Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Nakula Balimi Extra Lager imhotepSegese - kanda pendwa? Hii bagosha umetuliza mnyeo.
Hongera!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakula Balimi Extra Lager imhotepSegese - kanda pendwa? Hii bagosha umetuliza mnyeo.
Hongera!
Sitaki kusema mengi ila hii deomokrasia ya Marekani ni kiwango cha juu sana.
Ila yote kwa yote hakuna jambo muhimu kama kuheshimu mawazo ya watu 12M...
Yaani mtu anashinda kwa kura mil 12+ alafu unaniletea upumbavu?Mpumbavu si wewe wa mawingu? Kwani mara hii tu umesahau mpumbavu ni nani tena?
Yaani mtu anashinda kwa kura mil 12+ alafu unaniletea upumbavu?
Kwa nini wewe hukuiba? Basi wewe utakuwa zezeta!!Kwa kura mil 12+ za wizi ndio zinakujaza upumbavu huo wa mawingu?
Pumbavu wewe, mliibiwa wapi?Kwa kura mil 12+ za wizi ndio zinakujaza upumbavu huo wa mawingu?
Kwa nini wewe hukuiba? Basi wewe utakuwa zezeta!!
Pumbavu wewe, mliibiwa wapi?
Nakuomba ulale huo mnyeo upumue kesho ushuhudie Chuma kinaapishwa.Mpumbavu ni wewe jombi. Unajifanya kutojua mlikokwiba?
Nakuomba ulale huo mnyeo upumue kesho ushuhudie Chuma kinaapishwa.
So what?Una akili ndogo sana bwana mawingu not worth for even a kindergarten debate.
Lala uupumzishe jombi. Huna lolote.
Matokeo ya uchaguzi wetu yalitoka mapema zaidi kuliko yao; wanachelewesha kutoa matokeo sijui wanataka kuchakachua [emoji23][emoji23][emoji23]
Slavery Mentality!!
Naambiwa hili linakufaa zaidi - Lalaga!So what?
Mkuu, mbona hawajatangaza mshindi mpaka sasa? Kwenye uchaguzi wa mwaka 2000 walichakachua, kwa hiyo haitashangaza wakichakachua tena!Kwa nini yanachelewa na yanaendelea je dak kwa dak yako online.
Labda kama unataka wake kujifunza yale mambo yetu kwa dk. manoti.