Tuna hatari zaidi kwa Vyombo vya Habari kuliko wakati mwingine...

Mmh bora liende tuu lakn kiukwel kuna jambo haliko sawa
 
Kweli nimeamini Reasoning ya Mtanzania iko chini sana.
 
Kweli nimeamini Reasoning ya Mtanzania iko chini sana.
Wewe ambaye siyo Mtanzania na unayejua ku reason nikuulize; Je chombo chako cha habari kiko wapi?

Acheni kuwajazia nzi watu kwenye biashara zao
 
Siku zote na amini kama hakuna siasa safi katika jamii, hakuna sector itafanya vizuri.

Kuna tofauti kubwa kati ya uandishi wa habari na, uanaharakati.

Unaandika habari, unaanza kusakamwa kuanzia na boss wako, chama mpaka na watu wa suti nyeusi, mara futa, omba radhi usirudie haya yote nani anayataka?

Ndo mqana wengi wameamua kufanya linalo wezekana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…