Tunahitaji mjadala mpana wa kitaifa juu ya timu ya watu inayounda 'Mamlaka za Uteuzi' nchini

Tunahitaji mjadala mpana wa kitaifa juu ya timu ya watu inayounda 'Mamlaka za Uteuzi' nchini

Nmesoma nmepata kchefuchefu haswa huyu jamaa n mdin sjapata by the way watu wamekujbu Sina haja namj nijibu
 
Hakuna uthibitisho wa hilo, unayo credible information kutoka mamlaka za Tanzania zinazothibitisha hilo?
Hiyo hapo estimations kutokana na undisclosed sources
Screenshot_20210405-132604.jpeg
 
Hakuna uthibitisho wa hilo, unayo credible information kutoka mamlaka za Tanzania zinazothibitisha hilo?
Current statistics on the relative sizes of various religions in Tanzania are limited because religious questions have been eliminated from government census reports since 1967. A 2010 survey from the Pew Research Center found that 61% of the population are Christian, 36% are Muslim, 2% practice traditional religions and 1% are unaffiliated.
 
Hoja ya kutokuwepo Waislamu wasomi ni hoja Muflisi, hapa chini nakuwekea list ya Waislamu wenye PhD.
Waislamu wenye masters wako wengi, wenye figrii ya kwanza bdo usiseme—Sasa watakosekanaje waislamu wa kutosha ndani ya watu 20, 30 au hata 100 wanaoteuliwa?

1456671_20161125_090829.jpg


1456673_20161125_090904.jpg


1456674_20161125_090922.jpg


1456675_20161125_095947.jpg


1456676_20161125_100007.jpg
 
Kwa hizi teuzi mbili tu , ambazo huyu mama amefanya Kuna kila dalili ya kwenda kufeli vibaya sana huko mbele ( massive failure ) Kama nilivyosema kwa Jiwe kuhusu uongozi wake na huyu mama yanaenda kumkuta hayohayo .
 
Nafasi zote za teuzi za rais huwa hazifiki watu 3000.
Sasa waislamu Graduates, wenye sifa na vigezo wanazidi nafasi zote hizo nilizozitaja.

Sasa ukiniambia eti hakuna waislamu wa kutosha kuteuliwa mpaka ipelekee teuzi zifanyikazo zilalie kwa sana kwa watu wa dini moja kila wakati ni hoja ambayo haina ukweli wowote.

Sasa ukiteua makatibu wakuu 20, unataka kuniabia nchi hii hakuna waislamu 8, 9, 10, 12 wenye vigezo vya kuwa makatibu wakuu?

Waislamu waliomba sensa ya mwaka 2012 iwe na kipengele cha dini ya mtu, Kanisa na Serikali vikapinga.

Kimsingi Waislamu walitaka mfano wa mambo hayahaya ninayokemea ya viashiria vya ubaguzi kwenye teuzi vikome, maana data zinaonyesha representation yao kwenye nafasi za teuzi ni kiduchu sana kitu ambacho kinahitaji utafiti wa kitawala, kwa nini Myslims siku zote ni wachache kwenye teuzi, Je kuna udini behind?, Je hawapo wa kutosha wenye vigezo?, ni kwa namna gani vetting inafanyika?—Vyote hivyo lazima vifanyike ili tuzidi kupata nchi iliyofair zaidi!
Mkuu, hebu tutumie common sense na reason.

Sasa hivi Rais ni Muislam, Waziri Mkuu Muislam, mkuu wa Tiss ni Muislam, Katibu Mkuu Kiongozi pia ni Muislam
Hawa watu ndio Wana influence teuzi zinazofanywa na Rais, so hawa wanaweza wakawa wanapendelea Wakristu na kukandamiza Waislam wenzao? Ili iweje? Inakuingia akilini?

Au kuna force nyingine inayowalazimisha kuteua Waislam wachache? kama mnavyodai ni kanisa katoliki, kanisa katoliki Tanzania lina nguvu kiasi hicho? inakuingia akilini?

Mimi nimesoma shule ya bweni inayochukuwa wanafunzi nchi nzima. Kwenye ile shule wanafunzi wa Kiislam walikuwa hawazidi robo, japo ni taifa zima

Pia nimesoma Chuo Kikuu Mzumbe, ambayo ni taasisi inayochukua wanafunzi nchi nzima pia, Wamafunzi wa Kiislam walikuwa hawazidi robo mkuu

Hii inakupa picha gani? kuwa Waislam wanabaguliwa hadi kwenye elimu za msingi? Hapana, Hawazingatii elimu? Hapana. Hii inamaanisha kuwa Waislam Tanzania ni wachache kuliko Wakristo, na wala haliumizi kichwa hili, sababu ni mikoa mingapi hapa Tz ina Waislam hata nusu tu ya wakazi wote? Nadhani ni michache sana, Lindi, Zanzibar, Tanga labda na Dar. So tuache mihemko na tutumie mantiki zaidi tutaepukana na mawazo kama yako
 
Rais - muislam

Waziri mkuu - muisilam

Katibu mkuu kiongozi - muisilam.

Sasa wewe mleta mda unataka Viongozi gani wa ngazi za juu tofauti na hao watatu?

Kwanza waislamu wengi tuko busy na Mambo ya Allah, kwanini unataka kutuingiza kwenye Mambo ya duniaa?

"Au nakosea ndugu zangu" R.I.P jiwe[emoji122]
[emoji3][emoji3]
 
Current statistics on the relative sizes of various religions in Tanzania are limited because religious questions have been eliminated from government census reports since 1967. A 2010 survey from the Pew Research Center found that 61% of the population are Christian, 36% are Muslim, 2% practice traditional religions and 1% are unaffiliated.
Hizo data zinatambuliwa na Mamlaka za Takwimu za Tanzania? —Hiyo taasisi ya kusensa watu ilipata wapi kibali cha kufanya censoring?, Hizo ni takwimu feki, siyo credible
 
Mkuu, hebu tutumie common sense na reason.

Sasa hivi Rais ni Muislam, Waziri Mkuu Muislam, mkuu wa Tiss ni Muislam, Katibu Mkuu Kiongozi pia ni Muislam
Hawa watu ndio Wana influence teuzi zinazofanywa na Rais, so hawa wanaweza wakawa wanapendelea Wakristu na kukandamiza Waislam wenzao? Ili iweje? Inakuingia akilini?

Au kuna force nyingine inayowalazimisha kuteua Waislam wachache? kama mnavyodai ni kanisa katoliki, kanisa katoliki Tanzania lina nguvu kiasi hicho? inakuingia akilini?

Mimi nimesoma shule ya bweni inayochukuwa wanafunzi nchi nzima. Kwenye ile shule wanafunzi wa Kiislam walikuwa hawazidi robo, japo ni taifa zima

Pia nimesoma Chuo Kikuu Mzumbe, ambayo ni taasisi inayochukua wanafunzi nchi nzima pia, Wamafunzi wa Kiislam walikuwa hawazidi robo mkuu

Hii inakupa picha gani? kuwa Waislam wanabaguliwa hadi kwenye elimu za msingi? Hapana, Hawazingatii elimu? Hapana. Hii inamaanisha kuwa Waislam Tanzania ni wachache kuliko Wakristo, na wala haliumizi kichwa hili, sababu ni mikoa mingapi hapa Tz ina Waislam hata nusu tu ya wakazi wote? Nadhani ni michache sana, Lindi, Zanzibar, Tanga labda na Dar. So tuache mihemko na tutumie mantiki zaidi tutaepukana na mawazo kama yako
Hivi wewe unaamini raisi ndo anafanya kila kitu kwenye vetting? —Huyo analetewa majina tu, na yeye akiwa siyo muelewa wa picha pana ya nchi yake anasaini tu.

Huoni leo kaletewa Jina la Mwana UVCCM kamteua kuwa mkurugenzi TPDC, kelele mitandaoni zilipozidi kamtengua. Hii ni kwa sababu kuna mamlaka za Vetting zinazopeleka majina kwake, Sasa kwenye huu uzi nalia na hizi mamlaka huenda ndani yake kuna wadini waliokubuhu,, wanaopeleka majina ya mrengo mmoja kwa raisi.

Hii hoja ya ubaguzi kwenye teuzi haitokufa mpaka ionekane wazi hakuna motive ya udini kwenye hizi teuzi, maana haiwezekani kila teuzi zinapofanyika basi watu wa dini moja wanaonekana wanawazidi wenzao kwa ratio ya almost 80:20,Hizi mamlaka za Vetting lazima zichunguzwe!
 
Mama aliweka wazi kuwa ataangalia record ya mtu, hawa ndugu wanaoteuliwa si kwa ajili ya kusaidia dini flan au kanda flani bali ni kwa ajili ya kuwatumikia wananchi wote wa tanzania, merits first.
Ukitaka azingatie hicho kigezo Cha dini utakuta kumbee hizo dini na zenyewe zimegawanyika
 
Hizo data zinatambuliwa na Mamlaka za Takwimu za Tanzania? —Hiyo taasisi ya kusensa watu ilipata wapi kibali cha kufanya censoring?, Hizo ni takwimu feki, siyo credible
Ha ha ha ha, mkuu, achana na mambo ya Dunia, mtafute Allah uione pepo.
Maana sasa unapinga kwa jazba tu,
Hilo gazeti lako la idadi ya Muslims lilipata kibali kukusanya hizo takwimu au waliangalia prospects za vyuo wakiwa vyumabani?

Tukileta gazeti la wasomi wa kikiristo litakawa na mamilion ya majina.
Tuache hizi mambo
 
Kwa sensa zipi ndugu?
[emoji1542]Kama umewahi kusoma, kuanzia elimu ya msingi, sekondari mpaka elimu ya juu (zingatia madarasa yako husika katika hizo hatua zote), utagundua kuwa hata kwenye madarasa yako uliyowahi kusoma wakristo ni wengi.

[emoji1542]Angalia matokeo ya kidato cha nne na sita, angalia wanafunzi 10 bora kitaifa,angalia waalimu wengi mashuleni,utagundua kuwa wakristo ni wengi.

[emoji1542]Angalia mikoa inayoongoza kwakuwa na wasomi wengi (Kilimanjaro, Bukoba) kote huko wakristo wametawala.

[emoji1542]Angalia idadi ya shule za kidini Tz, utagundua kuwa ni za kikirsto.

NB:Kwa hapa Tz, wasomi wengi ni wakristo, hilo ni hakika. Hata hivyo katika swala la uteuzi,ni vyema tukazingatia weledi na uchapakazi kuliko udini.Kwangu mimi mkristo au mwislam wote ni sawa tu.
 
Hoja ya kutokuwepo Waislamu wasomi ni hoja Muflisi, hapa chini nakuwekea list ya Waislamu wenye PhD.
Waislamu wenye masters wako wengi, wenye figrii ya kwanza bdo usiseme—Sasa watakosekanaje waislamu wa kutosha ndani ya watu 20, 30 au hata 100 wanaoteuliwa?

View attachment 1744054

View attachment 1744056

View attachment 1744057

View attachment 1744059

View attachment 1744061
Rubbish Muslim tabloid paper...
Kwahiyo kila dini inachapisha majina ya wasomi wa kujigamba nao.

Kwa leo huna hoja kabisa
 
Hakuna vetting ya kueleweka kwa nini? Mbona haya mambo yanajitokeza mara kwa mara? Aibu sana sana kwa taifa. Ndio maana tunapata hadi viongozi wa juu kabisa ila wanakuwa wa hovyo.
 
Mama aliweka wazi kuwa ataangalia record ya mtu, hawa ndugu wanaoteuliwa si kwa ajili ya kusaidia dini flan au kanda flani bali ni kwa ajili ya kuwatumikia wananchi wote wa tanzania, merits first.
Ukitaka azingatie hicho kigezo Cha dini utakuta kumbee hizo dini na zenyewe zimegawanyika
Sasa ni ajabu eti vigezo ionekane wanavyo zaidi watu wa dini moja, hii inawezekanaje.

Yaani mchota maji kila siku unachota maji ya lita tano na unapochota kuna sehemu ina tanki la lita 500 na tanki jingine lina lita 1000, maji sawa yote yana sifa sawa ila wewe mchota maji kila siku unachukua maji kwenye tanki moja. Lazima itakuwepo sababu ya uamuzi wa kulipendelea tanki moja. Hoja hapo siyo kwamba tanki jingine halina maji, bali utakuwa na sababu binafsi za kufanya hivyo, huenda ni sababu za maana au za kijinga, lakini sababu zipo
 
I wish mazingira yangethibitisha hicho unachokisema, ila hii pattern inayojirudiarudia ya 20% by 80% rule inahitaji jicho kali la kiuchunguzi

Haiwezekani nchi hii vigezo fulani vinavyomandate teuzi kuwa vipatikane kwa wingi kwa watu wa dini moja tu kuliko wengine.

Hapa huenda kuna mchezo mchafu kwenye timu nzima ya vetting
Ungekua kiongozi nchi ingeyumba
 
Back
Top Bottom