Tuna P-didy wengi waliojificha kwenye Siasa, Dini, Siasa na taasisi/kampuni rasmi

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
I. Hapa TANZANIA (Tanganyika na Zanzibar) tunao kwa MAELFU ya watu wenye tabia mbovu PENGINE KUMZIDI p.didy (za kuwadhulumu watu wengine kingono).

II. Wengi wa waathirika huishia kunyamaza kimya huku wakiugulia maumivu moyoni.


Sekta zinazoongoza udhalilishaji wa kingono,

1. SIASA - huku huwakumba vijana (Chawa) wanaopenda vyeo kwa njia ya mkato hivyo hukubali kuuza utu wao ili mradi apate uteuzi. Hususani kwenye taasisi za vyama za VIJANA na WANAWAKE.

2. DINI - Wote mnakumbuka kashfa zilizowakumba Mapadri (mfano Padri Kimaro wa Jimbo Kuu Katoliki - Moshi) na waalimu wa Madrasa kule Mafia na kwingineko.

3. SANAA - Vijana wanaotaka kufanikiwa kwenye sanaa (mfano kijana aliyerekodi video ikimuonyesha Dr Kumbuka akivua Kondom kwenye uume wake).

4. Taasisi rasmi (Mashirika na Makampuni) - upatikaanaji wa ajira kwa kigezo cha kutoa rushwa ya ngono. Ipo mifano kadhaa, (graduate) akiwa anashughulikiwa ili apewe kazi ya Bank teller.

NB: Waziri - Maendeleo ya Jamii tafadhali andaa muswada upelekwe bungeni, itungwe sheria kali.

Soma Pia:
 
Madrasa ndo balaa
 
Naunga mkono hoja 100%.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…