake kwenye Siasa.

2. Kuna jamii bado kabisa haiamini kutawaliwa na mwanamke, inatawaliwa tu by the way.

3. Bandari, narudia tena, Bandari. Hii ni issue kubwa sana linapokuja swala la kampeni.

4. Wamasai, nawahakikishia hapa napo ni kazi mno. Kanda ya kazikazini hapa wanasema mzanzibari kawafukuza watanganyika kwenye ardhi yao.

5. Kujenga hoja. Samia hana haiba ya kujenga hoja na wananchi wakamsikiliza. Itakuwa ngumu sana kupangua makombola ya wapinzani. Wakati wa uchaguzi watu wanahitaji mzuka yaani, mtu akiongea iwe kwikwi.. ni kama umuone Ester Bulaya ama Mdee wanaongea, utawasikiliza tu. Ila kumsikiliza Samia ni mpaka uwe na maslahi na speech yake..kama May Mosi vile.

6. Muungano; Huu muungano wetu unafanya mgombea kutoka zanzibar aonekane kama mvamizi, Muungano unatakiwa ufanyiwe marekebisho. Bila kuurekebisha mtu kutoka zanzibar ni ngumu sana kupata kura huku bara. Kama anamchanganyiko wa ubara na Uzanzibari anaweza akapata.

Sawali; Je, CCM wamshauri aachie ngazi kimya kimya ama wamupeleke tu hivyo arudi ikulu kwa kumwaga damu?
Samia mpaka 2030, hutaki Kaponde halafu unywe chupa ufe
 
Walipigia Kura watu wangapi ? Au Kura zilipigwa baina ya choices fulani (nomination) Ni sawasawa unaambiwa uchague baina ya 1, 2 na 3 sasa aliyechagua ni wewe mwenye hizo choices tatu au aliyekuletea hizo Tatu kutoka kwenye 10 ?

Food for thought....
Duuhh ,,, kwamba unajitoa ufaham kiasi Cha kutokujua kwamba, Hata hao walokuletea machaguzi hayo 3, wameyaleta Kwa kuzingatis Raia wanataka nani?.


Wewe Kwa mtazamo Huu wako, Unadhan njia gan ilikua sahihi kupata kiongozi ?.
 
Wana JF, wasalaam.

Naenda moja kwa moja kwenye mada.

Kila nikiangalia siasa zinavyokwenda, ni hakika Samia hataweza kutoboa ila kwa njia ya kumwaga damu. Atatumia nguvu sana ili kurudi ikulu.

Kuna vielementi vingi sana ninavyo viona vitakavyo mnyima kura.

1. Hana kambi ya kumpigania kufa kupona. yuko na chawa tu ambao wao wanafuata upepo tu. Kifupi hajatengeneza timu yake kwenye Siasa.

2. Kuna jamii bado kabisa haiamini kutawaliwa na mwanamke, inatawaliwa tu by the way.

3. Bandari, narudia tena, Bandari. Hii ni issue kubwa sana linapokuja swala la kampeni.

4. Wamasai, nawahakikishia hapa napo ni kazi mno. Kanda ya kazikazini hapa wanasema mzanzibari kawafukuza watanganyika kwenye ardhi yao.

5. Kujenga hoja. Samia hana haiba ya kujenga hoja na wananchi wakamsikiliza. Itakuwa ngumu sana kupangua makombola ya wapinzani. Wakati wa uchaguzi watu wanahitaji mzuka yaani, mtu akiongea iwe kwikwi.. ni kama umuone Ester Bulaya ama Mdee wanaongea, utawasikiliza tu. Ila kumsikiliza Samia ni mpaka uwe na maslahi na speech yake..kama May Mosi vile.

6. Muungano; Huu muungano wetu unafanya mgombea kutoka zanzibar aonekane kama mvamizi, Muungano unatakiwa ufanyiwe marekebisho. Bila kuurekebisha mtu kutoka zanzibar ni ngumu sana kupata kura huku bara. Kama anamchanganyiko wa ubara na Uzanzibari anaweza akapata.

Sawali; Je, CCM wamshauri aachie ngazi kimya kimya ama wamupeleke tu hivyo arudi ikulu kwa kumwaga damu?
Asigombee
 
1. Hana Maono,

2.Uwezo wa kujenga HOJA na kutetea HOJA ni mdogo,

3. Usimamizi wa raslimali za umma ni mdogo,

4. Uwezo wa Kupambana na RUSHWA ni chini.

5. Uwezo na uthubutu wa kufanya maamuzi Kwa wakati uko chini .

6. Hashauriki, issue ya Ngorongoro, Bandari, Tume huru na Katiba mpya kabla ya Uchaguzi, ni baadhi tu ya mifano michache.

Tuweke vyama pembeni, 2025 ni Bora akapumzika mchakato ukafanyika apatikane mtu sahihi.
Samia mpaka 2030,

Majibu yako hapa:
1. Maono ndiyo nini? Je tunataka maono ya mtu mmoja au maono ya Serikali. Tunayo vision 2025 iliandikwa kipindi cha Mkapa na ndiyo tunatekeleza

2. Unataka akujengee hoja za kitu gani? Kwani kuna midahalo Ikulu?

3. Hajashindwa usimamizi kwa kuwa tumeona miradi ya JNHEP ikikamilika na SGR Dar -Moro ikikamilika pia

4. Uwezo wa kupambana na Rushwa unasimamiwa na utawala wa sheria kupitia vyombo vya haki jinai

5. Uwezo wa kuthububutu mara nyingine ni ukatili wa kijjnga kama wa Magufuli alipoamua kumshambulia Tundu Lissu kwa risasi. Huo unyama hauna nafasi kwa nchi ya kistaarabu

6. Ngorongoro ni suala la ecology, laziima watu wapungue ili ibaki kuwa word heritage site. Bandari kubinafsishwa kwa DP WORLD ni kuongeza tija. Katiba Mpya ni mchakato umeanza miaka ya 1992, itakapofika utaiona lakini isije kwa shinikizo la wanasiasa
 
mfumko Mkuu, mfumko wa bei kila sehemu

Na mafuta bei imepaa tena,
Na mafuta yakipanda bei kila kitu kinapanda bei pia sababu inapelekea gharama za usafirishaji wa bidhaa kupanda ktk kumfikia mlaji sokoni toka shambani.
Na yale mafuta ya mitambo ya uzalishaji bidhaa hupelekea gharama za uzalishaji kupanda na hatimae bei ya bidhaa kupanda na anaeumia ni młaki wa mwisho (mwananchi).
 
Back
Top Bottom