Tunahitaji wawakilishi waadilifu ambao watasimama katika kulikomboa taifa hili

Hayo ya kumsifia au kumkosoa kwa kigezo cha dini yake umeyasema wewe,na ni haki yako kusema lolote unalotaka.

..nimekusikia.

..Mama amevunja imani yetu baada ya kuendelea kuteua wahuni waliokuwa wakitumiwa na Magufuli kuvunja haki za watu.

..Pia danadana anazopiga kuhusu suala la Katiba mpya na Tume Huru ya uchaguzi vinadhihirisha kwamba hana nia ya kuleta mabadiliko ya kweli.
 
Inabidi wote wawe waisilimu.
 

HIZO NI SIASA,YALIYOMO NDANI SIYAJUI..ILA OUTCOMES ZINALETA MATUMAINI SIYO KAMA ZILE ZA ZAMANI ZA WATU WAPINZANI KUPIGWA RISASI HADHARANI AU KUWAFANYA MATAJIR WAISHI KAMA MASHETANI,ALHAMDULILLAH
 
HIZO NI SIASA,YALIYOMO NDANI SIYAJUI..ILA OUTCOMES ZINALETA MATUMAINI SIYO KAMA ZILE ZA ZAMANI ZA WATU WAPINZANI KUPIGWA RISASI HADHARANI AU KUWAFANYA MATAJIR WAISHI KAMA MASHETANI,ALHAMDULILLAH

..Miswada aliyopeleka bungeni inataka kurudisha kulekule kwenye kukandamiza.

..Tayari ameamrisha majeshi yaingie mitaani ili kuzuia maandamano ya Chadema.

..Zile dalili njema alizoonyesha mwanzoni zimeanza kutoweka.
 
The big show, kwenye makala yako umeshauri uzalendo na kutoendekeza udini, mbona unarudi kulekule? Nyerere mnaemtuhumu kwa mfumo Kristo hayupo duniani muda mrefu , kipi kinawazuia kufanya reforms.

NYERERE WAKATI ANAKWENDA KUFUNGUA TANU MKOA WA LINDI YUSUPH CHEMBERA NA SALUM MPUNGA NDIYO WALIKUWA MABODIGADI PEKEE AMBAO WALIKUWA WANAMLINDA HADI KANISANI KAINGIA NAO ILI ASIPATE MADHARA YA AINA YYTE,HALI ILIKUWA MBAYA KWA KUWA WAKRISTO WALIKUWA WANASHIRIKIANA NA WAKOLONI WA KIINGEREZA,ALIPOHITAJI KWENDA KANISANI JUMA PILI WALINZI WAKE WALIKUWA NI HAO YUSUPH CHEMBERA NA SALUM MPUNGA.

MAMBO HAYA HAMUWEZI KUAMBIWA MAKANISANI
 
..Miswada aliyopeleka bungeni inataka kurudisha kulekule kwenye kukandamiza.

..Tayari ameamrisha majeshi yaingie mitaani ili kuzuia maandamano ya Chadema.

..Zile dalili njema alizoonyesha mwanzoni zimeanza kutoweka.
Lengo lako ni lipi??kunihamisha kuwa mtetezi wa sera za CCM na viongozi wake au lipi??

Ungesoma kwanza maudhui ya mjadala wangu
 
Iddi inatangazwa na BAKWATA na mnatii huku mwezi una siku 3, wajinga wakubwa nyie

Kashfa za nini sasa,ni mara ngapi unaona waislam wanatofautiana kwenye suala la IDDI KWA MFANO??

Au huoni,mbona wewe PAPA KATANGAZA RUKSA YA USHOGA NA TEC HAIJAPINGA?
 
Exploitation ya Kikoloni haikuanzishwa na Wazungu pekee,kabla yao kulikuwa na Mwarabu wa Omani.

Wakati tunapoongelea historia ya Afrika tuwe makini sana.
 
Kabisa.
 
Exploitation ya Kikoloni haikuanzishwa na Wazungu pekee,kabla yao kulikuwa na Mwarabu wa Omani.

Wakati tunapoongelea historia ya Afrika tuwe makini sana.
KWANI SUALA LA UTUMWA MBONA LIKO WAZI SANA??HAKUNA ANAESEMA KWAMBA WAARABU HAWAKUSHIRIKI KWENYE UTUMWA,UTUMWA UPO TOKA ZAMA NA ZAMA KATIKA ULIMWENGU HUU..

LAKINI HIYO INAONDOA FACT YA USHIRIKI WA KANISA KAMA AGENTS OF COLONIALISM??MBONA HILO LIKO WAZI TUH
 
..Miswada aliyopeleka bungeni inataka kurudisha kulekule kwenye kukandamiza.

..Tayari ameamrisha majeshi yaingie mitaani ili kuzuia maandamano ya Chadema.

..Zile dalili njema alizoonyesha mwanzoni zimeanza kutoweka.
So,whats your point??

Anzisha mjadala wako tuje tuchangie,unaniinvite katika mjadala ambao siyo wa kwangu sasa.
 
BARAZA la Maaskofu Africa limepinga na TEC wapo ndani, ulitaka wafanyeje zaidi ya hapo?

If TEC were smarter enough,there were suppossed to show up on THIS as well...

Why wachague matokeo??

mwanafalsa maarufu DANTE ALGHIER ANASEMA ''HOW YOU DO ANYTHING,IS HOW YOU DO EVERYTHING''..WASICHAGUE NA WASITEGEE,WAKISHUPALIA MAMBO YA BANDARI KWA SHINGO NDEFU KAMA FENITUNATAKA TUWAONE VILE VILE WAKISHUPAZA SHINGO ZAO KWENYE USHOGA PIA,SABABU ZOTE ZINAHUSU JAMII HII HII MOJA.
 
Kwani bandari ilikuwa issue ya kitaifa au kimataifa? tumia akili kidogo basi
 
Kwani bandari ilikuwa issue ya kitaifa au kimataifa? tumia akili kidogo basi

KWAHIYO UNATAKA KUSEMA TEC HAWANA UBAVU WA KUPINGA HIZO NDOA ZA MASHOGA SIYO??

BASI PIGANENI MASHINE KAMA NI HIVYO,NA KAMA HILO HAWAWEZ HILI LA BANDARI WANANGAIKA NALO KIVIPI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…