Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,204
Hivi nini kinakuwasha hadi uingize dini ktk issue ya kutaka Tanganyika?wewe umewahi kujenga hoja gani? kwa hiyo nicholas anajenga hoja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi nini kinakuwasha hadi uingize dini ktk issue ya kutaka Tanganyika?wewe umewahi kujenga hoja gani? kwa hiyo nicholas anajenga hoja?
Najiuliza profesa Kapuya kapata wapi ujasiri wa kwenda nje na msimamo waliouweka akina Wasira?
Kinachoniuma zaidi ni hawa wasomi Maprofesa ambao wengi wao wamesomeshwa na fedha za walipakodi watanzania kupata hiyo elimu... Anayenitia kichefuchefu ni Prof. Tibaijuka, msomi, mwanamama aliyeshika nafasi kubwa UN... Nilitegemea kwa usomi na uzoefu alioupata kwenye anga za kimataifa utasaidia kutoka hapa tulipo lakini mawazo na michango yake hayasadifu kabisa na usomi na uzoefu wake... Anazidiwa na mtoto mdogo kama Ester Bulaya mwanasiasa kijana lakini mzalendo...
Kwa kweli huu wasomi wetu hasa hawa maprofesa wetu elimu yao haijasaidia kabisa taifa hili... Ni hasara na mizigo ya taifa...
Lakini CCM ndiyo inakata roho... waliambiwa wajiandae kisaikolojia bado wanashangaa...
angalao profesa kapuya alisema wanayoyataka watanzania yaani kura ya siri.
Kinachoniuma zaidi ni hawa wasomi Maprofesa ambao wengi wao wamesomeshwa na fedha za walipakodi watanzania kupata hiyo elimu... Anayenitia kichefuchefu ni Prof. Tibaijuka, msomi, mwanamama aliyeshika nafasi kubwa UN... Nilitegemea kwa usomi na uzoefu alioupata kwenye anga za kimataifa utasaidia kutoka hapa tulipo lakini mawazo na michango yake hayasadifu kabisa na usomi na uzoefu wake... Anazidiwa na mtoto mdogo kama Ester Bulaya mwanasiasa kijana lakini mzalendo...
Kwa kweli huu wasomi wetu hasa hawa maprofesa wetu elimu yao haijasaidia kabisa taifa hili... Ni hasara na mizigo ya taifa...
Lakini CCM ndiyo inakata roho... waliambiwa wajiandae kisaikolojia bado wanashangaa...
Serikali Moja Tanzania Moja!
Tanganyika nchi yangu!!rudi Tanganyika!nakupenda Tanganyika
Zanzibar ni kijiji tehteh
haha..CCM ni ugonjwa...Kaputa kaanza amini sheria lini wakati juzi tuu kaapindisha sheria kwa mbwembwe...nilichoakuwa nashangaa ni kwamba kafika vipi pale na kesi mbaya vile.Alikuwa akipua hadi mic inachukua na kufikisha ktk TV.Najiuliza profesa Kapuya kapata wapi ujasiri wa kwenda nje na msimamo waliouweka akina Wasira?
Tatizo lenu hakuna tofauti na WISHES ZAKE NA FIKRA ZAKO..hizi ndizo wishes zako ktk daily wish list..mwehu wewe. Utabaki ukitamani sana iwe hivyo hadi ufe.Mtoi anachapa mwendo..na siku moja utamsikia ,,..utaishia badili hadith ktk mafanikio yake na kumwita kibaraka hadi siku anachukua top position. Si ndio nyie kutwa mnawaiata watu walio open ktk dunia ya Mungu kuwa si waislama kamili...kwa hiyo unawachukia sana makamanda wa chadema mohamed mtoi na said mohamed kwa sababu ni waislamu waswahili?
CCM ni kansa..na speed speed govonor ya ubongo yenye switch ya kuzima tuu ubongo na si kuuwasha.Profesa anasema Tanzania ni muungano wa Zanzibar na Tanzania bara. Hata yule wa elimu alisema Tz ni muunganiko wa zanzibar na madagascar
Siku Tanganyika ikirudi nitafanya Re-birth party ya Tanganyika! Mpaka leo najiuliza hata sipati jibu kwa nini Nyerere aliiua Tanganyika yetu.
Ukweli mwingine ni kwamba cheche zimeanza kuonekana. Naibu spika, Ndugai anaonyesha hasira za wazi dhidi ya kauli za wajumbe toka visiwani. Na kwa usalama wao ni bora watenganishwe wajumbe toka pande hizi mbili