Nzagambaaa
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,135
- 1,826
Mungu yupo Wacha watuchezee,fimbo yake huchapa walioshindikana kwa wenzaooo.Tz Taifa la Mungu wasizidishe ujinga atajibu kwa masilahi ya Raia wema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Spika wa hovyo snKumbukeni Spika wa bunge futuhi ni Rais wa Mabunge duniani huku yeye akiongoza bunge kibogoyo na futuhi.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mangu pamoja na ukatili wake lakini asingekubali huu ujinga
Unaunga mkono hyo sheria??Utaondoka wewe tena siku si nyingi
Popoma wewe
CCM ipo sana
Nyie watoto mliojiunga juzi Jf mnafikiri kwa vichambio
Wahed!
Kuna watu kama wametolewa ubongo halafu wakajazwa mavi, tujibidishe kulea kizazi kipya kwa ubora zaidi zaidi ya malezi yetu, tunakwenda kuwajaza fedha hao wakongwe wenye utajiri wa kutisha tunawaacha watoto kwa kuwatibia bure, mavi +uharo.Yaani mwalimu akistaafu tunamlipa kwa kikokotoo mwenza wa kiongozi analipwa full ni futuhi ndio ni futuhiiiiii