Tumuombee sana Profesa J

Tumuombee sana Profesa J

Mint zipo aina nyingi ni mint ipi hiyo
.
images%20(2).jpg
 
mojawapo ya chakula nisichopenda kukila tangu nijaribu kuwa mkulima nikagundua namna linavyowekwa mbolea na kemikali na dawa, nikiliona sokoni hadi huwa nawaonea huruma. mnakula kemikali tu. walau kidogo nyanya kwasababu unamenya, ila tango na tikitimaji za kibongo, labda ulime mwenyewe, la sivyo zinakuzwa kwa madawa na mnakula madawa tu pale ambayo yanaweza kusababisha kansa. ujiulize kwaninikansa ni magonjwa ya mjini tu ambako vyakula hivyo vinauzwa (kijijini kununua tikiti au tango ni anasa ambayo hutakiwi kusikika ukiifanya), mjini ndo hasara zake.
Kansa haiangalii wewe wa mjini au kijijini..na mpaka leo haijulikani inaanzaje anzaje...hadi kuna wazungu wanasema ni bad luck...haiangalii hata umri..na zipo aina nyingi.. nimepoteza ndugu wa karibu wawili to cancer na walikuwa wanaishi a clean lifestyle
 
Pamoja na mint. Mimi nimeipanda napoishi. Si unajua wahaya tunajua sana dawa.
Karandarugo inatengenezwaje?

Ila kweli kuna workmate mmoja alikuwa na tatizo la kuvimba knuckles za vidole, viwiko na magoti...maza mmoja wa kihaya anatuleteaga msosi kijiweni akamuambia atakua ana mtengenezea chai ya majani ya mparachichi itamasaidia...na kweli aliimprove sana..ila unakuwa kama dawasa maana sio kwa show zile za toilet (haja ndogo)
 
Kuna nyimbo zaidi ya tatu nimemsikia Jay wa Mitulinga akisema "mshazusha sana kua nimeathirika",Jay Ana miwaya..pia kalapina kwenye ngoma yake beef akisema Jay kaungua..najua yote sanaa tu,mwamba atapona tunamuombea...
ARV inakula Figo balaa
IMG_20220210_201713.jpg
Mwamba inaonekana mitungi sana tena vitu vikali vikali,cheki lipsi hizo.
 
Ulaji wa mavyakula ya hovyo, kuna vijana wengi sana mtaani ambao siku haiwezi kupita bila kunywa soda mbili au tatu, yaani kwa mwezi anakuwa amekunywa soda 60-90 huku maji akinywa glass moja au mbili kwa siku. Kwa huu ulaji hâta uwe na mwili gani huwezi kutoboa.

Kinachowauwa vijana wengi ni ulimbukeni.
Acha watu wale watakavyo.kwani wewe hutokufa?
 
Acha watu wale watakavyo.kwani wewe hutokufa?
Nimejibu swali kulingana na nikivyoulizwa, hakuna sehemu niliyokuzuia kula mataputapu unayokula, najua kaisa hiyo ndiyo kula ya mafukara.
 
Kansa haiangalii wewe wa mjini au kijijini..na mpaka leo haijulikani inaanzaje anzaje...hadi kuna wazungu wanasema ni bad luck...haiangalii hata umri..na zipo aina nyingi.. nimepoteza ndugu wa karibu wawili to cancer na walikuwa wanaishi a clean lifestyle
Maskini na Tajiri wote wanachakatwa.
Namuomba Mungu sana huu ugonjwa usirudi tena kwenye familia yangu.
 
Ushalima mazao yote?Halafu kumbuka ushauri wa kula matango ulitolewa na daktari.

Basi tufanye sawa je tufanye nini ili tusafishe figo zetu manake kila siku tunakula vyakula vilivyo puliziwa dawa.
Achana naye huyo mwishoe atakwambia usishiriki maana kuna STDs
 
"Seed Oil" kama alizeti na mafuta mengi ya kupikia ni sumu na hatari sana kwa mwili kuliko wengi wanavyoelewa. Mafuta ambayo ni safe hadi sasa kwa mujibu wa wataalamu wa Lishe ni Olive Oil na Ghee/Samli Ukishindwa hayo gonga chukuchuku tuu.
Watu bwana! Aya bwana
 
Nimejibu swali kulingana na nikivyoulizwa, hakuna sehemu niliyokuzuia kula mataputapu unayokula, najua kaisa hiyo ndiyo kula ya mafukara.
Duh, mbona ni Kama unelekea kukufuru Kama mfalme betshaza!?
 
Figo??! Yesu ingilia kati jmn
Wakuingilia kati ni Yesu au ni Mungu aliyemuumba Yesu na aliyemuumba huyo Prof. J? Maana nijuavyo mimi huyo Yesu mwenyewe anamuomba Mungu. Mimi nasema, eeh Mungu uliyemuumba Yesu, Maria, Muhammad, mimi na Prof. J; muokoe mja wako toka ktk hali ngumu ya maradhi aliyonayo kama ulivyomuokoa mja na nabii wako Yunus toka ktk mdomo wa samaki Chewa. Hakika hakuna lenye kukushinda wewe Muumba mbingu, ardhi na vyote vya duniani na kila mahali. Hakuna anayestahili kuombwa kwa haki isipokuwa wewe pekee usiye na mshirika. Amen
 
Duh, mbona ni Kama unelekea kukufuru Kama mfalme betshaza!?
Mkuu kuna watu wengine wapo humu ili kuwatafutia watu madhambi bure tu.

Kuna mdau mmoja huko juu aliniuliza swala kistaarabu tu kwamba, kwanini ugonjwa wa figo umezidi sana sikuiz??

Nikamjibu kistaarabu kabisa juu ya aina ya chakula vinavyofanya figo zilemewe, kisha anakuja mtu from nowhere tu anadakia eti "Acha watu wale wanavyotaka, wewe inakuhusu nini au we hutakufa"

Sinaga uvumilivu kwa watu wasiokuwa wastaarabu, yes nimemjibu aendelee kula mataputapu anayokula.
 
Michango imefikia 22M ikiwa ni juu ya lengo(20M)
Hali ya mwanetu bado haijakaa sawa.
Siku yoyote atakwea pipa kwenda Ng'ambo kwa matibabu zaidi.
Sala na dua zetu muhimu sana kwa Niga J.
03772C52-CCA2-46DD-8AB6-2A20D475E1CC.jpeg
 
Michango imefikia 22M ikiwa ni juu ya lengo(20M)
Hali ya mwanetu bado haijakaa sawa.
Siku yoyote atakwea pipa kwenda Ng'ambo kwa matibabu zaidi.
Sala na dua zetu muhimu sana kwa Niga J.
View attachment 2118375

Kwani michango bado inaendelea? Serikali si imesema itagharamia kila kitu?
Halafu Ugonjwa gani unamsumbua mshikaji?
 
Back
Top Bottom