Tuna P-didy wengi waliojificha kwenye Siasa, Dini, Siasa na taasisi/kampuni rasmi

Tuna P-didy wengi waliojificha kwenye Siasa, Dini, Siasa na taasisi/kampuni rasmi

Mkuu upo sahihi, lakini chanzo cha tatizo unaloliongolea ni tofauti na DID.

Wewe unaongelea rushwa ya ngono zaidi wakati Ya DID ni masharti ya Kiimani ili ufanikiwe.

DID alikuwa anafanya tafrija za Ijumaa ambapo wadau wanaomini katika imani fulani ukutana kwa lengo la kutoa kafara kwa mungu wao ambapo hufanya matendo ya kumkufuru muumbaji wa binadamu. katika kufanikisha tafrija hizo, waumini walikuwa wanapeleka wafuasi wapya ili kupanua wigo wa wafuasi wa imani yao. Washiriki wapya hususan wale wenye nyota ya mafanikio walikuwa wanauza nafsi zao na kuingiliwa ikiwa ni sharti la kupata mafanikio.

Cha msingi hapo wafuasi wapya walikuwa hawabakwi, bali kwa hiari yao walikuwa wanakubali kutekeleza masharti husika ili kupata mafanikio. Mastar wengi duniani akiwemo mcheza mpira wa Ureno wamepitia kikombe hicho. Ila siyo DID tu ndio wakala wa imani hiyo, wapo wengi katika nchi zote, ila wamezidiana vyeo tu ambapo kadri unavyokufuru zaidi ndio unapata wadhifa. DID sharti lake kuingilia/kuingiliwa, lakini wengine ni kuua ndugu, watoto, na aina mbalimbali za kufuru za kuidhurumu nafsi yako na utu wako. Unauza ubinadamu na kupewa nafsi ya mnyama, na vyote hivyo unafanya kwa hiari yako kwa mdomo wako.

Angalizo ni kuwa mwisho wao huwa mbaya sana, utajiri huwa haurithiki na uteseka na kudhalilika sana kabla kufa.
Hatupaswi kuwa na tamaa iliyopitiliza wala kutamani mafanikio ya mtu ambayo chanzo chake hutukijui. Tamaa hasa ya umaarufu na mali ndio chanzo cha tatizo.

Tujitahidi kuwakwepa wafuasi wa imani hiyo katika harakati za maisha. Miongoni ishara za kuwatambua, Pete ya Kipekee ambayo akipiga picha lazima aionyeshe, Tatoo ya kiumbe hai, kujipa jina la mnyama, kutoboa pua (mwanaume na kike), kutoboa matundu zaidi ya moja masikioni, kutoboa ulimi, kitovu, kope na sehemu za siri na aina mbalimbali kuuharibu mwili ikiwa ni ishara ya kuukosoa uumbaji wa mungu.

changamoto:
Ukiingiliwa au kumuingilia mfuasi wa imani hiyo imekula kwako. ambapo ili kutakasika inabidi utubu kwa mungu muumba binadamu, ukiri adharani makosa yako na ukubali kupoteza kila kitu. Ukiingia kutoka ni ngumu kwani kutengua maagano siyo rahisi utahitajika kulipa gharama kubwa ili mungu akusamehe na kukulinda.

Bila mungu wenyewe hatuwezi, mungu tusaidie.
 
I. Hapa TANZANIA (Tanganyika na Zanzibar) tunao kwa MAELFU ya watu wenye tabia mbovu PENGINE KUMZIDI p.didy (za kuwadhulumu watu wengine kingono).

II. Wengi wa waathirika huishia kunyamaza kimya huku wakiugulia maumivu moyoni.


Sekta zinazoongoza udhalilishaji wa kingono,

1. SIASA - huku huwakumba vijana (Chawa) wanaopenda vyeo kwa njia ya mkato hivyo hukubali kuuza utu wao ili mradi apate uteuzi. Hususani kwenye taasisi za vyama za VIJANA na WANAWAKE.

2. DINI - Wote mnakumbuka kashfa zilizowakumba Mapadri (mfano Padri Kimaro wa Jimbo Kuu Katoliki - Moshi) na waalimu wa Madrasa kule Mafia na kwingineko.

3. SANAA - Vijana wanaotaka kufanikiwa kwenye sanaa (mfano kijana aliyerekodi video ikimuonyesha Dr Kumbuka akivua Kondom kwenye uume wake).

4. Taasisi rasmi (Mashirika na Makampuni) - upatikaanaji wa ajira kwa kigezo cha kutoa rushwa ya ngono. Ipo mifano kadhaa, (graduate) akiwa anashughulikiwa ili apewe kazi ya Bank teller.

NB: Waziri - Maendeleo ya Jamii tafadhali andaa muswada upelekwe bungeni, itungwe sheria kali.

Soma Pia:
Katiba Mpya
 
P didy wameharibu Sana vijana bongo movie na bongo flavour
Pale Dom kulikuwa na Mwamba ambaye kila wiki lazima apate kijana mmoja ambaye ajawahi pigwa.
Hivyo ikifika siku ya kutekeleza hilo sharti alikuwa anahaha kwenye vijiwe vya badoboda kutafuta mali mpya.
Dau 2m
ameharibu sana vijana hapo jijini.

Kariakoo alikuwepo mhindi/mmanga tajiri. Yeye kila wiki lazima aingiliwe na akisha fanywa na mtu huwa hamrudii, wiki inayofuata anatafuta mali mpya. Mtego wa jamaa ilikuwa ni kukodi uber then anambembeleleza dereva kwa dau ha 5m. ameliwa sana na watu wa uber town.

Madhara:
Ukimla/ukiliwa na mdau wa masharti haya imekula kwako. hela anazokupa haununui hata Tshirt na mabalaa yatakuandama.

Mungu atusaidie vijana wetu wasiwe na tamaa ya utajiri wa ngekewa.

Bila mungu hatuwezi kushinda.
 
I. Hapa TANZANIA (Tanganyika na Zanzibar) tunao kwa MAELFU ya watu wenye tabia mbovu PENGINE KUMZIDI p.didy (za kuwadhulumu watu wengine kingono).

II. Wengi wa waathirika huishia kunyamaza kimya huku wakiugulia maumivu moyoni.


Sekta zinazoongoza udhalilishaji wa kingono,

1. SIASA - huku huwakumba vijana (Chawa) wanaopenda vyeo kwa njia ya mkato hivyo hukubali kuuza utu wao ili mradi apate uteuzi. Hususani kwenye taasisi za vyama za VIJANA na WANAWAKE.

2. DINI - Wote mnakumbuka kashfa zilizowakumba Mapadri (mfano Padri Kimaro wa Jimbo Kuu Katoliki - Moshi) na waalimu wa Madrasa kule Mafia na kwingineko.

3. SANAA - Vijana wanaotaka kufanikiwa kwenye sanaa (mfano kijana aliyerekodi video ikimuonyesha Dr Kumbuka akivua Kondom kwenye uume wake).

4. Taasisi rasmi (Mashirika na Makampuni) - upatikaanaji wa ajira kwa kigezo cha kutoa rushwa ya ngono. Ipo mifano kadhaa, (graduate) akiwa anashughulikiwa ili apewe kazi ya Bank teller.

NB: Waziri - Maendeleo ya Jamii tafadhali andaa muswada upelekwe bungeni, itungwe sheria kali.

Soma Pia:

Correct
 
Back
Top Bottom