Tunahitaji mjadala mpana wa kitaifa juu ya timu ya watu inayounda 'Mamlaka za Uteuzi' nchini

Tunahitaji mjadala mpana wa kitaifa juu ya timu ya watu inayounda 'Mamlaka za Uteuzi' nchini

Huwa uko smart, Ila wewe ni mdini flani, Yani ikifika dini yako haijaguswa huwa unajitoa ufahamu. Acha udini mkuu, Raisi angekuwa mkristo ungeweza anapendelea Imani yake
 
Changamoto ni hiyo balance. Imagine wewe ndio rais unawaambiaje wasaidizi wako, nileteeni watu watano wa dini A na watano wa dini B?
Ni rahisi tu, unawaambia nileteeni watu 500 wenye vigezo na unawaagiza wawape maksi kutoksna na vigezo vya vetting—Kisha bada ya hapo unapick watu 20 kutoka miongoni mwao wewe mwenyewe kwa misingi ya haki bila kulalia kundi moja.
Sasa wakileta watu 500 kisha list yao ikawa ya kibaguzi, ubaanza kutimua kazi haohao wanaofanya upuuzi huo
 
Wewe unataka kuyumbisha taifa.

Pita kule nenda zako shetani.

Sijawahi kuona manufaa yoyote kwangu kutokana na kiongozi wa dini yangu kuteuliwa...

Zaidi zaidi naona familia yake iki enjoy zaidi
Halafu kuchagua mtu kisa dini yake kwani ni nafasi za ma shekhe,askofu, nchungaji au baba paroko. Watu watumiao udini, au ukanda kupata Jambo ni hatari kwa mstakabali wa umoja wakitaifa
 
Waraka wako cc ni kwa Waislamu watupu!
Ndo ujue sisi wengine tunatetea principle.

Rais akiwa Muislamu na akafanya teuzi za kibaguzi tutasema

Na raisi asipokuwa muislamu na akafanya teuzi za kibaguzi tutasema pia

Issue siyo nani ni rais au Waziri mkuu, ISHU HAPA ni UTEUZI umemarginalize waislamu na wanawake. Kwa hiyo tuna haki ya msingi kabisa ya kuhoji, Je katika makundi hayo mawili kuna watu wachache mno wenye sifa za kuhudumu katika hizo nafasi hadi ionekabe kuwa watu wa dini moja ba jinsia moja ndo wanaotosha?
 
Ndo ujue sisi wengine tunatetea principle.

Rais akiwa Muislamu na akafanya teuzi za kibaguzi tutasema

Na raisi asipokuwa muislamu na akafanya teuzi za kibaguzi tutasema pia

Issue siyo nani ni rais au Waziri mkuu, ISHU HAPA ni UTEUZI umemarginalize waislamu na wanawake. Kwa hiyo tuna haki ya msingi kabisa ya kuhoji, Je katika makundi hayo mawili kuna watu wachache mno wenye sifa za kuhudumu katika hizo nafasi hadi ionekabe kuwa watu wa dini moja ba jinsia moja ndo wanaotosha?
Sasa ulitaka amteue babu Tale?
 
Umesema vizuri kuwa nchi hii ni ya watu wote, sasa inakuwaje teuzi nyingi huwa zinalalia kwa watu wa dini moja kwa margin kubwa mno wakati shule tunazosoma ni zilezile na watu wenye vigezo vyote wanapatikana katika dini zote kubwa nchini—Je hii ni bahati mbaya au kuna watu huwa wanahakikisha hilo litokee kwa sababu zao za udini?
Mkuu ww udini unakusumbua hilo kwanza ukili tu.....Hii nchi hakuna mtu anachaguliwa kwa udini wake bali kwa uwezo wake.Sikatai wakristo wanakua wengi husikii watu wanalalamika kua waziri mkuu na Rais na katibu mkuu ni waislam na hivo ni vyeo vikubwa sana mbona wakristo hawalalamiki au kuna mkristo kalalamika kua kwa nn Rais katoka zanzibar na ni muislam.Mimi ndo hua nasema uislam hua unaharibiwa na watu km nyinyi maana ww ubinafsi unakusumbua sana na udini.
 
uzi mreefu lakin hoja dhaifu! ulipoongelea kugawana keki ya taifa nikaishia hapo. kwani mtu anachaguliwa akale keki ya taifa au akachape kazi? na hiyo kazi inafaidisha kidini au watanzania kwa ujumla wao! kwa tanzania kuna virus hutafanikiwa kirahis kuipandikiza. jadiri cv ndugu.
 
MADA HII IMEJIKITA KATIKA TEUZI ZA MAKATIBU WAKUU ULIOFANYIKA TAREHE 4/4/2021

Mimi kama raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye anaishi katika nchi inayoongozwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ninayo haki ya kutoa maoni juu ya mustakbali wa nchi hii.

Katiba yetu inatambua kuwa, palipo na binadamu hapawezi kukosekana mapungufu ya kibinadamu ikiwemo ubaguzi, uonevu upendeleo n. k, ndiyo maana Katiba ikapiga marufuku vitu hivyo.

Sasa kwa muda mrefu, nimekuwa hapa JF nakemea teuzi ambazo haziakisi demografia ya nchi yetu, nilikemea teuzi zilizokaa kidini, kijinsia na kikanda. Kuna watu humu JF wako comfortable kukemea teuzi zilizokaa kikanda, au kikabila lakini wanafumba macho teuzi zilizokaa kidini, na wanakuwa wakali kwelikweli pindi ukilisemea. Kuna wengine wanakua comfortable kukemea teuzi zilizojaa ujinsia lakini wanaogopa kukemea teuzi zinazonuka udini. Na Tupo wengine tuko tayari kukemea kila viashiria vya teuzi zenye sura ya udini, Ukanda, Ujinsia, Ukabila n. k

Sasa kuna Pattern ninayoiona katika Teuzi hizi kuanzia serikali ya Magufuli na ninaona zimeanza kujitokeza katika utawala wa Samia

Kwanini overall teuzi nyingi zinakuwa na Ratio zaidi ya (75-80%) Wakiristo na only( 20%-25%) Waislamu, Hii ratio inakuwaje fixed, Hii imetokea tu kwa nasibu au imewekwa by design?

Kwanini pattern hii inajirudiarudia kila mara, pindi uteuzi unaoinvolve watu wengi unapofanyika?

Mimi kama Mwananchi, mpenda mshikamano wa Kitaifa, ninaona kuna harufu ya ubaguzi wa makusudi katika kugawa keki hii ya Taifa, na kwangu mimi binafsi naamini na naamini pia maelfu ya Watanzania wenzangu wengi wapenda haki bila kujali dini zao hawalipendi hili, kwa hiyo ninasema wazi kuwa hili halikubaliki hata kidogo.

Nimeangalia leo teuzi za makatibu wakuu, naona kuna ratio kama ya waislamu Watatu au Wanne katika timu nzima ya makatibu wakuu Ishirini walioteuliwa hii ikiwa ni ratio ile ile ya 20% Waislamu na 80% Christians. Ningependa kujua, hii ni by design au kuna mchezo mchafu?

Kuna watu wanajenga hoja kuwa, hii ishu haina maana bali uchapakazi wa mtu —Hii hoja yangu bado ni muhimu kwa sababu zifuatazo

1. Hizi teuzi ni chanzo cha kipato, ni keki ya Taifa, Unapokuwa na watu janii moja wanaenjoy keki hii kuliko wengine maana yake unawaandalia hata vizazi vyao elimu bora zaidi, huduma bora zaidi za afya, nyumba bora zaidi kwa hiyo maana yake vizazi vya hawa wanaoenjoy sehemu kubwa ya keki ya Taifa leo, wana nafasi ya vizazi vyao kuendelea kuwa tabaka la juu katika nchi wakati hawa wengine wakiendelea kuwa kama raia wa daraja la pili!. Hili hakikubaliki.

2. Lakini teuzi za hivi zinazolalia upande mmoja ni hatari kwa umoja, amani na mshikamano wa Kitaifa—Haiwezekani teuzi za hivi zilalie upande mmoja halafu udhani kuwa wale wengine ambao wako marginalized wafurahi, hilo haliwezi kutokea

Kwa hiyo natoa wito sasa Kwa mamlaka za juu za serikali.

1. Lazima uchunguzi ufanyike kwa timu nzima inayohusuika na kupeleka majina ya teuzi mbalimbali kwa Rais, Je hakuna udini katika kuchuja kwao majina?, na kama hakuna udini kwa nini hii pattern ya 20% by 80% inajirudiarudia, Kwa nini kwa mfano hatujawahi kuona teuzi zenye wauslamu 80% na Wakiristo 20%?

2. Tunataka kujua, je ni kweli hakuna waislamu wa kutosha kushika nafasi za juu kwa ratio nzuri? —Kama hawapo kwa nini? Na kama wapo kwa nini ratio inaendelea kuwa katika mtindo huo wa ALWAYS WAISLAMU NAMBA ZAO ZIWE Chini?

Suala la pili ni suala la Jinsia
Nimeona pia idadi ya wanawake walioteuliwa katika nafasi za makatibu wakuu ni almost negligible. Je, kwa utaratibu tuliokuwa tumeanza kukubaliana wa kufanya women empowerment, teuzi za namna hii zinasaidiaje katika ajenda hii?

Mada hii nataka iwafikie wafuatao

1. Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
2. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
3. Mkurugenzi Mkuu wa TISS
Mkuu katiba inasema nchi yetu haina dini,pia hata katika sensa hatuulizi dini wala kabila .Unakotaka kutupeleka siko. Mimi ni mkiristo lakini hakuna ninachofaidi kamamimi binafsi kutokana na kuwa eti viongozi wengi ni wakiristo,barabara ninazopita hazisemi zimejengwa na mkristo na kila mtu anajipitia,shule,madaraja,vyuo ,flyover vyote havisemi ni mkristo kajenga kwa hiyo muislamu asipite.Zanzibar karibu asilimia 99% ya viongozi ni waislamu je muislamu wa kawaida yeye binafsi anaufaika nini na kuwa viongozi ni waislamu,kule Zanzibar kuna wakristu hatujawahi kuwasikia wakilalamika kuwa viongozi wote ni waislamu kwa hiyo wanaofaidi keki ya taifa ni waislamu, sisi tunataka maendeleo kwa wote hata awekwe mpangani muhimu ni maendeleo, ukitaka hivyo hamia Zanzibar ukafaidi huo Uislamu.
 
Ni rahisi tu, unawaambia nileteeni watu 500 wenye vigezo na unawaagiza wawape maksi kutoksna na vigezo vya vetting—Kisha bada ya hapo unapick watu 20 kutoka miongoni mwao wewe mwenyewe kwa misingi ya haki bila kulalia kundi moja.
Sasa wakileta watu 500 kisha list yao ikawa ya kibaguzi, ubaanza kutimua kazi haohao wanaofanya upuuzi huo
Sifa zina vipimo, je ukipita list nzima ukakuta katika top 50, 90% wote ni wa dini fulani utafanyaje?

Leo hii ukichukua watu wote wenye PHD hapa Tanzania, nina uhakika kutakuwa na over-representation ya makabila flani hivi, kwa hiyo sio bahati mbaya kwamba kwenye michujo wanapenya sana, wako wengi kwa vigezo sio wingi wa watu tu.
 
Mkuu katiba inasema nchi yetu haina dini,pia hata katika sensa hatuulizi dini wala kabila .Unakotaka kutupeleka siko. Mimi ni mkiristo lakini hakuna ninachofaidi kamamimi binafsi kutokana na kuwa eti viongozi wengi ni wakiristo,barabara ninazopita hazisemi zimejengwa na mkristo na kila mtu anajipitia,shule,madaraja,vyuo ,flyover vyote havisemi ni mkristo kajenga kwa hiyo muislamu asipite.Zanzibar karibu asilimia 99% ya viongozi ni waislamu je muislamu wa kawaida yeye binafsi anaufaika nini na kuwa viongozi ni waislamu,kule Zanzibar kuna wakristu hatujawahi kuwasikia wakilalamika kuwa viongozi wote ni waislamu kwa hiyo wanaofaidi keki ya taifa ni waislamu, sisi tunataka maendeleo kwa wote hata awekwe mpangani muhimu ni maendeleo, ukitaka hivyo hamia Zanzibar ukafaidi huo Uislamu.

Katiba imeliweka vizuri sana suala la kutopendelea watu wa dini moja ila nashangaa teuzi nyingi huwa zinalalia watu wa dini moja, Ndiyo maana nataka uchunguzi ufanyike ili tujue kuwa hizi Mamlaka za Vetting na uteuzi hakuna motive ya udini katika hizi teuzi.
Hsiwezekani Always waislamu wawe wachache tena wachache kwelikweli kwenye kila yeuzi inayoinvolve watu wengi
 
Sifa zina vipimo, je ukipita list nzima ukakuta katika top 50, 90% wote ni wa dini fulani utafanyaje?

Leo hii ukichukua watu wote wenye PHD hapa Tanzania, nina uhakika kutakuwa na over-representation ya makabila flani hivi, kwa hiyo sio bahati mbaya kwamba kwenye michujo wanapenya sana, wako wengi kwa vigezo sio wingi wa watu tu.
Usipojali demographia ya nchi, unaweza kuteua makatibu wakuu wote wahaya, halafu ukajiaminisha kuwa maadamu wana vigezo basi hakuna tatizo—Tatizo lipo
 
Back
Top Bottom