Tunahitaji mjadala mpana wa kitaifa juu ya timu ya watu inayounda 'Mamlaka za Uteuzi' nchini

Tunahitaji mjadala mpana wa kitaifa juu ya timu ya watu inayounda 'Mamlaka za Uteuzi' nchini

Naunga mkono hoja, kwa maoni yangu rais kwenye uteuzi Kuna hatari ya kuzungukwa Kwa mfano uteuzi wa Sasa wa mama Sio Siri hauko balanced hasa ukiangalia jinsia. Hivi kweli kwenye utumishi wa umma katika idara zake zote hatuna kina mama wenye uwezo wa kuongoza taasisi au wizara? Mfumo wetu wa vetting umejaa who know you badala ya wenye sifa stahiki.

Ushauri wangu ni kwamba utumishi wa umma na menejiment zake zitengeneze database strong za watumishi wote wa umma na utendaji wao. Inapotokea uteuzi asiangaliwe mtu kwa jina Bali kwa sifa. Pia vyombo vya usalama vitumike kuchunguza na sio vyenyewe kutumia sifa hiyo kujiteua.
Naunga mkono maoni yako balanced ni muhimu Ili watu wengi watengeneze future za vizazi vyao wakiwa hawapo waweze kujitegemea na siyo group moja tu liwe limetengezewa future nzuri kwa vizazi vyao.
 
MADA HII IMEJIKITA KATIKA TEUZI ZA MAKATIBU WAKUU ULIOFANYIKA TAREHE 4/4/2021

Mimi kama raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye anaishi katika nchi inayoongozwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ninayo haki ya kutoa maoni juu ya mustakbali wa nchi hii.

Katiba yetu inatambua kuwa, palipo na binadamu hapawezi kukosekana mapungufu ya kibinadamu ikiwemo ubaguzi, uonevu upendeleo n. k, ndiyo maana Katiba ikapiga marufuku vitu hivyo.

Sasa kwa muda mrefu, nimekuwa hapa JF nakemea teuzi ambazo haziakisi demografia ya nchi yetu, nilikemea teuzi zilizokaa kidini, kijinsia na kikanda. Kuna watu humu JF wako comfortable kukemea teuzi zilizokaa kikanda, au kikabila lakini wanafumba macho teuzi zilizokaa kidini, na wanakuwa wakali kwelikweli pindi ukilisemea. Kuna wengine wanakua comfortable kukemea teuzi zilizojaa ujinsia lakini wanaogopa kukemea teuzi zinazonuka udini. Na Tupo wengine tuko tayari kukemea kila viashiria vya teuzi zenye sura ya udini, Ukanda, Ujinsia, Ukabila n. k

Sasa kuna Pattern ninayoiona katika Teuzi hizi kuanzia serikali ya Magufuli na ninaona zimeanza kujitokeza katika utawala wa Samia

Kwanini overall teuzi nyingi zinakuwa na Ratio zaidi ya (75-80%) Wakiristo na only( 20%-25%) Waislamu, Hii ratio inakuwaje fixed, Hii imetokea tu kwa nasibu au imewekwa by design?

Kwanini pattern hii inajirudiarudia kila mara, pindi uteuzi unaoinvolve watu wengi unapofanyika?

Mimi kama Mwananchi, mpenda mshikamano wa Kitaifa, ninaona kuna harufu ya ubaguzi wa makusudi katika kugawa keki hii ya Taifa, na kwangu mimi binafsi naamini na naamini pia maelfu ya Watanzania wenzangu wengi wapenda haki bila kujali dini zao hawalipendi hili, kwa hiyo ninasema wazi kuwa hili halikubaliki hata kidogo.

Nimeangalia leo teuzi za makatibu wakuu, naona kuna ratio kama ya waislamu Watatu au Wanne katika timu nzima ya makatibu wakuu Ishirini walioteuliwa hii ikiwa ni ratio ile ile ya 20% Waislamu na 80% Christians. Ningependa kujua, hii ni by design au kuna mchezo mchafu?

Kuna watu wanajenga hoja kuwa, hii ishu haina maana bali uchapakazi wa mtu —Hii hoja yangu bado ni muhimu kwa sababu zifuatazo

1. Hizi teuzi ni chanzo cha kipato, ni keki ya Taifa, Unapokuwa na watu janii moja wanaenjoy keki hii kuliko wengine maana yake unawaandalia hata vizazi vyao elimu bora zaidi, huduma bora zaidi za afya, nyumba bora zaidi kwa hiyo maana yake vizazi vya hawa wanaoenjoy sehemu kubwa ya keki ya Taifa leo, wana nafasi ya vizazi vyao kuendelea kuwa tabaka la juu katika nchi wakati hawa wengine wakiendelea kuwa kama raia wa daraja la pili!. Hili hakikubaliki.

2. Lakini teuzi za hivi zinazolalia upande mmoja ni hatari kwa umoja, amani na mshikamano wa Kitaifa—Haiwezekani teuzi za hivi zilalie upande mmoja halafu udhani kuwa wale wengine ambao wako marginalized wafurahi, hilo haliwezi kutokea

Kwa hiyo natoa wito sasa Kwa mamlaka za juu za serikali.

1. Lazima uchunguzi ufanyike kwa timu nzima inayohusuika na kupeleka majina ya teuzi mbalimbali kwa Rais, Je hakuna udini katika kuchuja kwao majina?, na kama hakuna udini kwa nini hii pattern ya 20% by 80% inajirudiarudia, Kwa nini kwa mfano hatujawahi kuona teuzi zenye wauslamu 80% na Wakiristo 20%?

2. Tunataka kujua, je ni kweli hakuna waislamu wa kutosha kushika nafasi za juu kwa ratio nzuri? —Kama hawapo kwa nini? Na kama wapo kwa nini ratio inaendelea kuwa katika mtindo huo wa ALWAYS WAISLAMU NAMBA ZAO ZIWE Chini?

Suala la pili ni suala la Jinsia
Nimeona pia idadi ya wanawake walioteuliwa katika nafasi za makatibu wakuu ni almost negligible. Je, kwa utaratibu tuliokuwa tumeanza kukubaliana wa kufanya women empowerment, teuzi za namna hii zinasaidiaje katika ajenda hii?

Mada hii nataka iwafikie wafuatao

1. Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
2. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
3. Mkurugenzi Mkuu wa TISS
Anzia na ratio ya graduates , ambayo ni juhudi zako binafsi, uende, za level Nyingine mpaka PhD/ Dr
Halafu uje uandike upya hiyo dhumuni lako
 
Usipojali demographia ya nchi, unaweza kuteua makatibu wakuu wote wahaya, halafu ukajiaminisha kuwa maadamu wana vigezo basi hakuna tatizo—Tatizo lipo
You are right, tuombe uvumulivu tu ndani ya nchi. Kama nilivyosema, ukiamua kufukua haya mambao hakunaga mwisho
 
Katiba imeliweka vizuri sana suala la kutopendelea watu wa dini moja ila nashangaa teuzi nyingi huwa zinalalia watu wa dini moja, Ndiyo maana nataka uchunguzi ufanyike ili tujue kuwa hizi Mamlaka za Vetting na uteuzi hakuna motive ya udini katika hizi teuzi.
Hsiwezekani Always waislamu wawe wachache tena wachache kwelikweli kwenye kila yeuzi inayoinvolve watu wengi
Mkuu mambo ya udini,ukabila....sijui vitu gani yako very complicated...ni vigumu sana kusatify your wants.unapofanya analysis zingatia the whole situations...katiba hapa inatoa mwongozo kwamba mtu asinyimwe kazi kwa kuwa ni dini fulani ILIHALI vigezo vyote vya nafasi/kazi hiyo anavyo.na katiba haisemi kwamba tuzingatie uwiano wa dini...
 
Usipojali demographia ya nchi, unaweza kuteua makatibu wakuu wote wahaya, halafu ukajiaminisha kuwa maadamu wana vigezo basi hakuna tatizo—Tatizo lipo
ww naona umelalia demographia. teuzi si demographia.. ni combination of many things.
qualification na uzoefu vikiwa vipaombele vua kwanza kabisa.
no body cares , as long as wateuliwa wanakizi vigezo vya nafasi husika. na wana deliver
 
Anzia na ratio ya graduates , ambayo ni juhudi zako binafsi, uende, za level Nyingine mpaka PhD/ Dr
Halafu uje uandike upya hiyo dhumuni lako
Hata hilo unalolisema lingekuwa kweli, bado wapo waislamu wa kutosha tu wenye elimu, uaminifu na uwezo kama watu wengine wanaopata fursa hizi kwa wingi zaidi.

Nchi hii waislamu wenye digrii moja wapo maelfu kwa maelfu, Wenye digrii mbili na tatu wapo mamia kwa mamia kwa hiyo katika teuzi za watu 20, 30 au hata 100 kuniambia eti unakosa Waislamu wa kutosha wenye vigezo si sahihi
 
ww naona umelalia demographia. teuzi si demographia.. ni combination of many things.
qualification na uzoefu vikiwa vipaombele vua kwanza kabisa.
no body cares , as long as wateuliwa wanakizi vigezo vya nafasi husika. na wana deliver
Huwezi kuteua ukoo wako tupu ukawapa vyeo hivyo kisa eti wana vigezo—Ukifanya hivyo siyo utawala bora. Kwenye uongozi lazima timu unayofanya nayo kazi iakisi sura ya Taifa
 
"..... Ndiyo maana nataka uchunguzi ufanyike ili tujue kuwa hizi Mamlaka za Vetting na uteuzi hakuna motive ya udini katika hizi teuzi.
Hsiwezekani Always waislamu wawe wachache tena wachache kwelikweli kwenye kila......"

Nami nikuulize swl...so mamlaka za vetting zanzibar zona motive ya udini?... KWA maana aiwezekani wakristo wawe wachache kwelikweli kwenye kila.....
 
Wengine watajenga hoja kuwa "kwani hana vigezo"? [emoji16][emoji16]
Justice must not only be done, it must also appear to be done.

Caesars wife must be above suspicion.

The appearance of nepotism alone is problematic.

Tanzania has no shortqge of qualified people to the extent of overrepresenting one family.

Tanzania is a republic, not a kingdom.
 
Usipojali demographia ya nchi, unaweza kuteua makatibu wakuu wote wahaya, halafu ukajiaminisha kuwa maadamu wana vigezo basi hakuna tatizo—Tatizo lipo
Huwa wanazingatia mambo hayo ya ukabila..ukanda..udini(ili kuleta umoja wa kitaifa) ILA si kw kiwango unachotaka kiwe...KWA kuwa wakifuata mawazo yako matokeo yake yanakuwa ni kuligawa taifa
 
Ningependa teuzi zizingatie uwezo kwanza, mengine kama dini, kabila na ukanda yakazingatiwa.

Kama sensa zingekuwa zina kipengele cha dini nadhani huu mjadala ungekuwa rahisi sana.
Nakubaliana na wewe Ila Ni vema pia kuelewa Hali halisi ya nchi yetu. Kwa mfano itakuwa halali kuchagua makatibu wakuu 5 kutoka mkoa mmoja kisa tu Wana uwezo?
 
Huwezi kuteua ukoo wako tupu ukawapa vyeo hivyo kisa eti wana vigezo—Ukifanya hivyo siyo utawala bora. Kwenye uongozi lazima timu unayofanya nayo kazi iakisi sura ya Taifa
nani kakwambia kuwa nateua ukoo?

rais hafanyi maamuzi mwenyewe. rais ni taasisi.
na ziko taasisi chini yake zinafanya hiyo kazi.
so far sioni kosa lao.
wanasimamia pale pale. hakuna kuangalia dini ya mtu.
haijalishi anaabudu matope au kinyesi. kama ana qualification amefuzu.


and i am curious. why ni islams tu? what about dini zingine? budha ,hindus, wapagani? wakianza kulalamika pia patakalika?

zanzibar majority of cabinet ni dini moja. tuseme wana hila? tuseme dini zingine hazipo zanzibar?
 
Usipojali demographia ya nchi, unaweza kuteua makatibu wakuu wote wahaya, halafu ukajiaminisha kuwa maadamu wana vigezo basi hakuna tatizo—Tatizo lipo
Afu jua kuwa katika mfumo wa kibeberu ni ngumu sana kuleta uwiano si tu kiuchumi hata kisiasa na kijamii
 
MADA HII IMEJIKITA KATIKA TEUZI ZA MAKATIBU WAKUU ULIOFANYIKA TAREHE 4/4/2021

Mimi kama raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye anaishi katika nchi inayoongozwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ninayo haki ya kutoa maoni juu ya mustakbali wa nchi hii.

Katiba yetu inatambua kuwa, palipo na binadamu hapawezi kukosekana mapungufu ya kibinadamu ikiwemo ubaguzi, uonevu upendeleo n. k, ndiyo maana Katiba ikapiga marufuku vitu hivyo.

Sasa kwa muda mrefu, nimekuwa hapa JF nakemea teuzi ambazo haziakisi demografia ya nchi yetu, nilikemea teuzi zilizokaa kidini, kijinsia na kikanda. Kuna watu humu JF wako comfortable kukemea teuzi zilizokaa kikanda, au kikabila lakini wanafumba macho teuzi zilizokaa kidini, na wanakuwa wakali kwelikweli pindi ukilisemea. Kuna wengine wanakua comfortable kukemea teuzi zilizojaa ujinsia lakini wanaogopa kukemea teuzi zinazonuka udini. Na Tupo wengine tuko tayari kukemea kila viashiria vya teuzi zenye sura ya udini, Ukanda, Ujinsia, Ukabila n. k

Sasa kuna Pattern ninayoiona katika Teuzi hizi kuanzia serikali ya Magufuli na ninaona zimeanza kujitokeza katika utawala wa Samia

Kwanini overall teuzi nyingi zinakuwa na Ratio zaidi ya (75-80%) Wakiristo na only( 20%-25%) Waislamu, Hii ratio inakuwaje fixed, Hii imetokea tu kwa nasibu au imewekwa by design?

Kwanini pattern hii inajirudiarudia kila mara, pindi uteuzi unaoinvolve watu wengi unapofanyika?

Mimi kama Mwananchi, mpenda mshikamano wa Kitaifa, ninaona kuna harufu ya ubaguzi wa makusudi katika kugawa keki hii ya Taifa, na kwangu mimi binafsi naamini na naamini pia maelfu ya Watanzania wenzangu wengi wapenda haki bila kujali dini zao hawalipendi hili, kwa hiyo ninasema wazi kuwa hili halikubaliki hata kidogo.

Nimeangalia leo teuzi za makatibu wakuu, naona kuna ratio kama ya waislamu Watatu au Wanne katika timu nzima ya makatibu wakuu Ishirini walioteuliwa hii ikiwa ni ratio ile ile ya 20% Waislamu na 80% Christians. Ningependa kujua, hii ni by design au kuna mchezo mchafu?

Kuna watu wanajenga hoja kuwa, hii ishu haina maana bali uchapakazi wa mtu —Hii hoja yangu bado ni muhimu kwa sababu zifuatazo

1. Hizi teuzi ni chanzo cha kipato, ni keki ya Taifa, Unapokuwa na watu janii moja wanaenjoy keki hii kuliko wengine maana yake unawaandalia hata vizazi vyao elimu bora zaidi, huduma bora zaidi za afya, nyumba bora zaidi kwa hiyo maana yake vizazi vya hawa wanaoenjoy sehemu kubwa ya keki ya Taifa leo, wana nafasi ya vizazi vyao kuendelea kuwa tabaka la juu katika nchi wakati hawa wengine wakiendelea kuwa kama raia wa daraja la pili!. Hili hakikubaliki.

2. Lakini teuzi za hivi zinazolalia upande mmoja ni hatari kwa umoja, amani na mshikamano wa Kitaifa—Haiwezekani teuzi za hivi zilalie upande mmoja halafu udhani kuwa wale wengine ambao wako marginalized wafurahi, hilo haliwezi kutokea

Kwa hiyo natoa wito sasa Kwa mamlaka za juu za serikali.

1. Lazima uchunguzi ufanyike kwa timu nzima inayohusika na kupeleka majina ya teuzi mbalimbali kwa Rais, Je hakuna udini katika kuchuja kwao majina?, na kama hakuna udini kwa nini hii pattern ya 20% by 80% inajirudiarudia, Kwa nini kwa mfano hatujawahi kuona teuzi zenye wauslamu 80% na Wakiristo 20%?

2. Tunataka kujua, je ni kweli hakuna waislamu wa kutosha kushika nafasi za juu kwa ratio nzuri? —Kama hawapo kwa nini? Na kama wapo kwa nini ratio inaendelea kuwa katika mtindo huo wa ALWAYS WAISLAMU NAMBA ZAO ZIWE Chini?

Suala la pili ni suala la Jinsia
Nimeona pia idadi ya wanawake walioteuliwa katika nafasi za makatibu wakuu ni almost negligible. Je, kwa utaratibu tuliokuwa tumeanza kukubaliana wa kufanya women empowerment, teuzi za namna hii zinasaidiaje katika ajenda hii?

Mada hii nataka iwafikie wafuatao

1. Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
2. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
3. Mkurugenzi Mkuu wa TISS
Seminary schools zimesomesha WAKATOLIKI WEENGI, WALUTHERI, ANGLICANS MORAVIANS, SABATH, NA WENGINEO WEENGI HAPO KABLA, NA WATOTO WAO PIA WAMESOMA, WAPO KWA SYSTEM. NI SUALA LA TAALUMA TU. SERIKALI SIO MAHALA PA KUFUNDISHA DINI, KWAMBA TUWEKE MFUMO WA KIDINI KTK UTAWALA. KAMA HUNA SIFA NA VIGEZO, HUCHAGULIWI
 
Back
Top Bottom