Trump analalamika kuwa ni kama kuna namna fulani anataka kudhulumiwa kura. Sasa jiulize kwa teknolojia yao na ubobezi kwenye mambo ya kupiga kura, malalamiko haya yanatoa somo gani !?
![]()
Trump bid to stop vote counting ‘outrageous’ & ‘unprecedented’ – Biden camp
Donald Trump’s promise to shut down the presidential vote count was a “naked effort” to strip Americans of their democratic rights, Joe Biden’s campaign manager has said.www.rt.com
..Trump ambaye ni Raisi aliyeko madarakani analalamika.
..anadai atakwenda kushitaki ktk mahakama kuu ya Marekani.
..sasa unajiuliza, kwanini hatumii vyombo vya DOLA wakati yeye ni Amiri Jeshi Mkuu?
..tatizo la hapa kwetu malalamiko ni ya upande mmoja tu, wakati upande mwingine ukichekelea na kufurahi siku zote.
cc tindo