Umesahau wanaouliwa na wake zao...Kuna upungufu wa jinsia me duniani
..wengine wamehamia upande wetu,wengine wapo magerezani,wengine Ni maparoko,na wengine wameshaoa ndoa ya mke mmoja....hizo ndi Sababu kubwa
Amekua kimya sanaKwan mzee Halina mdee anasemaje? [emoji849]
Hata tukiwaoa kumi kumi itasaidiaKuna upungufu wa jinsia me duniani
..wengine wamehamia upande wetu,wengine wapo magerezani,wengine Ni maparoko,na wengine wameshaoa ndoa ya mke mmoja....hizo ndi Sababu kubwa
Wengine wanasema bora wasagane kuliko kutoka na mwanaume asiye na helaSasa hao wanaosagana nao Wana hela?
Anapigwa pipeMsagaji anazaa vipi?
Lee ni tom boy au shemalesNendeni facebook mkamuone lee tarish na mwenzie hamisa ramadhani😂😂😂
😂😂😂😂Dahhhh dunia ngumu Sana hiiUmesahau wanaouliwa na wake zao...
Itasaidia au inamaanisha haitasaidia?Hata tukiwaoa kumi kumi itasaidia
Duuuh!hapa kweli Kuna tatizoWengine wanasema bora wasagane kuliko kutoka na mwanaume asiye na hela
Kuna ukweli hapo,Kuna upungufu wa jinsia me duniani
..wengine wamehamia upande wetu,wengine wapo magerezani,wengine Ni maparoko,na wengine wameshaoa ndoa ya mke mmoja....hizo ndi Sababu kubwa
Naona baada ya miaka kumi ijayo mwanamke kuolewa kama mke watatu itakuwa kitu normal sana🤣🤣🤣🤣🤣Yaani wangeruhusu tu maana UN report on demographics ya first quarter 2021 ulikuwa hivi 7.8bill people on planet,wanawake waliokuwa 5.6billion wanaume 2.2bill,na hapo ndio Kuna wanaume wamefungwa,Kuna mashoga,Kuna maparoko,kunawagonjwa wa akili,Kuna waliooa tayari!Sasa hapo itakuwaje mtuuoe tu hata watano watano😂hao wake zenu ongeeni nao kwa herufi kubwa Kama hawataki piga talaka
Sahii kabisa...[emoji4]Sisi wengine tumeruhusiwa wanne lakini bado mmoja tulienae eti hataki tuwasitiri na wengine wanaoranda randa mitaani! Wanawake hampendani!!
Bila Shaka.Naona baada ya miaka kumi ijayo mwanamke kuolewa kama mke watatu itakuwa kitu normal sana🤣🤣🤣🤣🤣
Hivi kwanini hamtaki kuoa jamani?Kuna ukweli hapo,
Pia kuna wimbi kubwa la wanaume ambao hawataki kuoa.
Kina Liverpool VPN [emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Because hamfanyi kazi zenu vizuriHivi kwanini hamtaki kuoa jamani?
Tuombe uzima tuu mie nitakuja leta maombi kwako uje uwe mke wa nneBila Shaka.