Tunachimba visima vya maji popote Tanzania


Mimi nipo Dar Survey ni 200,000 tu!

Bila shaka mikoa hiyo uliyoitaja ni uongo pia!

Hatari sana![emoji849]
 
Milion Kam sab kwa mitambo
Pia kama mtu hana pesa kwa wakati mmoja, anaweza kununua materials kidogo kidogo, taratibu kisha akishakamilisha materials anabakiwa na swala la uchimbaji tu,..
 
Nashindwa elewa, hivi kama bei ndio hizi kwanini miradi ya serikali unakuta bei ni kuanzia 50mil to 200mil?
 
Maji yapatikana mkuu hata kama kuna miamba vipi, kikubwa ni kufanya survey kujua yapo kwenye kina gani?
Sawa sawa ningependa kujua surgery ni bei gani hasa kwa huku wilayani sengerema mwanza...?
 
Nashindwa elewa, hivi kama bei ndio hizi kwanini miradi ya serikali unakuta bei ni kuanzia 50mil to 200mil?
Moja ya mambo yanayochangia bei ya miradi ya serikali kuwa kubwa ni kawaida walioijenga watumishi kwa kuchelewesha malipo sasa unakuta mzabuni anapiga hesabu hadi za delay za malipo ndio unakuta bidhaa ya elfu 50 anaandika laki 2.....
 
Mtoa mada ungeweza fanya biashara sana kama ungekuwa muwazi kwenye bei, dunia ya leo wateja wakishaona unaficha ficha bei wanakukimbia ata first instance.

Weka bei na sifa za bidhaa yako, utaona unapata leads nyingi zinazoishia kuwa customers. Yani lead unayopata sio ya mtu anayetaka kujua bei, bali ni ya mtu aliyeona bei ya bidhaa zako, akaridhika nayo, sasa anakufuata akiwa asha ridhika na bei.

Kuna ugumu gani ukifanya kama hivi
Sprinkler 3/4"
1. Material1 Bei xxxx Coverage xMeters
2. Material2 Bei xxxx Coverage xMeters
3. Material3 Bei xxxx Coverage xMeters
Hapa chini unaweza tumia nafasi kulinganisha hizo bidhaa kiubora kiufupi sana.

Sprinkler 1"
1. Material1 Bei xxxx Coverage xMeters
2. Material2 Bei xxxx Coverage xMeters
3. Material3 Bei xxxx Coverage xMeters

Sprinkler 1.5"
1. Material1 Bei xxxx Coverage xMeters
2. Material2 Bei xxxx Coverage xMeters
3. Material3 Bei xxxx Coverage xMeters

Sprinkler 2"
1. Material1 Bei xxxx Coverage xMeters
2. Material2 Bei xxxx Coverage xMeters
3. Material3 Bei xxxx Coverage xMeters

Sprinkler 2.5"
1. Material1 Bei xxxx Coverage xMeters
2. Material2 Bei xxxx Coverage xMeters
3. Material3 Bei xxxx Coverage xMeters

Umepata nafasi ya bure ya kutangaza jf. Basi tumia nafasi vizuri.
 
Naomba kujuwa garama za uchimbaji kisima naishi dar es salaam ilala kitunda
 
Hizi bei kwa kwa kila mita moja?
 
Hilo neno .. TUBAHATISHE.. ndo linabeba utaalamu wote. WHat if umebahatisha halafu hujapata maji, utalipa gharana za kuchimba?
 
Naomba kujuwa garama za uchimbaji kisima naishi dar es salaam ilala kitunda
Mita moja inachimbwa kwa elfu 60 , na kujua uchimbe mita ngapi inabidi ufanye underground water survey ,gharama yake ni 200,000/=
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…