Hii ni shida kubwa.Nimekutana na video moja kwenye mtandao wa Facebook, inaonesha watoto bila shaka ni watoto wa chekechea kwa hakika sidhani kama hii imekaa sawa.
View attachment 3222541
Ni jambo zuri watoto kupata muda wa kufurahi na kujifunza ila sio kucheza mitindo hii tena mbali zaidi kufanya challenge za mitandao ya Facebook na Tiktok.
Binafsi kwangu hii ni BIG NO!
Unacholalamanini au uyupo /wapo ulioamua kuwatetea kwa kuhojiwa hoja uliyoileta hapa?Bongo yapo mkuu sidhani kama kuwa Afrika Kusini ni kigezo
Mkuu watu weusi wa South Africa wameshashindikana
Hakika...Mkuu watu weusi wa South Africa wameshashindikana
View attachment 3222591
Basi na uendelee kuwapigania wabongo tulishachoshwa na unafiki na uzandiki wa wabongo wenzetu,uchawa,wizi na ujinga wote wa kula na kuvimbiwa halafu tunawakejeli wenye shida ,matatizo na uhitaji wa kweli.Wapo
Basi na uiweke namna itakayo kaa sawa.Haijakaa sawa
aisee mbaya sana kwa afya ya mtotoMkuu watu weusi wa South Africa wameshashindikana
View attachment 3222591
Ushenzi upo ila sio kama SouthUmatetea ni south wewe msouth mbongo je kwenu yapo hayapo?
Ndo wanaongoza africa na dunia kwa ujumlaSio poa ni ujinga na ulimbukeni
Tupe na rate ya HIV huko sauzi
Ulinganifu tunaojipa na south ni upi?Ni swala la muda wasouth walisha amka na kuona mwendo sio ili mambo yaende ama kuwadhibiti wavamizi wa fursa zao ama watwawala wao.Sisi tumejikita kushibisha tumbo la chawa mmoja mmoja kwa imani kuwa atawadhibiti wenye njaa na mahitaji na kusahau shida zao.Japo mimi sioni kama ndio dawa .ila dawa ni kuacha ujinga na kufanya yaliyo sahihi na kwa manufaa ya wengi na sii wachache au yale manufaa ya makundi ya twawala.Ushenzi upo ila sio kama South
Afu unakuta huyo ndo alikuwa kinara kupinga usaili πyale matokea ya walimu walioshika mkia yaninifikirisha sana kama mtu hujajianda unaenda kufanya nini mtiani, ile kitu inatia doa sana hasa yule alipata sifuri
Nimekutana na video moja kwenye mtandao wa Facebook, inaonesha watoto bila shaka ni watoto wa chekechea kwa hakika sidhani kama hii imekaa sawa.
View attachment 3222541
Ni jambo zuri watoto kupata muda wa kufurahi na kujifunza ila sio kucheza mitindo hii tena mbali zaidi kufanya challenge za mitandao ya Facebook na Tiktok.
Binafsi kwangu hii ni BIG NO!
Nipo nawacheki hapa watu washawekwaππππππππ Acha na Barcelona kwanza washa kitu Cha skanka tuburudikee na man city vs arsenal timee hii madam
walimu ni wengi sana hivyo mchujo uwe mlaki zaidi kwa manufaa ya kizazi kijachoAfu unakuta huyo ndo alikuwa kinara kupinga usaili π
Waalimu wakiona hii Comment wanaweza kukuachia laana πwalimu ni wengi sana hivyo mchujo uwe mlaki zaidi kwa manufaa ya kizazi kijacho
ikibidi kuwe na upimaji wa walimu hata baada ya kuajiriwa mtu afai apishe wanaofaa elimu na afya si vitu vya kuleta mzaa
mbona private nyigi ndio utaratibu unaotumika kuwapima walimu mara kwa maraWaalimu wakiona hii Comment wanaweza kukuachia laana π