Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Mtaka ni RC bora kuliko wote Tanzania, tubishanie mengine hili halina ubishi.Tukumbuke tu RAS wake alikuwa katibu mkuu Tamisemi kama sijakosea.Na RAS yuko vizuri mno shida ya Mtaka ni ile ile ya vijana wengi waliopewa madaraka.
Mtaka ni RC bora kuliko wote Tanzania, tubishanie mengine hili halina ubishi.
Mtaka anawajuwa vyema marafiki wa Mtaka na marafiki wa cheo chake, wengi wangekuwa wanalijuwa hili wasingeharibikiwa, kwa mbali namuona Mrisho Gambo kama akili zimeanza kumrudia.
Uko simiyu mtaa ganiKwani Simiyu sisi tumekuambia hatuhitaji RC bora?
Hii kauli nimeshangaa sana
Sio viti sema MAKOCHIDar kuna RC mtetezi wa wanyonge ambae kwa mapenzi yake amewaletea walimu wa Dar viti na meza kutoka Unyamwezini.
Au watakuwa ma RC wawili Dar?
Na amewashushia heshima sana.Inaonyeaha nikwajinsi gani wasaidizi wake hawatampa ushauri tena, uwe wa kweli au uwongo. Kwasababu anawasema hadharani kwamba wanamdanganya, au kwa maana ingine ni kwamba hasikilizi ushauri, wanajisumbua wanaomshauri
Na mkimleta dar TU ndo mtajua kuwa kwel HAFAIZiara ya Mheshimiwa Rais John P Magufuli kwa mikoa ya kanda ya ziwa inaibua vitu ambavyo vingine tulikua hatuvijui, moja wapo ni pamoja na hili la RC wa Simiyu Mheshimiwa MTAKA kuwa ndie RC BORA kwa sasa kwenye wateule wake wote waliopewa mikoa.
Kwa wasiomfahamu RC Mtaka ndiye aliewakataza watendaji wake kuweka watu ndani 'ovyo ovyo' badala yake wawaelimishe, Kitu ambacho watu walianza kusema kuwa hio sio kauli nzuri kwa utawala huu sasa leo Rais kathibitisha kuwa Mtaka ndiye RC BORA kuliko wote kwa mujibu wa taarifa zake ambazo anapatiwa, Hii inaashiria tumtegemee kwenye jiji hili lenye changamoto mbalimbali hivi punde?? Bado najiuliza.!!! Lakini niliwahi kupewa uzi na mtu 'Nyeti' kuwa miongoni mwa watu wanaoeleweka na mzee ni huyo Mtaka..! TUJIPE MUDA TU.
Mchumi Halisi
Sept 08 2018
Yuko vizuri toka akiwa DC Mvomero district, Morogoro.Tukumbuke tu RAS wake alikuwa katibu mkuu Tamisemi kama sijakosea.Na RAS yuko vizuri mno shida ya Mtaka ni ile ile ya vijana wengi waliopewa madaraka.
This explains why baada ya kumtumbua Diwani amegundua walimwingiza chaka sasa kaamua kumpa ukurugenzi TAKUKURU.Cjamtuhumu, itakuwa hukusikiliza hotuba ya mheshimiwa. Alitamka kuwa alivyotoa jina la mtaka kwenye uteuzi, vyombo vyake vya ushauri ndani ya taasisi ya state house walimshauri kuwa jamaa hafai hata kupewa u DC ila jamaa akaforce kumpa u RC. Chaajabu yule mtu aliyeonekana na vyombo vya kumshauri rais kuwa hafaa leo ndio the best DC. Hii ina maana gani? Ni kuwa source of information ya taasisi ilipeleka ushauri wa majungu ili kuweza kumuaribia jamaa.
Majungu ndio shida kuu.huwa wana majungu wale..jk alishalalamika kuna mtu alimtumbua..kumbe yalikua majungu tu
Kuna faida kwa alichokifanya.....wasaidizi ni kazi kwa ofisi yake lazima wa recommend...hivyo next time hawatakuja tena na majungu......wataweka fact mezani.Inaonyeaha nikwajinsi gani wasaidizi wake hawatampa ushauri tena, uwe wa kweli au uwongo. Kwasababu anawasema hadharani kwamba wanamdanganya, au kwa maana ingine ni kwamba hasikilizi ushauri, wanajisumbua wanaomshauri
Msitake kuharibu cv yake bakini na RC wenu hukohukoDar kuna RC mtetezi wa wanyonge ambae kwa mapenzi yake amewaletea walimu wa Dar viti na meza kutoka Unyamwezini.
Au watakuwa ma RC wawili Dar?
Alifanya nini Tamisemi..kwnz hiyo ni demotion toka katibu mkuu hadi katibu tawala..Mtaka mwenyewe ndio driver wa success hiyo..Tukumbuke tu RAS wake alikuwa katibu mkuu Tamisemi kama sijakosea.Na RAS yuko vizuri mno shida ya Mtaka ni ile ile ya vijana wengi waliopewa madaraka.