Tunachimba visima vya maji popote Tanzania

Gharama ya topographical survey ni kiasi gani?
Hizi gharama pia inategemea mashine ya kufanyia vipimo inatoka wapi, kwa kuwa kampuni nyingi zipo DSM inapelekea gharama kuwa kubwa kwa mikoani.
Kwa range ya harakaharaka DSM ni 300k- 400k, Pwani 400k- 500k, Tanga,Moro ,Dodoma 600k - 900k,
Kwa ujumla kadili unavyozid kwenda upcountry ndivyo gharama inazidi ila hii gharama unaweza kuipunguza ikiwa tu mkoa uliopo kuna kampuni inatoa hii service, au kuvizia au kukutana na kampuni imepata tenda mkoani then unawadandia wapitie na kwako, watakufanyia kwa bei nafuu zaidi
 
Gharama za upimaji kwa maeneo/mikoa mbalimbali kwa kutumia mashine ya kisasa inayoweza kutambua wingi,aina ya maji( maji chumvi au maji baridi), kina (Mita) na mikondo ya maji iliyopo ni kama ifuatavyo;
1.DSM 600,000
2.Morogoro 800,000.
3.Dodoma 1,000,000,
4.Singida 1,200,000.
5.Mikoa mingine Maelewano,
Mawasiliano 0744572145
 
Jamaa wanachimba visima Geita wanapata maji wanayakuta ndani ya mita 60 sijui yatadumu?
 
Jamaa wanachimba visima Geita wanapata maji wanayakuta ndani ya mita 60 sijui yatadumu?
Wanatumia mashine gani, ukipata fursa ya kupiga picha ,tupia hapa tutajua kama wanachimba deep au shallow water, !!
 
Reactions: Ok9
Sprinklers kwa shughuri ya umwagiliaji mashambani,bustani, n.k. zinapatikana.
Size mbalimbali kuanzia inch 3/4 na kuendelea.
Angali specifications, weka request, free derivery kuanzia pc 10.
0699494650
Kariakoo-DSM
  • 3/4'’. Inamwagilia mzunguko wa mita 24, hutoa maji ujazo wa 2-3 cubic/hr
  • 1" Inamwagilia mzunguko wa mita 30 , hutoa maji ujazo wa 4-5 cubic/hr
  • 1.5" Inamwagila mzunguko wa mita 45- 60, hutoa maji ujazo wa 7-8 cubic/hr.
  • 2" inamwagilia mzunguko wa mita 60-100, hutoa maji ujazo wa ujazo wa 14-15 cubic/hr
UPDATE YA BEI
Post #12
 
Lamination machine for sale, in good condition.
50,000/=
0759600809
Dsm
 
Weka bei sheikh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…