Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kujitenga na siasa siasa nisehem yamaisha yako chochote unachokifanya nisiasaWacha mimi niendelee tu kumuamini Mwenyezi Mungu, badala ya Wanansiasa.
Hata kama ni la mizigo tofauti haiwezi kuwa mara mia mbili. Tuletee basi bei ya behewa moja la abiria la umeme ni pesa ngapi hapa duniani?Sasa ndugu unaona ni sawa kulinginisha bei ya behewa la mzigo na la abiria? Bei ya basi inaweza kuwa sawa na bei ya tela la roli?
Sikiliza kwa makini utaelewa tu Rais Samia Suluhu yupo sahihi na uyo alita ufafanuzi ametafasili vizuri acha kukaza ubongo
mama ana operation ya kupunguza chawaWanajichanganya wenyewe
Mkubwa, kwa namna yoyote behewa la mzigo haliwezi kuwa na gharama sawa na la abiria, behewa la mzigo ni box tupu, la abiria limewekewa zaga nyingi za kumfanya abiria awe comfortable, mf mfumo wa umeme, Ac, maji, viti, vyoo nkHata kama ni la mizigo tofauti haiwezi kuwa mara mia mbili. Tuletee basi bei ya behewa moja la abiria la umeme ni pesa ngapi hapa duniani?
Haa kipindi cha mwendazake zito kila wakati alikuwa anamsagia kunguni magu kuwa amenunua terrible tween .leo zito yupo kimya kama vile amna kilichotokeaYule muhehe mtani wangu ,anasema ni mapya kabisa alafu ni ya ghorofa,,,
Anaongea huku akiwafokea watanzania waache upotoshaji,,
Sisi kosa letu ni nini ?
Wanaongea wenyewe wanakanusha wenyewe ...bunge lipo kimya hata wawakirishi wetu wanaokula kodi zetu bungeni ,,,awatupi majibu ya kueleweka...
Sheria iliyopitishwa na bunge ..ni marufuku serikali kununua vitu used...
Kwa ili sijui hata tusemeje......
kwa iyo kama wote ni Waongo, yatakua mabehewa ya aina gani ayo mkuu?
Sisi wenyew vijana wa mboga mboga tunashindwa tushike lipi mkuu, yaan tupo kweny mtihan sana. Tunayumbayumba kwaujumla hatuelew mkuu!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatari sanaCCM kwao kusema uongo ni suna
Wametoa ufafanuzi. Ni kwamba order ya used ilichelewa wakaleta vipya kwanza...
Dah!Wacha mimi niendelee tu kumuamini Mwenyezi Mungu, badala ya Wanasiasa.
Tatizo ni wanasiasasijui watanzania tuna laana gani yaani kila jambo lazima liwe na mkanganyiko.
Haya mkamuulize Rais chanzo chake ni kipi!??