M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Vijana mtakufa na UKIMWI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukatili wa Kijinsia kwa sasa ni janga la TaifaI. Hapa TANZANIA (Tanganyika na Zanzibar) tunao kwa MAELFU ya watu wenye tabia mbovu PENGINE KUMZIDI p.didy (za kuwadhulumu watu wengine kingono).
II. Wengi wa waathirika huishia kunyamaza kimya huku wakiugulia maumivu moyoni.
Sekta zinazoongoza udhalilishaji wa kingono,
1. SIASA - huku huwakumba vijana (Chawa) wanaopenda vyeo kwa njia ya mkato hivyo hukubali kuuza utu wao ili mradi apate uteuzi. Hususani kwenye taasisi za vyama za VIJANA na WANAWAKE.
2. DINI - Wote mnakumbuka kashfa zilizowakumba Mapadri (mfano Padri Kimaro wa Jimbo Kuu Katoliki - Moshi) na waalimu wa Madrasa kule Mafia na kwingineko.
3. SANAA - Vijana wanaotaka kufanikiwa kwenye sanaa (mfano kijana aliyerekodi video ikimuonyesha Dr Kumbuka akivua Kondom kwenye uume wake).
4. Taasisi rasmi (Mashirika na Makampuni) - upatikaanaji wa ajira kwa kigezo cha kutoa rushwa ya ngono. Ipo mifano kadhaa, (graduate) akiwa anashughulikiwa ili apewe kazi ya Bank teller.
NB: Waziri - Maendeleo ya Jamii tafadhali andaa muswada upelekwe bungeni, itungwe sheria kali.
Soma Pia:
Aiseeipo video clip Dr Kumbuka akiwa anavua kodom baada ya kumaliza tendo kwa kijana aliyetaka kumsaidia kisanaa
Dogo alipakuliwa baadae akarusha picha Kumbuka akivua ndom
Aisee 😩 😢 🤣🤣🙌Wote waliopitia kwake kawafanyia upididi yule jamaa mshenzi sana.
Kabisa 💯💯📌🤣Didy angekuwa bongo simu Moja tu ya raisi kesi ingezimwa..na kesho kutwa angeendelea na compeni za kumsifu raisi
Taifa la wavaa diapers