jinola hamza
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 657
- 441
I wish balozi wa Tanzania uko Washington awambiye wasijaribu kiharibu democracy Na pawe tume huru [emoji3][emoji16][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina uhakika kama huko Marekani zimeshikwa sandarusi pamoja na viroba vya kura fake!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa mkuu,
Bavicha huyu anafikiri ushindi unakuaja tu kama kuomba chips yai kwa muuzaji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa mkuu,
Bavicha huyu anafikiri ushindi unakuaja tu kama kuomba chips yai kwa muuzaji
Mkuu, mbona hawajatangaza mshindi mpaka sasa? Kwenye uchaguzi wa mwaka 2000 walichakachua, kwa hiyo haitashangaza wakichakachua tena!
Eti bonge la zuzu[emoji23][emoji23][emoji23]Hapo Magufuli anamwona Trump boonge la zuzu kulalamika huku yeye ndiye Rais!!
Waafrika tulikosea sana kuwaondoa mapema wakoloni wazungu! Tungewaacha kwanza watusindikize!
Afrika kuta tu jina la rais kama hivi Magufuliiii...wanaona unastahili kunyongwa!
Ila kwa jiwe ndizo real. Kazi kweli kweli.ni magumashi tu
Mabibi na mabwana, elimu haina mwisho. Je, tuna cha kujifunza kutoka kwao waliotutangualia? Au ni yale yale ya ukichwa ngumu kama mawe kuwa tunajua kila kitu?...
Mwaka huu imetokea wamepata Rais "anaeogopa" kuibiwa kura.Mkuu ninayo katiba ya Marekani waliyoiandaa 1789 miaka michache baada ya kupata uhuru wao, katiba ile ni bora na inayotoa majibu mara 100 ziadi ya katiba yetu ya sasa. Cha kujiuliza ilikuaje watu watengeneze katiba 1790 na mpaka sasa wameifanyia marekebisho madogo sana lakini sisi tokea 1977 mpaka leo bado katiba yetu imeacha maswali mengi bila majibu?
Uchaguzi wa kwanza wa Marekani ulikua na matokeo mazuri na ya uwazi zaidi ya uchaguzi wetu wa leo 2020, miaka karibia 60+ tokea tupate uhuru. Je shida ni kua hatujifunzi mazuri kutoka kwa waliotangulia au akili zetu ndiyo finyu?
@TUJITEGEMEETrump analalamika kuwa ni kama kuna namna fulani anataka kudhulumiwa kura. Sasa jiulize kwa teknolojia yao na ubobezi kwenye mambo ya kupiga kura, malalamiko haya yanatoa somo gani !?
![]()
Trump bid to stop vote counting ‘outrageous’ & ‘unprecedented’ – Biden camp
Donald Trump’s promise to shut down the presidential vote count was a “naked effort” to strip Americans of their democratic rights, Joe Biden’s campaign manager has said.www.rt.com
Matokeo ya uchaguzi wetu yalitoka mapema zaidi kuliko yao; wanachelewesha kutoa matokeo sijui wanataka kuchakachua 😂😂😂
Yapo mengi ya kujifunza sisi kama watanzania kwaajili ya chaguzi zijazo:Mabibi na mabwana, elimu haina mwisho. Je, tuna cha kujifunza kutoka kwao waliotutangualia? Au ni yale yale ya ukichwa ngumu kama mawe kuwa tunajua kila kitu?
Mema waliyonayo wamarekani leo hayakuja kama mvua. Yalipiganiwa na hata damu kumwagika. Sembuse kukaa mahabusu au hata kufungwa jela?
Kwani kwao TISS, NEC, ZEC au police wa huko hawapo?
Kweli hatuwezi fanya uchaguzi tukauhitimisha kwa kupongezana? Kwamba hata CUF na hata NCCR nao wanalalamika na bado hatuna sababu za kujiuliza? Dhahiri tutakuwa na matatizo.
Madai ya haki katika chaguzi yanapaswa kuwa yetu sote wakiwamo Magufuli, na hata bwana Kaijage. Nani aijuaye kesho?
Kesho thabiti ni Ile inayotokana na leo thabiti kwa mujibu wa katiba na si vinginevyo.
Yapo mengi ya kujifunza sisi kama watanzania kwaajili ya chaguzi zijazo:
1. Kura za mapema ni halali ili kupunguza mlundikano wa wapiga kura vituoni. Mfano Marekani kura za mapema zilianza Septemba, nasi tujifunze ili makundi maalum kama wazee, wafanyabiashara, walemavu, wanawake, maafisa wa Tume, mawakala wa vyama, wagombea na vyombo vya ulinzi wapige kura mwezi mmoja kabla.
2. Sio kila mpiga kura anapaswa kuamua nani awe Rais. Tumeona kule Marekani, Taifa lenye wapiga Kura zaidi ya Mil. 100, wanaoamua kiti cha URAIS ni watu 58. Hii inaepusha waovu kuwezesha mwovu mwenzao kuingia Ikulu. Huku Tanzania tumewapa watanzania wote haki ya kuamua nani awe RAIS, kwa mtindo huu, mwaka huu Mabeberu na mashoga walitaka kutupandikizia RAIS. Tujifunze kutoka Marekani
Hayo yanatosha kwa sasa
Mkuu:
1. Wengine viroba hubebea maiti au kura za wizi.
2. Wengine huuwa wapinzani wao.
3. Wengine huzima mitandao.
4. Wengine ni mijizi.
5. Wengine wauwaji.
6. Wengine dhulumati.
7. Wengine hawafuati wala kuheshimu kati ba.
8. Wengine ni wabinafsi.
9. Wengine ni waroho wa madaraka.
10. Wengine wakabila.
11. Nk, nk.
Mandela (rip), Nyerere (rip) na hata Kikwette hawakuwa hivyo.
Kwahiyo Trump anazo power kama walizonazo marais wa africa ila hazitumii?..Trump ambaye ni Raisi aliyeko madarakani analalamika.
..anadai atakwenda kushitaki ktk mahakama kuu ya Marekani.
..sasa unajiuliza, kwanini hatumii vyombo vya DOLA wakati yeye ni Amiri Jeshi Mkuu?
..tatizo la hapa kwetu malalamiko ni ya upande mmoja tu, wakati upande mwingine ukichekelea na kufurahi siku zote.
cc tindo