Hizo maybe ni rare cases, trust me uhusiano unaohusisha kitu kirefu like muda mrefu, umbali mrefu n.k huwa unatembelea rimWatu wanaoana after 10 yrs! Upendo wa ukweli haufagi labda mmoja atupiwe kijini
Nakukumbusha siku za nyuma umewahi andika ulipokua chuo umewahi achwa na umpenda bila sababu na ulipitia wakati mgumu sana.Sijawahi kuachwa bila sababu
Hapana sina mahusiamo/mchepuko.Sawa, je huna hisia naye tu au hata kwa wanaume wengine huna hisia? Maana inawezekana huna hisia kwa wanaume wote.
Una mchepuko kwa sasa!? Kama ndiyo, muache.. Mchepuko unaweza ukakufanya umdharau mchumba wako na kumuona hana lolote. Akili inajitwist kwake.
Je, anakuhonga na kukujali? Kama hapana, mueleze ukweli. Hisia muda mwingine huchochewa na tabia za mtu kwa mwingine.
Yeye hisia anazo, mimi ndio sina yaani hata afanye nini sisisimki kabisa yaani silowi.Vipi ukimgusa au kupigapiga maeneo yamsisimko napo bilabila??
Ndoa ni taasisi iliyoanzishwa na Mungu mwenyewe, shetani anataka muendelee kuzini ndio maana amekuingia kwa njia hiyo.Hapana sina mahusiamo/mchepuko.
Which kind of books?Practice makes perfect.
Read alot.
All the best.
Sina mtu mwingine, sijawahi pia kucheat.Una mtu mwingine aliyesababisha hali hii? Sema kweli msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Hapana kila mtu ana kwake ila muda mwingi tunakuwa pamoja.Pole sana, mnaishi pamoja?
That was sarcasm.
sasa wale wanaoliwa kimasihara inakuwaje mkuu?Sio kweli Mkuu.
It's the exact opposite.
Sisi wanawake fight for our marriages long after you guys have given us enough reasons not to.
Why? Because by then we are mother's already and we focus more on our kids.
Sasa kero zenu ndo zinatufanyaga tuna lose attraction kwenu and some women end up denying you sex. Kiukweli kwetu sisi wanawake sex ni kitendo emotional. Huwezi nitibua afu unipande pande tu ovyo nitakuwa nimehisi umenidharau.
sasa wale tunaosoma humu wanaliwa kimasihara inakuwaje mindset zao zinakuwa vipi mkuu ?Peaneni nafasi, have time for yourself and explore your body, may be it has something to do with your mind, unahitaji kuwaza mambo mengine rather than the existing problem, badilisha hata mazingira ikiwezekana na aina ya mind refreshing activities mazoezi kidogo ya kufanya mwili uwe active, jipe miezi kadhaa bila kuwasiliana au kuwa nae karibu, itakusaidia kujua kama kweli unampenda or if you real need him as a husband, itakusaidia kujua pia hisia zako zipoje kwake then you can make a right choice kabla ya kuingia ndoani
Ila.mimi nahisi you are stressed au kuna jambo linakusumbua kiasi kwamba your body is not respinding, kumbuka kwamba suala la sex linaanzia kwenye mindset yako
Kama mindset yako haipo tayari basi mwili hauwezi kurespond
Kumbe iko shida anatuzuga tu watu ni hivyo kabisaThere you go my friend
Kwa mara ya kwanza nimekuwa na mahusiano na wanaume wawili
Wengine Wana wanaume saba na ni kawaida, wewe Bado underground kwenye hii sector nini?Cariha! Cariha! Cariha! Kumbe ndo maana siku hizi hunijali. Kumbe mi wa saba jamani! Uuuuuuwiiiii!www.jamiiforums.com
Zinakuwa kimasiharasasa wale tunaosoma humu wanaliwa kimasihara inakuwaje mindset zao zinakuwa vipi mkuu ?
Sio kweli,sababu ilikuwepo kwa upande wakeNakukumbusha siku za nyuma umewahi andika ulipokua chuo umewahi achwa na umpenda bila sababu na ulipitia wakati mgumu sana.
Basi utakua humfeel huyo mwanaume au kuna kitu alikufanyia ukapoteza totally ule upendo wamwanzo! Vipi mwanzo ulikua unaloa?Yeye hisia anazo, mimi ndio sina yaani hata afanye nini sisisimki kabisa yaani silowi.
Halafu sio kwamba nakuwa na hamu ila tatizo ni ninakuwa mkavu, hapana.
Ninakuwa sina hamu kabisa.
Nimecheka eti udaktari1.Miaka mitano mlikua mna-date au mnasomea udaktari?
2.Ile stage ya "honeymoon" sasa ndo imeisha, ya mahaba motomoto, ma sparks kama yote, butterflies in the stomach. Kwishney. Ilitakiwa hiyo stage iwakute kwenye ndoa, sasa shida mme date na kupikiana na kupakuliana for five years kama mko medical school.
3.Ndoa ni zaidi ya sex, japokua bila sex hakuna ndoa.