So,whats your point??
Anzisha mjadala wako tuje tuchangie,unaniinvite katika mjadala ambao siyo wa kwangu sasa.
..point yangu ni kuwa Maza alianza vizuri, lakini sasa amekuwa laghai, na anajiandaa kutumia Jwtz dhidi ya wapinzani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So,whats your point??
Anzisha mjadala wako tuje tuchangie,unaniinvite katika mjadala ambao siyo wa kwangu sasa.
Ushoga ulishapigwa marufuku kitambo,labda kwenu Zanzibar ambako hamna Amri kumi za Mungu.Kwenu kupandana ni halali.If TEC are smarter enough,there were suppossed to show up on THIS as well...
Why wachague matokeo??
mwanafalsa maarufu DANTE ALGHIER ANASEMA ''HOW YOU DO ANYTHING,IS HOW YOU DO EVERYTHING''..WASICHAGUE NA WASITEGEE,WAKISHUPALIA MAMBO YA BANDARI KWA SHINGO NDEFU KAMA FENU TUNATAKA TUWAONE VILE VILE WAKISHUPAZA SHINGO ZAO KWENYE USHOGA PIA,SABABU ZOTE ZINAHUSU JAMII HII HII MOJA.
Wapi nimeondoa Facts? Ninachosema usichague historia kama Nguo kwamba inakupendeza unaivaa.LAKINI HIYO INAONDOA FACT
Msikiti ulitumika kwenye muktadha upi?Wapi nimeondoa Facts? Ninachosema usichague historia kama Nguo kwamba inakupendeza unaivaa.
Kanisa na Msikiti vyote vilitumika.
Teh teh teh,ushoga mtapigaje marufuku ili Hali hata viongozi wenu wakuu mmewapiga marufuku kuoa Wala kuolewa?Ushoga ulishapigwa marufuku kitambo,labda kwenu Zanzibar ambako hamna Amri kumi za Mungu.Kwenu kupandana ni halali.
Are you sure?..point yangu ni kuwa Maza alianza vizuri, lakini sasa amekuwa laghai, na anajiandaa kutumia Jwtz dhidi ya wapinzani.
Muarabu yupi alikaa kwenye Berlin conference 1884/85?Mbumbumbu katika ubora wako,ila BIASHARA YA UTUMWA KUTOKA KWA WAARABU NI HALALI.
Are you sure?
Waarabu walitumia Dini katika kupanua Himaya zao kwa mfano walikuwa wakiwaambia Mababu zetu huko Kindu Manyema kuwa Wakisilimu hawatachukuliwa Utumwa hata pale Waafrika wote wa Pwani ya Afrika ya Mashariki walipokubali kuwa Waisilamu na kukubali kuwa chini ya Sultani bado waliendelea kuchukuliwa utumwa.Msikiti ulitumika kwenye muktadha upi?
Ushahidi wa kanisa upo wazi na hadi radhi wameomba,Sasa msikiti ulitumika wapi
Hizo story za kusema binadam wa kwanza alikuwa nyanj zishapitwa na zama zake,waarabu watumwa walikuwa wanawachukua wanawapeleka WAPI?Waarabu walitumia Dini katika kupanua Himaya zao kwa mfano walikuwa wakiwaambia Mababu zetu huko Kindu Manyema kuwa Wakisilimu hawatachukuliwa Utumwa hata pale Waafrika wote wa Pwani ya Afrika ya Mashariki walipokubali kuwa Waisilamu na kukubali kuwa chini ya Sultani bado waliendelea kuchukuliwa utumwa.
Walikuwa wanawapeleka Uarabuni na wengine Bara Hindi.watumwa waarabu walikuwa wanawapeleka wapi
Hizo story za wao kuasiwa ndiyo kichaka mnachojificha nacho wagalatia mnapotaka kukimbia lawama za kanisa kwenye utumwa,uarabuni huko ni jangwa tuh, watumwa wapelekwe huko wakashiriki kwenye economic activity Gani??Walikuwa wanawapeleka Uarabuni na wengine Bara Hindi.
Rejea Zanj Rebelliion huko Basra Iraq masoko ya Watumwa yalikuwa yametapakaa kuanzia Yemen Omani Emirates Hijazi (Saudi Arabia) iraq na huko Shirazi (Iran)
Wengi wa Watumwa Wanaume walikuwa wanahasiwa ili wasiweze kuzaa ndio maana vizazi vyao huvioni kama vya Atlantic Slave Trade.
Tuwe makini sana Dini zisituzibe macho Historia yetu ni muhimu sana ili tujielewe sisi na Vizazi vijavyo.
Nakushukuru kwa kukubaliana na hili, na ndio point yangu nzima, mimi huwa sijihusishi na ubishi wa Kidini mimi sio Fanatic.waarabu walioshiriki kwenye utumwa Africa
Uko Bakwata anakokusifia kumeendelea?Sheria zipo kwa ajili ya kuwashughulikia hao wezi na mafisadi, bahati mbaya sheria zinawekwa kapuni wezi wanazidi
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Chama sio majengo na magwanda!HAINA HAJA
Walete Mohamed Said FaizaFoxyTEC hawawezi kuwa watetezi wa ardhi hii,kipindi cha ukoloni TEC ILIKUWA PAMOJA NA WAMISHENI WENZAO KULINYONYA TAIFA HILI,HUO UZALENDO WA KUSEMEA RASILIMALIZ ZA NCHI HII WANAUTOA WAPI??
Andika kwa herufi ndogoMUISLAM NI THAWABU KWAKE KUKEMEA UFISADI,WIZI,RUSHWA, AND VICE VERSA IS TRUE
Mungu akusamehe bure ana akutangulie ili siku moja uje uelewe kuwa Mungu hawezi kamwe kubariki Dhambi na Kanisa Katoliki ambalo lilianzishwa na Mungu mwenyewe(Mathayo 16:16-18) halijawahi na halitawahi kubariki Dhambi,ingawa vyombo vya habari vinapambana kila siku kuhalalisha Dhambi(Mathayo 5:10-12),Lakini sisi kama Kanisa tunayapokea maoni yenu na kejeli zenu kwani hizo kejeli zipo kwa sababu maalum.Teh teh teh,ushoga mtapigaje marufuku ili Hali hata viongozi wenu wakuu mmewapiga marufuku kuoa Wala kuolewa?
Sasa why wasigeuzane wenyewe Kwa wenyewe?
Mnatamani agizo Hilo la papa LIWE limekwenda Kwa waislam lkn ndo hivyo haiwezekani
Biashara ya Utumwa ilikuwepo kabla ya BERLIN CONFERENCE na iliendeshwa kwa asilimia kubwa na Waarabu na Wareno na lengo la BERLIN CONFERENCE lilikuwa ni kufuta kabisa Biashara ya Utumwa.Muarabu yupi alikaa kwenye Berlin conference 1884/85?
Just mention one...
Pale walijaa wainjilisti watupu
Biashara ya Utumwa ilikuwepo kabla ya BERLIN CONFERENCE na iliendeshwa kwa asilimia kubwa na Waarabu na Wareno na lengo la BERLIN CONFERENCE lilikuwa ni kufuta kabisa Biashara ya Utumwa.