#COVID19 Tumsikilize mchungaji Gwajima, tusimbeze. Chanjo zote zina bechi tofauti na kuna nchi hukataa baadhi ya bechi na nyingine ni zile zilizobakia

#COVID19 Tumsikilize mchungaji Gwajima, tusimbeze. Chanjo zote zina bechi tofauti na kuna nchi hukataa baadhi ya bechi na nyingine ni zile zilizobakia

Kwenye vutana vutana inayoendelea nchini kuhusiana na chanjo ya UVIKO-19, nimepata nafasi ya kuwafahamu viongozi wetu wanaotuongoza na maneno yao wanayosema kila siku.

Hayati JPM alijua siri ya Corona na akatwambia ukweli mtupu kwa nia njema kabisa. Kipindi chote alichokuwepo hakuwahi kamwe kupindisha maneno yake katika kile alichokijua na kukielewa, alitahadharisha watanzania kuhusu vitu vinavyotoka nje. Msimamo wake ndio uliolivusha taifa na kuonekana la tofauti na kipekee ulimwenguni, na kuchochea maendeleo mpaka taifa likaingia uchumi wa kati. Hapa nchini, shughuli ziliendelea kama kawaida utadhani korona haikuwepo kabisa.


Rais Samia ameonesha kutokuwa na msimamo katika maneno yake. Alipokuwa makamu wa rais, msaidizi wa kwanza wa rais JPM, alionesha kuwa na uelewa kwenye jambo linaloendelea duniani na alisisitiza watu kumtegemea Mungu. JPM hayupo, amepiga kona ya nyuzi 180; amemwacha Mungu na ameamua kuwategemea wazungu, mabeberu ambao awali alisema walikuwa wameanza kumtegemea Mungu kama sisi. Watu tuliokuwa tunaishi vizuri ameturudisha kwenye mijadala ya Corona na chanjo.
Unaweza kumwamini kiongozi kama huyu anayebadilika? Kiongozi wa hivi si anaweza kuuza nchi na watu wake kabisa? Kama kweli ni rais wa nchi, aliyeapa kuilinda nchi na watu wake, kwa maslahi gani hasa anayafanya haya? Huyu kweli ni mzalendo kwa taifa lake? Tafakari.
SAMIA AMETUKOSEA SANA WATANZANIA


Waziri wa Afya ni kigeugeu na mtu hatari sana kwa taifa letu. Wizara inaongozwa na mtu ambaye kipaumbele chake ni ajira yake. Amenukuliwa mara nyingi akilalamika kwamba watu wanaojaribu kumchallange wanahatarisha ugali wake. Huyu ni mchumia tumbo tu huyu. Anajua jinsi chanjo zilivyo hatari lakini amepiga U-turn na kuzikumbatia kwasababu tu anataka kumfurahisha rais ili alinde kibarua chake hata kama watanzania wataangamia. DR DOROTH BORA UBWAGE MANYANGA WEWE NI MNAFIKI


Mtu pekee nchini ambaye tangu ameanza kuongea hajawahi kabisa kupindisha maneno yake ni ASKOFU GWAJIMA. Binafsi sikuwa nimemfuatilia sana enzi za nyuma kabla ya kuwa mbunge. Lakini nimegundua msimamo wake juu ya korona na chanjo ni ule ule kabla ya kuwa mbunge na baada ya kuwa mbunge. Maneno ya Askofu Gwajima sio ya kuandikiwa na mtu, sio ya kusoma kwenye karatasi, sio ya kumfurahisha mtu. Maneno yake yanaonesha anajua kitu fulani ambacho muda wote yuko tayari kuhatarisha hata maisha yake ili kuokoa kundi kubwa lililo hatarini ambalo halijui undani wa korona na chanjo. Amedhihirisha kuwa mtu thabiti asiyeyumba.


Ukifuatilia kwa karibu, utagundua Askofu Gwajima ameanza kuongea mambo yanayotokea hivi sasa tangu mwaka juzi. Na aliyoyaongea, taratibu yanaanza kutokea, ingawa watu wengine waliyapuuzia na kuyabeza. Anayatoa wapi mambo haya? Mtu wa namna hii ni vizuri kumsikiliza na kuwa makini naye kwa sababu inaonekana vyanzo vyake vya taarifa ni vya uhakika.
Aliwahi kusema itafika mahali kama mtu hajachanjwa hataruhusiwa kuuuza au kununua vitu. Jana tu taarifa inazunguka inayoonyesha rais wa Ufaransa akisema mtu ambaye hatachanjwa hataruhusiwa kununua vitu. Tunaelekea wapi?

Askofu Gwajima mwanzoni kabisa wa korona alisema Tanzania itachukua msimamo wa tofauti, na huo msimamo tofauti utaipaisha juu kiuchumi. Haikupita mwaka, Tanzania iliingia Uchumi wa Kati na watalii walikuwa wanakuja kwa wingi kipindi ambapo nchi nyingi zilikuwa zimefunga mipaka yake.


KAMA ALIYOYASEMA ASKOFU GWAJIMA YAMETOKEA, MANGAPI ANAYAJUA AMBAYO HAJAYAWEKA WAZI BADO?


Watanzania wa leo sio wa jana; ukisoma maoni ya watanzania wengi, utagundua kuwa walisubiri mtu atakayejitoa muhanga kuwanasua kutoka kwenye mikono ya viongozi wao wanaotaka kuwachanja kitu kilichokataliwa na waliokileta.

Gwajima anajua kuwa hiari inayosemwa ni mtego, baadaye chanjo itakuwa lazima kama waliotayari kuchanja kwa hiari wataisha; dawa ni kila mtu kugoma kuchanja.

Lakini pia Gwajima ameshauri serikali ianze kufanyia utafiti wa kutengeneza chanjo hapa nchini, maana hata wale wanaosukumiza chanjo huku Afrika hawaamini chanjo za mataifa mengine.

KWA NINI SERIKALI ISIZINGATIE USHAURI WA KUTENGENEZA CHANJO HAPA HAPA NCHINI?

Serikali isipambane na Askofu Gwajima, nyuma yake kuna mamilioni ya watanzania ambao hawana mtetezi na wote wamekuja nyuma yake waliposikia anasema anapinga kinachoendelea. Badala yake isikilize ushauri anaotoa na kuufanyia kazi.


Kama serikali inasema wazi haitahusika na madhara yoyote yatokanayo na chanjo kwa mtu atakayechanjwa...je, ni nani atawajibika kwa madhara yatakayosababishwa na chanjo? Ni nani atamsaidia atakayepata madhara hayo.? Tafakari.


Kama serikali haitaki kubeba lawama, basi tuisaidie kwa kugoma kupokea chanjo. Kunipa chakula halafu ukasema kikinidhuru usiulizwe... maana yake lazima hicho chakula kitaleta madhara na hutaki kuwajibika kwa madhara hayo!!


Naomba watanzania kwa pamoja tusikubali kuwa sehemu ya majaribio. Hata mtu akiamua kuchanja mbele ya TV hiyo haitoshi kutuaminisha maana anaweza kuchanja kitu kingine chochote ambacho sio chanjo ya UVIKO-19 anayotaka wengine wachanjwe.


KATAA CHANJO NA KWA PAMOJA TUSIMAME NA ASKOFU GWAJIMA.

CHANJO NI HATARI!!!!!!
Watu weng tumekuwa wavivu wa kufikili tunapenda cna kamseleleko has viongoz wetuu
 
Ushauri wangu kwa Askofu Gwajima.... Ajiuzulu ubunge wa Kawe ili akaendeleze kazi ya kutoa ilmu ya athali za chanjo hii kupitia kwa waumini wa kanisa lake.

Pamoja na hoja yake kuwa ina mashiko, hawezi kuwatumikia mabwana wawili, Kuna maslahi zaidi kwa waumini wake.
 
Chanjo za COVID-19 pia husaidia kukuepusha na khali kuwa mbaya na kuzidiwa(seriously Ill), hata ikiwa utapata COVID-19, hali haiuwi mbaya kama wale ambao hawajaipata. Kupata chanjo mwenyewe pia kunaweza kuwalinda watu walio karibu nawe, haswa watu walio katika hatari ya kupata madhara makubwa yanayotokana na COVID-19. Haswa wale wenye magonjwa mengine(underlying medical issues), mfano watu wazima na wale wenye kisukari nk.
Wewe dada mbona unapigia debe sana chanjo
 
Kumbe na wewe hauna akili kama Gwajima? Umeandika utopolo mtupu! Kwanza hizo chanjo hazidhuru DNA kama wewe na Gwajiboy mnavyowadanganya watu.

Chanjo ya COVID-19 haibadili au kuingiliana na DNA yako kwa njia yoyote. Chanjo zote za mRNA na virusi vya virusi vya COVID-19 hutoa maagizo kwa seli zetu ili kuanza kujenga kinga dhidi ya virusi vinavyosababisha COVID-19. Lakini, nyenzo hizo haziingii kamwe kwenye kiini cha seli, ambayo ndio huhifadhiwa DNA yetu.

Pia Gwajima anasema hiyo COVID-19 itaisha yenyewe na hataki mwananchi yeyote apate chanjo. Hilo la kusema zipimwe “chemicals” zake, ni kama tu tayari keshaaminisha watu kuwa chanjo ni mbaya na kuzipima ni ili kusapoti hoja yake. Labda angesema zipimwe kwanza ndiyo maamuzi yafanyike, lakini yeye anaongea as if tayari keshafahamu kuwa chanjo ni mbaya. Angeacha kauli ambayo imeshatewa kuwa chanjo ni hiyari na siyo lazima. Lasivyo atakuwa responsible kwa watakaopoteza maisha yao kwasababu ya vitisho vyake.

Kuna wale wanaosema kuwa chanjo haizuii kupatwa tena na COVID-19. Ni kweli, lakini imetokea zaidi kwenye wimbi hili la “Delta variant”, hata hivyo, chanjo bado inasaidia wale waliochanjwa wasipate madhara makubwa yanayosababishwa na virusi hivyo ikiwemo kupelekwa hospitali na hata kupoteza maisha yao.

Muwe munajishughulisha kufanya viji “research” vidogo vidogo ili kuweza kuelewa jambo badala ya kukurupuka tu.
Mkuu kwa mjib wa nyerere voice, hakuna umalaya mkubwa Kama wa siasa, Ni hao hao walikuwepo kwenye awam ya 5, ndo hao wapo awam ya 6, ila Ni sura 2 tofauti, Sasa tuwaamini? Mkuu gwaj boy anahoja ya msingi sana, doz m1, wataozaliwa watakuwa Nan?
 
Utangulizi- Nawaomba Mods msihamishe uzi huu.

Mchungaji Josephat Gwajima asimamia maeneo mawili katika hoja yake.

Kwanza, kilichomo kwenye chanjo na pili chanjo dhidi ya wanajeshi na walinda usalama wa nchi.

La kwanza kuhusu kilichomo kwenye chanjo au (content).

Mchungaji Gwajima anadai ni lazima madaktari wajiridhishe kuwa kilichomo katika chanjo nyingi zilizowasili Tanzania jana ni sawa na kilichomo katika chanjo walopewa raia wa nchi zilizoendelea.

Itakumbukwa kuwa mapema mwaka huu nchi nyingi zilizoendelea zilipokea idadi kubwa ya chanjo za Covid-19 na kufikia mwezi Juni mwaka huu Marekani pamoja na Uingereza zikaanza kusema kuwa zitapeleka dawa zilizobakia katika nchi maskini.

Ahadi hiyo ilitolewa na Raisi Biden na Boris Johnson wa Uingereza katika mkutano wa nchi tajiri 7 au G7 ulofanyikia katika mji wa Cornwall nchini Uingereza.

Covid vaccine: UK and US to give leftover doses to poorer countries kupitia BBC Covid vaccine: UK and US to give leftover doses to poorer countries - CBBC Newsround

Lakini siku moja kabla ya mkutano huo raisi Biden aliahidi kutoa msaada wa dawa za chanjo wenye thamani ya dola za Marekani milioni 500-

US to donate 500 million Pfizer COVID-19 vaccine doses globally: Report- US to donate 500 million Pfizer COVID-19 vaccine doses globally: Report

Sasa tukirudi katika hoja ya mchungaji Gwajima kwamba lazima tuangazie kilichomo (Content) katika chanjo hizo zote ni ya kuzingatiwa.

Wenzetu wazungu wao walikwishajipanga vilivyo katika suala zima la kukabiliana na ugonjwa wa UVIKO -19 na kwa muktadha huo waliweza kutengeneza vipeperushi na vielelezo vingine ambavyo zinalenga kumuelimisha mchanjwaji mtarajiwa kuwa ni aina ipi ya chanjo anaweza kupata, imetengenezwa vipi kwa kutumia nini, na inabeba vitu gani na kisha madhara yake baada ya kudungwa au "side effects"

Hivyo taarifa zoote kuhusu UVIKO-19 zimo katika tovuti za serikali za nchi zote zilizoendelea na mtu aweza kusoma na kuelewa bila shida.

Serikali ya Tanzania ingeweza kabisa kufanya hili ilipokuwa ikijiandaa kupokea chanjo na kuondoa uwezekano wa mijadala ambayo yaonekana wazi kuwa haiwezi kuzuia utekelezaji wa kudunga watanzania chanjo hizo.

Sasa hizo chanjo zina namba maalum au bechi au kwa kiingereza batch number hivyo pfizer yaweza kuitwa BNT163C1 au 161C2 na kadhalika.

Hizi namba zinatofautina na ukiwa umedungwa BNT163C1 basi ni lazima uje udungwe dozi ya pili ambayo ni kutoka katika bechi hiyohiyo yaani yaweza kuwa BNT163C3 lakini haiwezi kuwa BNT200b1 ambayo yaweza kuwa ndo inoleta madhara kama kuganda kwa damu.

Ni hivyohivyo kwa chanjo za Moderna, Johnson &Johnson na Moderna ambazo pia zinatumia bechi tofauti.

Moderna inayoyumika kwa mtu A yenye bechi namba 3001729 ndo hiyohiyo itayotumika kwa mtu huyohuyo A lakini itafuatia kidogo na kuwa 3001830.

Mtu anechanjwa Pfiser BioNTech ni lazima achanjwe dozi hiyohiyo ya chanjo hiyohiyo.

Nchi kadhaa za Ulaya na Marekani wakiangalia namba ya bechi ambayo msafiri amechomwa kuna ambao wanakataliwa kuingia katika nchi hizo kwa kuwa amechomwa chanjo ambayo ni ya kutoka kwenye bechi ambayo ina matatizo ya kuleta kuganda kwa damu na homa kali isokwisha.

Katika chanjo zote chanjo ya Oxford Astra Zeneca ndo chanjo ambao haihitaji baridi kali kuitunza hivyo kuifanya iwe rahisi kuihifadhi katika jokovu la kawaida kama yale ya majumbani.

Chanjo zingine zote huitaji majokovu maalum ambayo pia ni lazima yawe katika mazingira ya kutoweza kuvurugwa na waswahili au kuwa "compromised".

Hivyo hapa nina imani pia kuwa Serikali imewekeza vilivyo katika idara ya uhifadhi na ugavi wa chanjo hizi na hakutakuwa na dalili za kuzivuruga chanjo hizo.

Sasa basi, mchungaji Gwajima anadai ni lazima tujiridhishe kuwa dawa hizi za chanjo zina kiwango kilichomo (content) sawa na chanjo walochomwa wazungu huko Ulaya na Marekani.

Kwenye hili ana hoja kwani hatufahamu dawa hizi za chanjo zimepitia wapi, zimehifadhiwa vipi, zitabadilika vipi kiubora (yaani quality) na je zitaleta madhara yepi mwilini?

Lakini kwa kuwa dawa za chanjo zimekwishatua nchini na pamoja na maoni kadhaa yakiwemo niliyowahi kuyatoa huko nyuma kuwa tuwe waangalifu na chanjo hizi cha msingi ni kuanza na wale wananchi ambao wako hoi mahospitalini na wengine ambao wameathirika zaidi.

Kisha kama nilivyowahi kupendekeza huko nyuma ni kwamba serikali itengeneze makundi ya wataochanjwa na kuweka utaratibu kulingana na mahitaji yaani wazee, wale wenye hali tata kiafya na kisha wale wanotaka kusafiri kwenda nchi zingine ambako wanataka msafiri awe amechanjwa dozi mbili.

Nikija kwenye suala la pili kuhusu wanajeshi, watu wa usalama na wengine wenye majukumu mazito ya kuilinda nchi hii, hapa pia Mchungaji Gwajima ana hoja.

Tusishabikie tu kuwa kwa kuwa wanajeshi watachanjwa basi ni sawa, inatubidi kama taifa tuangalie maslahi ya taifa hili, usalama wake na mstakabali wake kwa miaka 5 na kuendelea.

Tujiulize ni kwanini Russia, Iran, Israeli, China na nchi zingine makini kwanini wao wametengeneza chanjo zao?

Vita ya sasa duniani imehamia kwa muda katika madawa, biolojia (bilogical warfare) kutoka kwenye vita ya kukimbilia silaha zingine.

Tukumbuke hakuna silaha mbaya sana kama silaha ya kibaolojia ambayo hukaa mwilini kwa muda mrefu usojulikana.

Hivyo viwanda vya madawa navyo vimeamua kujikita katika sekta hivyo ya vita kwa kushindana kutengeneza dawa za chanjo.

Si kwamba dawa hizi za chanjo hazikuwepo, bali kilichotokea ni kwa wenye viwanda hivi kufanikiwa katika kuomba fedha za ufadhili katika kufanya tafiti zao na suala la UVIKO-29 lilipoingia wote wakahamia huko.

Chanjo zote hizi zinatumia teknolojia maalum ili kuweza kutumwa kwenda mwilini na kukutana na chembechembe za damu, baada ya hapo ni utaratibu wa kubadili chembechembe hizi pamoja na Vinasaba au DNA na kutengeneza kitu kingine.

Hivyo je, baada ya miaka 5 hado 10 ijayo endapo rasilimali watu ya vyombo hivi vya ulinzi na usalama itaathirika Serikali itakuwa imejiandaa vipi maana hakutakuwa na jeshi imara, lenye uwezo wa kuilinda nchi ipasanyo dhidi ya uvamizi wowote wenye nguvu kubwa.

Hivyo haya Mchungaji Gwajima ana hoja asikilizwe na asibezwe kwani yeye anatumia jicho la tatu katika kuangalia na kusoma alama za nyakati.

Sie wengine wote tunapaswa kutafakari maoni kama hayo na kuyatumia katika kutafuta ukweli zaidi

Nimalizie kwa kusema mimi nilipokuwa nasoma sekondari enzi hizo, somo la jiografia lilikuwa ni moja ya masomo niloyapenda sana.

Kuna siku mwalimu alituuliza darasani nini vyanzo vya mmomonyoko wa ardhi na maporoko yake yaani "Landslide".

Lakini usiku wa jana yake palinyesha mvua kubwa sana na tukasikia kuna mifugo kadhaa imebebwa na na kusombwa na maji na kupotea ziwani.

Pia kulikuwepo na katetemeko kadogo ka ardhi yaani (Earth tremor) ambako kalisababisha nyumba kuyumba kidogo kwa muda wa dakika kadhaa.

Asubuhi katika kipindi mwalimu akasimulia juu ya ile "landslide" na vifo vya mifugo, kisha akauliza nini kinasababisha mmomonyiko wa ardhi khasa lile lilotokea usiku?

Mimi kwa kukumbuka ile hali ya usiku nikajibu kuwa moja ni tetemeko, na pili ni mvua kubwa pamoja na shughuli kama ukataji miti na ujenzi.

Mwanafunzi mwingine kajibu kuwa ni kuyeyuka kwa mapande ya barafu au Glaciers.

Mwalimu akatabasamu na kuinua kichwa kuashiria amekubaliana na majibu yote, lakini akamgeukia mwanafunzi mwenzetu na akamwambia" umesema Glaciers lakini hapa hatupo Greenland au Patagonia Pampas"

Akaendelea, "tujaribu sana kutafuta majibu katika mazingira tuliyopo kabla ya kwenda mbali na ng'ambo huko". akamaliza.

Hii sentensi yake sijaweza kuisahamu hadi leo na imenisaidia sana katika kutafuta masuluhisho ndani ya mazingira niliyopo.

Hivyo pamoja na misaada tuipatayo kutoka nje zikiwemo chanjo cha magonjwa kama UVIKO-19 bado tuna budi kama taifa kujiwekea utaratibu kuwa tunajenga maabara za kisasa na vituo vya kufanya utafiti na kuhakikisha tunamwaga fedha humo kutafuta chanjo ya UVIKO- 19 ya Kitanzania.

Kwa njia hiyo tutakuwa tumejitatulia matatizo yetu wenyewe kwa kutumia wataalam wetu wenyewe na rasilimali zetu wenyewe, huko nje tukazane kuomba misaada ya teknolojia.
tatizo ni moja 2.ni tatito la kukosea kuoa kwa baba.rip jpm huku ungeona kinachotupata ungelia machozi.watanzania tunakukumbuka
 
Hivyo je, baada ya miaka 5 hado 10 ijayo endapo rasilimali watu ya vyombo hivi vya ulinzi na usalama itaathirika Serikali itakuwa imejiandaa vipi maana hakutakuwa na jeshi imara, lenye uwezo wa kuilinda nchi ipasanyo dhidi ya uvamizi wowote wenye nguvu kubwa
Nimesoma mpaka hapa nikaacha!! Hivi kweli US haina uwezo wa kutupiga na jeshi letu hili la sahivi mpaka kwanza watufanye ''mazombie''???

Kwani wakituma drone 5 tu mbona zinatosha kutumaliza. Hawahitaji mabiliom ya chanjo ili tu kutumaliza ni kujipa sifa zisizokua na uhalisia.

Mfano madawa 90% yanatoka nje yote hayo wasiweke sumu ila eti chanjo pekee ndio sumu iwepo?? Are we serious? Hivi kuna silaha gani ya kivita imetengenezwa bongo? Kwanini usiwaze kwamba hta hizo silaha ma ndege vita zimepuliziwa elements za kuwamaliza wanajeshi wetu??

Yaani bidhaa moja tu ndio ina sumu? Ila bidhaa zote ambazo tuna import kila mwaka ndio zipo safe?? Are you serious
 
1. Ukipata chanjo unaweza kupata corona? = Ndiyo

2. Ukipata chanjo unaweza pia kufa kwa corona? = Ndiyo

SWALI:
Kwanini upate chanjo?
Eeh inapunguza case ya kifo na kupata severe cases..... Yaani kma watu elfu 10 wameugua Covid Basi bila chanjo wangekufa hata 500. Ila kwa sababu ya chanjo watakufa 50 pekee!!

Tusipende ku generalise mambo kama hatujaenda shule..... Hata ukitumia Condom bado sio guarantee kwamba hupati VVU ila mbona hazijapigwa marufuku?? Kma unaona hazina faida embu propose nasi suluhisho ni nini??

Watu wanatumia chanjo na vifo vimepungua anakuja mmachinga wa Tandika anakejeli wakati nchi nzima imeshindwa hata kutengeneza Panadol tu!!

Embiciles
 

How does the AstraZeneca/Oxford vaccine work?​

The vaccine – called ChAdOx1 nCoV-19 – uses a harmless, weakened version of a common virus which causes a cold in chimpanzees.

The virus is genetically modified so that it is impossible for it to grow in humans.

Scientists have transferred the genetic instructions for coronavirus’s specific ‘spike protein’ – which it needs to invade cells – to the vaccine.

When the vaccine enters cells inside the body, it uses this genetic code to produce the surface spike protein of the coronavirus.

This induces an immune response, priming the immune system to attack coronavirus if it infects the body.

Source: PA

Hapo penye BOLD ndipo DNA inafanyiwa kitu chaitwa tweek.

Na hapo ndipo ilipo hoja ya mchungaji Gwajima.
Seriously Gwajima?? Kwanini usitumie paper ya kitaaluma?? Yaani Gwajima ndio mchambuzi wa kitaaluma mpaka mseme hoja yake ipo hapo? Anajua nini kuhusu DNA au mRNA
 
 
Utangulizi- Nawaomba Mods msihamishe uzi huu.

Mchungaji Josephat Gwajima asimamia maeneo mawili katika hoja yake.

Kwanza, kilichomo kwenye chanjo na pili chanjo dhidi ya wanajeshi na walinda usalama wa nchi.

La kwanza kuhusu kilichomo kwenye chanjo au (content).

Mchungaji Gwajima anadai ni lazima madaktari wajiridhishe kuwa kilichomo katika chanjo nyingi zilizowasili Tanzania jana ni sawa na kilichomo katika chanjo walopewa raia wa nchi zilizoendelea.

Itakumbukwa kuwa mapema mwaka huu nchi nyingi zilizoendelea zilipokea idadi kubwa ya chanjo za Covid-19 na kufikia mwezi Juni mwaka huu Marekani pamoja na Uingereza zikaanza kusema kuwa zitapeleka dawa zilizobakia katika nchi maskini.

Ahadi hiyo ilitolewa na Raisi Biden na Boris Johnson wa Uingereza katika mkutano wa nchi tajiri 7 au G7 ulofanyikia katika mji wa Cornwall nchini Uingereza.

Covid vaccine: UK and US to give leftover doses to poorer countries kupitia BBC Covid vaccine: UK and US to give leftover doses to poorer countries - CBBC Newsround

Lakini siku moja kabla ya mkutano huo raisi Biden aliahidi kutoa msaada wa dawa za chanjo wenye thamani ya dola za Marekani milioni 500-

US to donate 500 million Pfizer COVID-19 vaccine doses globally: Report- US to donate 500 million Pfizer COVID-19 vaccine doses globally: Report

Sasa tukirudi katika hoja ya mchungaji Gwajima kwamba lazima tuangazie kilichomo (Content) katika chanjo hizo zote ni ya kuzingatiwa.

Wenzetu wazungu wao walikwishajipanga vilivyo katika suala zima la kukabiliana na ugonjwa wa UVIKO -19 na kwa muktadha huo waliweza kutengeneza vipeperushi na vielelezo vingine ambavyo zinalenga kumuelimisha mchanjwaji mtarajiwa kuwa ni aina ipi ya chanjo anaweza kupata, imetengenezwa vipi kwa kutumia nini, na inabeba vitu gani na kisha madhara yake baada ya kudungwa au "side effects"

Hivyo taarifa zoote kuhusu UVIKO-19 zimo katika tovuti za serikali za nchi zote zilizoendelea na mtu aweza kusoma na kuelewa bila shida.

Serikali ya Tanzania ingeweza kabisa kufanya hili ilipokuwa ikijiandaa kupokea chanjo na kuondoa uwezekano wa mijadala ambayo yaonekana wazi kuwa haiwezi kuzuia utekelezaji wa kudunga watanzania chanjo hizo.

Sasa hizo chanjo zina namba maalum au bechi au kwa kiingereza batch number hivyo pfizer yaweza kuitwa BNT163C1 au 161C2 na kadhalika.

Hizi namba zinatofautina na ukiwa umedungwa BNT163C1 basi ni lazima uje udungwe dozi ya pili ambayo ni kutoka katika bechi hiyohiyo yaani yaweza kuwa BNT163C3 lakini haiwezi kuwa BNT200b1 ambayo yaweza kuwa ndo inoleta madhara kama kuganda kwa damu.

Ni hivyohivyo kwa chanjo za Moderna, Johnson &Johnson na Moderna ambazo pia zinatumia bechi tofauti.

Moderna inayoyumika kwa mtu A yenye bechi namba 3001729 ndo hiyohiyo itayotumika kwa mtu huyohuyo A lakini itafuatia kidogo na kuwa 3001830.

Mtu anechanjwa Pfiser BioNTech ni lazima achanjwe dozi hiyohiyo ya chanjo hiyohiyo.

Nchi kadhaa za Ulaya na Marekani wakiangalia namba ya bechi ambayo msafiri amechomwa kuna ambao wanakataliwa kuingia katika nchi hizo kwa kuwa amechomwa chanjo ambayo ni ya kutoka kwenye bechi ambayo ina matatizo ya kuleta kuganda kwa damu na homa kali isokwisha.

Katika chanjo zote chanjo ya Oxford Astra Zeneca ndo chanjo ambao haihitaji baridi kali kuitunza hivyo kuifanya iwe rahisi kuihifadhi katika jokovu la kawaida kama yale ya majumbani.

Chanjo zingine zote huitaji majokovu maalum ambayo pia ni lazima yawe katika mazingira ya kutoweza kuvurugwa na waswahili au kuwa "compromised".

Hivyo hapa nina imani pia kuwa Serikali imewekeza vilivyo katika idara ya uhifadhi na ugavi wa chanjo hizi na hakutakuwa na dalili za kuzivuruga chanjo hizo.

Sasa basi, mchungaji Gwajima anadai ni lazima tujiridhishe kuwa dawa hizi za chanjo zina kiwango kilichomo (content) sawa na chanjo walochomwa wazungu huko Ulaya na Marekani.

Kwenye hili ana hoja kwani hatufahamu dawa hizi za chanjo zimepitia wapi, zimehifadhiwa vipi, zitabadilika vipi kiubora (yaani quality) na je zitaleta madhara yepi mwilini?

Lakini kwa kuwa dawa za chanjo zimekwishatua nchini na pamoja na maoni kadhaa yakiwemo niliyowahi kuyatoa huko nyuma kuwa tuwe waangalifu na chanjo hizi cha msingi ni kuanza na wale wananchi ambao wako hoi mahospitalini na wengine ambao wameathirika zaidi.

Kisha kama nilivyowahi kupendekeza huko nyuma ni kwamba serikali itengeneze makundi ya wataochanjwa na kuweka utaratibu kulingana na mahitaji yaani wazee, wale wenye hali tata kiafya na kisha wale wanotaka kusafiri kwenda nchi zingine ambako wanataka msafiri awe amechanjwa dozi mbili.

Nikija kwenye suala la pili kuhusu wanajeshi, watu wa usalama na wengine wenye majukumu mazito ya kuilinda nchi hii, hapa pia Mchungaji Gwajima ana hoja.

Tusishabikie tu kuwa kwa kuwa wanajeshi watachanjwa basi ni sawa, inatubidi kama taifa tuangalie maslahi ya taifa hili, usalama wake na mstakabali wake kwa miaka 5 na kuendelea.

Tujiulize ni kwanini Russia, Iran, Israeli, China na nchi zingine makini kwanini wao wametengeneza chanjo zao?

Vita ya sasa duniani imehamia kwa muda katika madawa, biolojia (bilogical warfare) kutoka kwenye vita ya kukimbilia silaha zingine.

Tukumbuke hakuna silaha mbaya sana kama silaha ya kibaolojia ambayo hukaa mwilini kwa muda mrefu usojulikana.

Hivyo viwanda vya madawa navyo vimeamua kujikita katika sekta hivyo ya vita kwa kushindana kutengeneza dawa za chanjo.

Si kwamba dawa hizi za chanjo hazikuwepo, bali kilichotokea ni kwa wenye viwanda hivi kufanikiwa katika kuomba fedha za ufadhili katika kufanya tafiti zao na suala la UVIKO-29 lilipoingia wote wakahamia huko.

Chanjo zote hizi zinatumia teknolojia maalum ili kuweza kutumwa kwenda mwilini na kukutana na chembechembe za damu, baada ya hapo ni utaratibu wa kubadili chembechembe hizi pamoja na Vinasaba au DNA na kutengeneza kitu kingine.

Hivyo je, baada ya miaka 5 hado 10 ijayo endapo rasilimali watu ya vyombo hivi vya ulinzi na usalama itaathirika Serikali itakuwa imejiandaa vipi maana hakutakuwa na jeshi imara, lenye uwezo wa kuilinda nchi ipasanyo dhidi ya uvamizi wowote wenye nguvu kubwa.

Hivyo haya Mchungaji Gwajima ana hoja asikilizwe na asibezwe kwani yeye anatumia jicho la tatu katika kuangalia na kusoma alama za nyakati.

Sie wengine wote tunapaswa kutafakari maoni kama hayo na kuyatumia katika kutafuta ukweli zaidi

Nimalizie kwa kusema mimi nilipokuwa nasoma sekondari enzi hizo, somo la jiografia lilikuwa ni moja ya masomo niloyapenda sana.

Kuna siku mwalimu alituuliza darasani nini vyanzo vya mmomonyoko wa ardhi na maporoko yake yaani "Landslide".

Lakini usiku wa jana yake palinyesha mvua kubwa sana na tukasikia kuna mifugo kadhaa imebebwa na na kusombwa na maji na kupotea ziwani.

Pia kulikuwepo na katetemeko kadogo ka ardhi yaani (Earth tremor) ambako kalisababisha nyumba kuyumba kidogo kwa muda wa dakika kadhaa.

Asubuhi katika kipindi mwalimu akasimulia juu ya ile "landslide" na vifo vya mifugo, kisha akauliza nini kinasababisha mmomonyiko wa ardhi khasa lile lilotokea usiku?

Mimi kwa kukumbuka ile hali ya usiku nikajibu kuwa moja ni tetemeko, na pili ni mvua kubwa pamoja na shughuli kama ukataji miti na ujenzi.

Mwanafunzi mwingine kajibu kuwa ni kuyeyuka kwa mapande ya barafu au Glaciers.

Mwalimu akatabasamu na kuinua kichwa kuashiria amekubaliana na majibu yote, lakini akamgeukia mwanafunzi mwenzetu na akamwambia" umesema Glaciers lakini hapa hatupo Greenland au Patagonia Pampas"

Akaendelea, "tujaribu sana kutafuta majibu katika mazingira tuliyopo kabla ya kwenda mbali na ng'ambo huko". akamaliza.

Hii sentensi yake sijaweza kuisahamu hadi leo na imenisaidia sana katika kutafuta masuluhisho ndani ya mazingira niliyopo.

Hivyo pamoja na misaada tuipatayo kutoka nje zikiwemo chanjo cha magonjwa kama UVIKO-19 bado tuna budi kama taifa kujiwekea utaratibu kuwa tunajenga maabara za kisasa na vituo vya kufanya utafiti na kuhakikisha tunamwaga fedha humo kutafuta chanjo ya UVIKO- 19 ya Kitanzania.

Kwa njia hiyo tutakuwa tumejitatulia matatizo yetu wenyewe kwa kutumia wataalam wetu wenyewe na rasilimali zetu wenyewe, huko nje tukazane kuomba misaada ya teknolojia.
Gwajima huyu au
IMG-20210728-WA0011.jpg
 

How does the AstraZeneca/Oxford vaccine work?​

The vaccine – called ChAdOx1 nCoV-19 – uses a harmless, weakened version of a common virus which causes a cold in chimpanzees.

The virus is genetically modified so that it is impossible for it to grow in humans.

Scientists have transferred the genetic instructions for coronavirus’s specific ‘spike protein’ – which it needs to invade cells – to the vaccine.

When the vaccine enters cells inside the body, it uses this genetic code to produce the surface spike protein of the coronavirus.

This induces an immune response, priming the immune system to attack coronavirus if it infects the body.

Source: PA

Hapo penye BOLD ndipo DNA inafanyiwa kitu chaitwa tweek.

Na hapo ndipo ilipo hoja ya mchungaji Gwajima.
Kama huu ndiyo ushahidi wa hoja ya DNA basi shida kubwa ni uelewa wa lugha ya kiingereza wa wasomaji wetu wa kibongo. Nashauri utulie usome upya; hii article haisemi kuwa DNA ya mtu inabadilishwa na chanjo.
 

How does the AstraZeneca/Oxford vaccine work?​

The vaccine – called ChAdOx1 nCoV-19 – uses a harmless, weakened version of a common virus which causes a cold in chimpanzees.

The virus is genetically modified so that it is impossible for it to grow in humans.

Scientists have transferred the genetic instructions for coronavirus’s specific ‘spike protein’ – which it needs to invade cells – to the vaccine.

When the vaccine enters cells inside the body, it uses this genetic code to produce the surface spike protein of the coronavirus.

This induces an immune response, priming the immune system to attack coronavirus if it infects the body.

Source: PA

Hapo penye BOLD ndipo DNA inafanyiwa kitu chaitwa tweek.

Na hapo ndipo ilipo hoja ya mchungaji Gwajima.
Mkuu, huyo jamaa uwezo wake wa kuelewa ni mdogo sana hawezi kukuelewa.
Btw, kuna batch ya J &J wakanada waliikataa.
Sisi hapa kwetu tunapokea tu bila kufanya analysis yoyote.
 
Kabisa kaka unacho semaa.

Kwa maana hakuna anaejua baada ya miaka mitano nini kitakuja kutokea.Na nchi yetu hatuna uwezo wa kupambana na huu mlipuko.

Ila kwakuwa ni iyari basi kila mtu ajiongezee kimpango wake.

Ila kwangu staki hata katt na kamm chake niskie wamekanyaga hisp.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Magufuli amewaharibu sana,hivi mwafrika utamkwepaje mzungu akidhamiria kukuua?
Unakataa chanjo ya corona,vipi kuhusu chanjo ya polio,ndui na surua?
 
Mkuu, huyo jamaa uwezo wake wa kuelewa ni mdogo sana hawezi kukuelewa.
Btw, kuna batch ya J &J wakanada waliikataa.
Sisi hapa kwetu tunapokea tu bila kufanya analysis yoyote.
Hivi kwa utaalamu gani mlionao?yani kutengeneza chanjo hamuwezi halafu ndio muweze kufanya analysis? Yani Magufulu alipowaambia ninyi ni donor country mnakubali!
 
Back
Top Bottom