Rose Of Africa
JF-Expert Member
- Apr 27, 2020
- 228
- 96
Gharama za upimaji kwa maeneo/mikoa mbalimbali kwa kutumia mashine ya kisasa inayoweza kutambua wingi,aina ya maji( maji chumvi au maji baridi), kina (Mita) na mikondo ya maji iliyopo ni kama ifuatavyo;
1.DSM 600,000
2.Morogoro 800,000.
3.Dodoma 1,000,000,
4.Singida 1,200,000.
5.Mikoa mingine Maelewano,
Mawasiliano 0744572145
Pia kama mtu hana pesa kwa wakati mmoja, anaweza kununua materials kidogo kidogo, taratibu kisha akishakamilisha materials anabakiwa na swala la uchimbaji tu,..Milion Kam sab kwa mitambo
Nashindwa elewa, hivi kama bei ndio hizi kwanini miradi ya serikali unakuta bei ni kuanzia 50mil to 200mil?Hizi gharama pia inategemea mashine ya kufanyia vipimo inatoka wapi, kwa kuwa kampuni nyingi zipo DSM inapelekea gharama kuwa kubwa kwa mikoani.
Kwa range ya harakaharaka DSM ni 300k- 400k, Pwani 400k- 500k, Tanga,Moro ,Dodoma 600k - 900k,
Kwa ujumla kadili unavyozid kwenda upcountry ndivyo gharama inazidi ila hii gharama unaweza kuipunguza ikiwa tu mkoa uliopo kuna kampuni inatoa hii service, au kuvizia au kukutana na kampuni imepata tenda mkoani then unawadandia wapitie na kwako, watakufanyia kwa bei nafuu zaidi
Sawa sawa ningependa kujua surgery ni bei gani hasa kwa huku wilayani sengerema mwanza...?Maji yapatikana mkuu hata kama kuna miamba vipi, kikubwa ni kufanya survey kujua yapo kwenye kina gani?
Moja ya mambo yanayochangia bei ya miradi ya serikali kuwa kubwa ni kawaida walioijenga watumishi kwa kuchelewesha malipo sasa unakuta mzabuni anapiga hesabu hadi za delay za malipo ndio unakuta bidhaa ya elfu 50 anaandika laki 2.....Nashindwa elewa, hivi kama bei ndio hizi kwanini miradi ya serikali unakuta bei ni kuanzia 50mil to 200mil?
Maeneo ya Dalun, survey na kuchimba kisima bei gani?#Tanga leo tena na kesho
500,000Survey mnafanya bei gani?
Maeneo ya Dalun, survey na kuchimba kisima bei gani?
Hizi bei kwa kwa kila mita moja?Inategema na mkoa unaotaka kisima kichimbwa, ila kwa takwimu za DSM, bei inarange 50k to 75k inategemea na kampuni na urefu wa kisima.
Kwa Pwani inarange 80k - 100k, onategemea na kampuni na urefu wa kisima pia. Kwa mikoani ya bara mara nyingi 120k - 200k inategemea na umbali, kampuni husika na urefu wa kisima.
Hizo bei ni kwa mita moja,
Hilo neno .. TUBAHATISHE.. ndo linabeba utaalamu wote. WHat if umebahatisha halafu hujapata maji, utalipa gharana za kuchimba?Kwa ujanja wa bongo hapa napo unaaweza kuangishiwa kitu kizito yaani laki 6 kupima, anakuja anazunguka zunguka saiti baadae anakwambia tayari nimepima kuna maji au hakuna maji anaodoka na laki 6. Baada ya hapo wakati wa kuchimba unakuja unachimba mpaka futi elfu 10 ndo unakutana na maji. Si bora waje waanze kuchimba tubaatishe tu hivo hivo. Hii ni sawa na wakati simu zimeanza kuingia nchini miaka ya 90+ simu ikiharibika unapeleka kwa fundi anakwambia kucheki tu elfu 5 na uko kucheki ni kufungua tu kisha anafunga na raba bendi alafu unaacha elfu tano. Haahahahahaaaaa
Mita moja inachimbwa kwa elfu 60 , na kujua uchimbe mita ngapi inabidi ufanye underground water survey ,gharama yake ni 200,000/=Naomba kujuwa garama za uchimbaji kisima naishi dar es salaam ilala kitunda
Unamshika pabaya aisee![emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nipo Dar Survey ni 200,000 tu!
Bila shaka mikoa hiyo uliyoitaja ni uongo pia!
Hatari sana![emoji849]
Unataka kuchimba kisima cha mkono au mashine, na unachimbia mkoa gani?Naomba kujua gharama za uchimbaji km kina ni meter 10.