Tunahitaji wawakilishi waadilifu ambao watasimama katika kulikomboa taifa hili

Mngekuwa na akili Zanzibar mgekuwa mnarudisha familia zile zile kwenye urais????Nyie ulafi na uroho vinawasumbua mafisadi nyie.
 
Muislam kama serikali inaongozwa na mkristo halafu kuwepo na wizi wangepiga kelele sana, ila kama ni mwenzao hawana maneno
Walafi tu hao hawana lolote,na kama Tanzania hii ingetawaliwa na wao tu tangu uhuru basi Tanzania ingekuwa nchi maskini kuliko nchi zote Afrika.
 
Nieleze kipindi cha Tip tip na biashara ya utumwa, Waislam walikuwa bega kwa bega na watu gani?
Huyo akili na uwezo wa kufikiri kaulaza kwenye uislamu zaidi kuliko utu na kujitambua.Hata simu yake ikivunjika atamsingizia mkristu yeyote ili tu apate afueni ya moyo.
 
The big show, kwenye makala yako umeshauri uzalendo na kutoendekeza udini, mbona unarudi kulekule? Nyerere mnaemtuhumu kwa mfumo Kristo hayupo duniani muda mrefu , kipi kinawazuia kufanya reforms.
Reforms tunazifanya ALHAMDULILLAH,KWANI NI LAZIMA TUKUELEZE??
 
Mngekuwa na akili Zanzibar mgekuwa mnarudisha familia zile zile kwenye urais????Nyie ulafi na uroho vinawasumbua mafisadi nyie.

UNA MASHAKA YYTE NA UWEZO WA DR HUSSEIN MWINYI KUWA RAIS WA ZANZIBAR??

JE,KUHUSHU BABA YAKE??..VIPI KUHUSU KARUME NA MTOTO WAKE...
 
Samia aliyefumbia macho ufisadi na kuhamasisha watu wale kwa urefu wa kamba si muislam? Au wewe pekee ndiyo unajiona Muislam mzuri zaidi ya wenzio?

Mwenye macho haambiwi tazama,kazi anayoifanya bila shaka inaonekana na iko wazi...

NYINYI WENYEWE NI MASHAHIDI,KINACHOWASUMBUA NI CHUKI ZENU ZA UDINI TUH,KWA HILO HALITUPI SHIDA
 
MUISLAM NI THAWABU KWAKE KUKEMEA UFISADI,WIZI,RUSHWA, AND VICE VERSA IS TRUE

..Mama alianza vizuri.

..Lakini hapa katikati amekengeuka.

..Sasa hivi amekuwa laghai na mwenye hila kama Ccm wengine.

..Na kuna dalili za kutaka kutumia vyombo vya dola kuwakandamiza wapinzani.

..Mimi nadhani sio sahihi kumsifia au kumkosoa kwasababu ya dini yake.
 

HUELEWI UNACHOKISEMA,SUALA LA UFISADI NA WIZI NDANI YA TAIFA HILI NI LA KIMFUMO.

TAASISI NYINGI ZA UMMA KWA BAHAT MBAYA WAMEJAA JAMAA ZAKO MAKAFIRI.NA KWA KIWANGO KIKUBWA HAWANA IMANI WALA HOFU YA MUNGU,ELIMU PEKEE AMBAYO WANAIFAHAM NI KATIKA KULIIBIA TAIFA HILI.

LET SAY THAT,THERE IS A LEADERSHIP VACUUM,WELL..KIPINDI CHA MAGUFULI AMBAE KWENU MNAITIKADI KUWA ALIKUA IMARA KATIKA USIMAMIZ,ZILIWAHI KUSOMWA REPORTS ZA CAG AMBAZO UFISADI,WIZI NA RUSHWA HAUKUWEPO??

KIRUSI CHA WEZI NDAN YA NCHI HII NI NYINYI WAKOLONI WEUSI AMBAO WENGI WENU MNAJIITA WASOMI NA MNATUMIA KALAMU KULITIA HASARA TAIFA HILI
 

Hayo ya kumsifia au kumkosoa kwa kigezo cha dini yake umeyasema wewe,na ni haki yako kusema lolote unalotaka.
 
The big show, kwenye makala yako umeshauri uzalendo na kutoendekeza udini, mbona unarudi kulekule? Nyerere mnaemtuhumu kwa mfumo Kristo hayupo duniani muda mrefu , kipi kinawazuia kufanya reforms.
ANGALIA JIBU HILO NILIEMJIBU ALIANDIKA COMMENT GANI KWANZA,WATU PEKEE WENYE ISLAMOPHOBIA NDANI YA TAIFA HILI KWANI SI WANAFAHAMIKA??HILO KWANI NI LA SIRI...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…