Hivi uliwaza nini kujiita mbususuaisee! mkitibuliwe mbususu hamtoi au siyo.
Bila kusahau shanga za kiunoniLazima hili litakua tatizo la kiroho, tazama kwa jicho hilo.
Pia kuna Janga hili.
Mawigi/nywele bandia.
Mafuta au lotion Za kisasa..
Ni chanzo kikubwa shetani hutumia kuharbu ndoa za watu kwa kuwafanya wanawake kupoteza joto na hali asili ya uke.
Mafuta paka Coconut Oil tu.
Aiseee!Hivi uliwaza nini kujiita mbususu
Peaneni nafasi, have time for yourself and explore your body, may be it has something to do with your mind, unahitaji kuwaza mambo mengine rather than the existing problem, badilisha hata mazingira ikiwezekana na aina ya mind refreshing activities mazoezi kidogo ya kufanya mwili uwe active, jipe miezi kadhaa bila kuwasiliana au kuwa nae karibu, itakusaidia kujua kama kweli unampenda or if you real need him as a husband, itakusaidia kujua pia hisia zako zipoje kwake then you can make a right choice kabla ya kuingia ndoaniHabari.
Mimi na mpenzi wangu tumekuwa kwenye mahusiano kwa muda wa miaka mitano kama boyfriend na girlfriend (sio uchumba).
Nikiri kwamba tumekuwa na kutokuelewana kama ilivyo kawaida ya mahusiano lakini tupo vizuri kuhakikisha tatizo lolote linatatuliwa kwa wakati na kuhakikisha mawasiliano hayapotei. Pia tumekuwa na nyakati za furaha.
Tatizo lililopo ni kwamba nimepoteza kabisa hisia za kimapenzi kwa huyu mpenzi wangu ambaye tunategemea kupiga hatua mpya ya mahusiano yetu kuelekea kwenye ndoa.
Nikiwa nae sihisi chochote kabisa, ni kama nipo na mtu ambaye ni jinsia yangu, akinigusa sihisi chochote tena hata kwenye suala zima la sex imefika wakati hadi tutumie lubricants au wakati mwingine tuangalie video za wakubwa to get wet (hii aliipendekeza yeye nilikuwa siangalii kabla ya tatizo). Hili tatizo halikuwa mwanzoni, limetokea miezi kadhaa sasa.
Napata wakati mgumu sana ukizingatia tunaelekea kuwa mwili mmoja. Nimejaribu njia mbalimbali za kutatua hili tatizo ikiwa ni pamoja na kushirikisha wataalamu lakini tatizo bado lipo.
Pia nimemshirikisha yeye ila yeye anahisi nitakuwa na tatizo la uke kuwa mkavu, kitu ambacho nina uhakika sina.
Wanajukwaa naombeni ushauri wenu juu ya kutatua tatizo hili.
Okay. I will try not to.Don't be too judgemental
Ndoa ina mambo mnapendana mapenzi yanakuwa moto kama 1-2 yrs hivi badaye manachokana hata game mnaweza piga Mara 1 ndani ya wiki 2,basis ndio maasha yanaendelea hivyo hivyo kinachobaki ni kila moja kutimiza jukumu lake Baba anakuwa Baba na Mama anakuwa Mama maisha yanaendelea mwisho mnasubiri kuzikana.Nadhani wengi wenu hamko kwenye ndoa ndo maana mnashauri hivyo.
Kuchokana kupo hata kwenye ndoa hiyo ndo asili ya binadamu.
Hata akipata mwingine mwenye hisia naye itafika muda zitaisha tu.
Ndoa ina mambo mnapendana mapenzi yanakuwa moto kama 1-2 yrs hivi badaye manachokana hata game mnaweza piga Mara 1 ndani ya wiki 2,basis ndio maasha yanaendelea hivyo hivyo kinachobaki ni kila moja kutimiza jukumu lake Baba anakuwa Baba na Mama anakuwa Mama maisha yanaendelea mwisho mnasubiri kuzikana.
Na historia ya mapenzi yenu inakuwa imeishia hapo.
I don't for real.
But am hoping not.
Kule unga wa mbegu za maboga.... Kama routine yako unapopata kinywaji Cha Moto. Utapata mabadiliko positively.Habari.
Mimi na mpenzi wangu tumekuwa kwenye mahusiano kwa muda wa miaka mitano kama boyfriend na girlfriend (sio uchumba).
Nikiri kwamba tumekuwa na kutokuelewana kama ilivyo kawaida ya mahusiano lakini tupo vizuri kuhakikisha tatizo lolote linatatuliwa kwa wakati na kuhakikisha mawasiliano hayapotei. Pia tumekuwa na nyakati za furaha.
Tatizo lililopo ni kwamba nimepoteza kabisa hisia za kimapenzi kwa huyu mpenzi wangu ambaye tunategemea kupiga hatua mpya ya mahusiano yetu kuelekea kwenye ndoa.
Nikiwa nae sihisi chochote kabisa, ni kama nipo na mtu ambaye ni jinsia yangu, akinigusa sihisi chochote tena hata kwenye suala zima la sex imefika wakati hadi tutumie lubricants au wakati mwingine tuangalie video za wakubwa to get wet (hii aliipendekeza yeye nilikuwa siangalii kabla ya tatizo). Hili tatizo halikuwa mwanzoni, limetokea miezi kadhaa sasa.
Napata wakati mgumu sana ukizingatia tunaelekea kuwa mwili mmoja. Nimejaribu njia mbalimbali za kutatua hili tatizo ikiwa ni pamoja na kushirikisha wataalamu lakini tatizo bado lipo.
Pia nimemshirikisha yeye ila yeye anahisi nitakuwa na tatizo la uke kuwa mkavu, kitu ambacho nina uhakika sina.
Wanajukwaa naombeni ushauri wenu juu ya kutatua tatizo hili.
It's just a comment she made. To me it doesn't quite suffice.There you go my friend
Kwa mara ya kwanza nimekuwa na mahusiano na wanaume wawili
Wengine Wana wanaume saba na ni kawaida, wewe Bado underground kwenye hii sector nini?Cariha! Cariha! Cariha! Kumbe ndo maana siku hizi hunijali. Kumbe mi wa saba jamani! Uuuuuuwiiiii!www.jamiiforums.com
Anastasia "Ana" Steele & Christian Grey (fify shades)Jamani hivi mbona sisi hatuchokanagi[emoji23][emoji23]
Yaani hata katikati ya ugomvi tunaweza kutamaniana,
Kikubwa tujistiri ila baadhi ya sehemu tukionana tu baaasi[emoji28][emoji28]
You are logically right, on the other hand, she has an emotional buggage and somebody has to unpack, infact they should both workout to fix, it should be taken as her problem only....There will be such times when you look at your partner and wonder, wawapi huyu?
Then you remember what a loving person they used to be. How they loved you with all of their hearts and it was at such a moment that you decided they would be your partner for life.
The idea of getting married and dedicating your life to one partner can give you cold feet Sheila. It can freak you out and the effects can be physical or psychological or both.
You therefore have to look beyond today, beyond next year and beyond the next five years. Does he have the qualities that will make him a great Dad? You have to put yourself aside and think of the little family that you will create.
Good men are hard to come by. When you find one cling to them with all that you have.
Mengine utasolve tu kwa kubadilisha diet, kuongeza kungumanga kwenye diet etc. Huenda upo affected na mipango ya harusi ndo maana hata kulainika ni issue, huenda ni hormones, huenda Baby wako alikukera sasa badala uongee unabaki nalo moyoni na kumuona hafai.
Do not let go of that man young lady.
Hey miss Karucee what's the secret behind your competency in English language?There will be such times when you look at your partner and wonder, wawapi huyu?
Then you remember what a loving person they used to be. How they loved you with all of their hearts and it was at such a moment that you decided they would be your partner for life.
The idea of getting married and dedicating your life to one partner can give you cold feet Sheila. It can freak you out and the effects can be physical or psychological or both.
You therefore have to look beyond today, beyond next year and beyond the next five years. Does he have the qualities that will make him a great Dad? You have to put yourself aside and think of the little family that you will create.
Good men are hard to come by. When you find one cling to them with all that you have.
Mengine utasolve tu kwa kubadilisha diet, kuongeza kungumanga kwenye diet etc. Huenda upo affected na mipango ya harusi ndo maana hata kulainika ni issue, huenda ni hormones, huenda Baby wako alikukera sasa badala uongee unabaki nalo moyoni na kumuona hafai.
Do not let go of that man young lady.
Mkuu hujawahi acha/achwa na umpendae bila sababu?Bila sababu mtu anabadilika?sidhani