Rose Of Africa
JF-Expert Member
- Apr 27, 2020
- 228
- 96
Gharama za upimaji kwa maeneo/mikoa mbalimbali kwa kutumia mashine ya kisasa inayoweza kutambua wingi,aina ya maji( maji chumvi au maji baridi), kina (Mita) na mikondo ya maji iliyopo ni kama ifuatavyo;
1.DSM 600,000
2.Morogoro 800,000.
3.Dodoma 1,000,000,
4.Singida 1,200,000.
5.Mikoa mingine Maelewano,
Mawasiliano 0744572145
Mimi nipo Dar Survey ni 200,000 tu!
Bila shaka mikoa hiyo uliyoitaja ni uongo pia!
Hatari sana![emoji849]