spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Palliative care sio kukumaliza mkuu ni huduma wanakupa kulegeza ukali wa maradhi ulonayo kwa kua hayo maradhi yankua sio curable ili kuattain peaceful death ila hatuinduce kifo hataInasemekana Ipo hata bongo wanafanya japo wanaipunguza makali raia wasijisikie vibaya. Inaitwa palliative care
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app